Bongo flava muziki wa Tanzania unavyokua
Aina mpya ya muziki unaojulikana nchini Tanzania kama BONGO FLAVA umejipatia umaarufu barani Afrika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Oct
Enrico adai ubora wa muziki wa Bongo Flava umeshuka
Mtayarishaji wa muziki wa Sound Crafters, Enrico amesema nyimbo zote zinazotoka miaka ya hivi karibuni hazina ubora sababu ambayo anadai inasababisha zisidumu. “Mpaka sasa sijaona wimbo mkali, nyimbo zote ni sawa tu, zinakaa siku mbili, tatu au wiki nne zinapotea,” alisema. “Hakuna Bongo Flava ya kukaa miaka miwili,” Enrico aliambia E-Newz ya EATV Pia Enrico […]
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F19iCo2NHtc/VkigXly1mkI/AAAAAAAIF8w/s4NzGrP9xos/s72-c/d033ae22-f21e-40a9-a81d-620481f5be13.jpg)
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Flava Luteni Karama aja kivingine
Na Kaka Mwinyi![](http://2.bp.blogspot.com/-F19iCo2NHtc/VkigXly1mkI/AAAAAAAIF8w/s4NzGrP9xos/s320/d033ae22-f21e-40a9-a81d-620481f5be13.jpg)
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Flava, Luteni Karama (kushoto), amefanya ujio mpya wa kimuziki baada ya kuachia ngoma moja kali iitwayo ‘The Way I Feel’ akimshirikisha msanii toka Ufaransa, Jerry Julian (chini) na tayari imeanza kufanya vema kwenye mitandao na vituo vya redio na runinga.
Karama amepasha kuwa, baada ya kimya kirefu, ameamua kurejea kwenye game kwa mtindo tofauti ambapo muelekeo wake unathibitika katika kazi yake mpya ya The Way I Feel ambayo tayari...
![](http://2.bp.blogspot.com/-F19iCo2NHtc/VkigXly1mkI/AAAAAAAIF8w/s4NzGrP9xos/s320/d033ae22-f21e-40a9-a81d-620481f5be13.jpg)
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Flava, Luteni Karama (kushoto), amefanya ujio mpya wa kimuziki baada ya kuachia ngoma moja kali iitwayo ‘The Way I Feel’ akimshirikisha msanii toka Ufaransa, Jerry Julian (chini) na tayari imeanza kufanya vema kwenye mitandao na vituo vya redio na runinga.
Karama amepasha kuwa, baada ya kimya kirefu, ameamua kurejea kwenye game kwa mtindo tofauti ambapo muelekeo wake unathibitika katika kazi yake mpya ya The Way I Feel ambayo tayari...
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ZLtuxYaKko0/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/sNfvKt2UIIo/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/K6ZQKkkjmcI/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili19 Mar
Coronavirus: Mwanamuziki wa Bongo Flava nchini Tanzania athibitisha kuwa na maambukizi ya virusi
Mwanamuziki wa Bongo Flava nchini Tanzania Mwana FA amesema aligundulika kuwa ana maambukizi baada ya kurudi kutoka Afrika Kusini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UCKR_h9Cez8/XunUMQedNbI/AAAAAAALuME/qrRRXHoh6QohptFhemO1PkL0WeMj5wdFQCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-06-17%2Bat%2B11.24.16.png)
BONGO FLAVA COMING OF BONGO POLITICAL AGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-UCKR_h9Cez8/XunUMQedNbI/AAAAAAALuME/qrRRXHoh6QohptFhemO1PkL0WeMj5wdFQCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot%2B2020-06-17%2Bat%2B11.24.16.png)
When Joseph Mbilinyi alias Mr. Two, or Too Proud and now Sugu, was sworn in as Member of Parliament for Mbeya urban in 2010, he sent buzzing vibes to the Tanzania music industry. It was surreal to imagine that a Bongo Flava artist barred its reputation at the time, making it to its most potent legislative organ. Sugu, known for his strong lyrical messages, is regarded as an epitome of Bongo Fleva entrance into politics by being brave enough to challenge the status quo of...
10 years ago
TheCitizen19 Sep
COVER: Where did ‘Bongo Flava’ tag come from?
>There is no question that Bongo Flava has reached new heights and the debate on authenticity still rages on.Bongo Flava has today claimed the music stage which was once a preserve of Congolese music .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania