Inspector Haroun adai Bongo Flava inapoteza utambulisho wake
Msanii mkongwe, Inspector Haroun amesema muziki wa Bongo Flava unaenda ukipotea kutokana na wasanii kudokoa vionjo vya muziki wa nje. Hitmaker huyo wa Mtoto wa Geti Kali, alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita kuwa wasanii wanafanya vizuri kwa melody za kudokoa hivyo wanatakiwa kuchukua tahadhari. “Siku hizi vijana wanafanya vizuri, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo507 Oct
Enrico adai ubora wa muziki wa Bongo Flava umeshuka
Mtayarishaji wa muziki wa Sound Crafters, Enrico amesema nyimbo zote zinazotoka miaka ya hivi karibuni hazina ubora sababu ambayo anadai inasababisha zisidumu. “Mpaka sasa sijaona wimbo mkali, nyimbo zote ni sawa tu, zinakaa siku mbili, tatu au wiki nne zinapotea,” alisema. “Hakuna Bongo Flava ya kukaa miaka miwili,” Enrico aliambia E-Newz ya EATV Pia Enrico […]
10 years ago
GPL
INSPECTOR HAROUN, BABY MADAHA WANASWA KONA
Stori: Issa Mnali
Katika hali ya kushangaza, mastaa wawili wa muziki, Baby Madaha na Haroun Kahena ‘Inspector Haroun’ wamenaswa usiku wakila bata huku wakiwa kimahaba. Staa wa Bongo Fleva, Haroun Kahena ‘Inspector Haroun’ akigonga busu shavuni kwa Baby Madaha. Tukio hilo lilinaswa na kamera ya paparazi wetu hivi karibuni kwenye pub moja iliyopo maeneo ya Kijitonyama jijini Dar ambapo awali Inspector...
11 years ago
Bongo518 Aug
New Music: Inspector Haroun Ft Juma Nature — Mungu Ndio Anapanga
Wimbo mpya kutoka kwa Inspector Haroun amemshirikisha Juma Nature, unaitwa “Mungu Ndio Anapanga” na umetengenezwa na Poroducer Dupy Studio Uprise Music.
11 years ago
Bongo516 Oct
Inspector Haroun ashoot video mbili, atazituma Japan kufanyiwa ‘editing’
Msanii mkongwe nchini, Inspector Haroun amesema ile ahadi yake ya kuachia video tatu itatimia hivi karibuni baada ya kumalizia kushoot video mbili mpaka sasa ambapo amedai anatarajia kuzituma nchini Japan kwaajili ya kufanya final editing. Inspector amesema atajipanga na kuhakikisha anafanya kitu kikubwa ili kuwadhihirishia watanzania kuwa wakongwe pia nwanaweza. “Kwa sababu watu wanatuambia wakongwe […]
10 years ago
Bongo524 Oct
Music: Rich One Ft. Juma Nature & Inspector Haroun – Fulani
Wimbo mpya wa msanii Rich One unaitwa “Fulani” amewashirikisha Juma Nature na Inspector Haroun Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
5 years ago
Michuzi
BONGO FLAVA COMING OF BONGO POLITICAL AGE

When Joseph Mbilinyi alias Mr. Two, or Too Proud and now Sugu, was sworn in as Member of Parliament for Mbeya urban in 2010, he sent buzzing vibes to the Tanzania music industry. It was surreal to imagine that a Bongo Flava artist barred its reputation at the time, making it to its most potent legislative organ. Sugu, known for his strong lyrical messages, is regarded as an epitome of Bongo Fleva entrance into politics by being brave enough to challenge the status quo of...
11 years ago
TheCitizen25 Mar
We need a Bongo-flava metamorphosis fast!
In the 1980s Tanzanian youth started a musical experiment which became a mainstream cultural movement that took over urban Tanzania and eventually the entire country during the pinnacle of the revolution in the late 1990s.
11 years ago
TheCitizen19 Sep
COVER: Where did ‘Bongo Flava’ tag come from?
>There is no question that Bongo Flava has reached new heights and the debate on authenticity still rages on.Bongo Flava has today claimed the music stage which was once a preserve of Congolese music .
10 years ago
TheCitizen10 Jul
Top Bongo flava divas who went awol
The year when Nakaya released her debut album which she aptly titled Nervous Conditions with hits such as Mr Politician .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania