Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Music: Rich One Ft. Juma Nature & Inspector Haroun – Fulani

Wimbo mpya wa msanii Rich One unaitwa “Fulani” amewashirikisha Juma Nature na Inspector Haroun Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

New Music: Inspector Haroun Ft Juma Nature — Mungu Ndio Anapanga

Wimbo mpya kutoka kwa Inspector Haroun amemshirikisha Juma Nature, unaitwa “Mungu Ndio Anapanga” na umetengenezwa na Poroducer Dupy Studio Uprise Music.

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Soggy/Suma-G/Inspector/Juma Nature/Hammer Q — Wakali wa hizi Kazi

Way Back Entertainment inakuletea mradi ambao utakuwa ukiwakutanisha wasanii wa zamani katika kurekodi pamoja nyimbo mpya na kufanya matamasha ya pamoja. Kwa kuanzia WAY BACK imewakutanisha kwenye wimbo mmoja wakali wafuatao SOGGY DOGGY,SUMA-G,INSPECTOR HARUN,JUMA NATURE NA HAMMER Q producer Q The Don akiwa ni Q the Don.

 

10 years ago

Mtanzania

Kampeni yawakutanisha Juma Nature, Rich One

Rich & NatureNA MWANDISHI WETU

WASANII Juma Nature na Rich One waliowahi kuwika katika kundi la TMK Wanaume Halisi na kisha kutengana wamejikuta wakiimba pamoja katika kampeni za kumnadi mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli zinazoendelea katika maeneo mbalimbali nchini.

Juzi wasanii hao walipanda katika jukwaa la Uwanja wa Mashujaa mjini Moshi na kuimba pamoja nyimbo mbalimbali walizowahi kushiriki wakiwa katika kundi lao la pamoja huku mashabiki wao wengi...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Makomando Ft Juma Nature – Mama Wee

artist_2192fada18da1b8ca1d800a292ec4f759e8.png

Kundi la mziki wa bongo fleva Makomando wameachia wimbo wao mpya unaitwa “Mama Wee”. wamemshirikisha mkongwe wa mziki huo Juma Nature. Studio Free Nation Music

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Music: Young Killer Ft Juma Nature – Popote Kambi

Young Killer Ft Juma Nature

Rapper Young Killer ameachia wimbo wake mpya unaitwa “Popote Kambi”, amemshirikisha mkongwe wa mziki huu wa bongo fleva Juma Nature.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

GPL

INSPECTOR HAROUN, BABY MADAHA WANASWA KONA

Stori: Issa Mnali
Katika hali ya kushangaza, mastaa wawili wa muziki, Baby Madaha na Haroun Kahena ‘Inspector Haroun’ wamenaswa usiku wakila bata huku wakiwa kimahaba. Staa wa Bongo Fleva, Haroun Kahena ‘Inspector Haroun’ akigonga busu shavuni kwa Baby Madaha. Tukio hilo lilinaswa na kamera ya paparazi wetu hivi karibuni kwenye pub moja iliyopo maeneo ya Kijitonyama jijini Dar ambapo awali Inspector...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Juma Nature Ft Msaga Sumu — Inaniuma Sana Remix

Juma Nature amerudia tena wimbo wake wa “Inaiuma Sana Remix” akimshirikisha Msaga Sumu Studio Mazuu Rec

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: YOUNG KILLER "MSODOKI" - POPOTE KAMBI ft. JUMA NATURE (Download)




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

10 years ago

Bongo5

Inspector Haroun adai Bongo Flava inapoteza utambulisho wake

Msanii mkongwe, Inspector Haroun amesema muziki wa Bongo Flava unaenda ukipotea kutokana na wasanii kudokoa vionjo vya muziki wa nje. Hitmaker huyo wa Mtoto wa Geti Kali, alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita kuwa wasanii wanafanya vizuri kwa melody za kudokoa hivyo wanatakiwa kuchukua tahadhari. “Siku hizi vijana wanafanya vizuri, […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani