Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Inspector Haroun ashoot video mbili, atazituma Japan kufanyiwa ‘editing’

Msanii mkongwe nchini, Inspector Haroun amesema ile ahadi yake ya kuachia video tatu itatimia hivi karibuni baada ya kumalizia kushoot video mbili mpaka sasa ambapo amedai anatarajia kuzituma nchini Japan kwaajili ya kufanya final editing. Inspector amesema atajipanga na kuhakikisha anafanya kitu kikubwa ili kuwadhihirishia watanzania kuwa wakongwe pia nwanaweza. “Kwa sababu watu wanatuambia wakongwe […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz ashoot video mbili Marekani na Afrika Kusini

Baada ya ushindi wa tuzo ya Afrimma 2015, Ommy Dimpoz ali-tease nyimbo mbili tofauti Instagram akiashiria kuwa anakaribia kupakua wimbo mpya. Katika post hizo mr PKP aliandika; “Vipi? Mko Tayari Baada ya Uchaguzi Tuachie MABODY?”, na nyingine “I can’t wait @nahreel on the beat”. Lakini kuna uwezekano kionjo ulichokisikia kisiwe ni cha wimbo utakaotoka kwasababu […]

 

10 years ago

GPL

INSPECTOR HAROUN, BABY MADAHA WANASWA KONA

Stori: Issa Mnali
Katika hali ya kushangaza, mastaa wawili wa muziki, Baby Madaha na Haroun Kahena ‘Inspector Haroun’ wamenaswa usiku wakila bata huku wakiwa kimahaba. Staa wa Bongo Fleva, Haroun Kahena ‘Inspector Haroun’ akigonga busu shavuni kwa Baby Madaha. Tukio hilo lilinaswa na kamera ya paparazi wetu hivi karibuni kwenye pub moja iliyopo maeneo ya Kijitonyama jijini Dar ambapo awali Inspector...

 

9 years ago

Bongo5

Inspector Haroun adai Bongo Flava inapoteza utambulisho wake

Msanii mkongwe, Inspector Haroun amesema muziki wa Bongo Flava unaenda ukipotea kutokana na wasanii kudokoa vionjo vya muziki wa nje. Hitmaker huyo wa Mtoto wa Geti Kali, alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita kuwa wasanii wanafanya vizuri kwa melody za kudokoa hivyo wanatakiwa kuchukua tahadhari. “Siku hizi vijana wanafanya vizuri, […]

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Inspector Haroun Ft Juma Nature — Mungu Ndio Anapanga

Wimbo mpya kutoka kwa Inspector Haroun amemshirikisha Juma Nature, unaitwa “Mungu Ndio Anapanga” na umetengenezwa na Poroducer Dupy Studio Uprise Music.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Rich One Ft. Juma Nature & Inspector Haroun – Fulani

Wimbo mpya wa msanii Rich One unaitwa “Fulani” amewashirikisha Juma Nature na Inspector Haroun Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Bushoke ashoot video mpya na msanii wa Uganda

Muimbaji wa Bongo Flava, Bushoke ambaye kwa sasa anaishi Afrika Kusini ameshoot video ya wimbo wake mpya akiwa na msanii wa Uganda, Face Off. Bushoke amesema wimbo huo unaitwa ‘She Wants It’ na umeimbwa katika lugha tatu, Kiswahili, Kiingereza na Kiganda. Video imefanyika jijini Cape Town katika location tatu tofauti huku kampuni iliyohusika ikiitwa Dirty […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Mpoto ashoot video ya wimbo ‘Njoo Uichukue’ ndani ya uwanja wa taifa

Msanii wa muziki wa asili, Mrisho Mpoto ameanza kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Njoo Uichukue’ ndani ya uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam pamoja na sehemu nyingine. Mpoto akiimba Akizungumza na Bongo5 leo msemaji wa Mpoto Theatre Gallery Ltd , Dominic Kaunda, alisema ndani ya video hiyo inayofanyWa na director Adam Juma wamewatumia […]

 

5 years ago

Engadget

Apple makes its pro video and audio editing software free to use for 90 days

Apple makes its pro video and audio editing software free to use for 90 days  EngadgetFinal Cut Pro X, Logic Pro X Get 90-Day Trial Amid COVID-19 Lockdown  Gadgets 360Apple now offers 90-day trials for Final Cut Pro X and Logic Pro X  The Next WebApple extends free trials for its pro creative apps  TechCrunchApple offers free 90-day trials of Final Cut Pro X and Logic Pro X  AppleInsiderView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati mbili zakamilisha kujadili #rasimu, zote zapendekeza serikali mbili[VIDEO]

 KAMATI mbili kati ya 12 za Bunge Maalum la Katiba zimehitimisha kazi yake katika kujadili sura mbili za rasimu huku zote zikipendekeza muundo wa serikali mbili za Muungano katika Sura ya Kwanza na ile ya Sita badala ya Shirikisho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani