Picha: Bushoke ashoot video mpya na msanii wa Uganda
Muimbaji wa Bongo Flava, Bushoke ambaye kwa sasa anaishi Afrika Kusini ameshoot video ya wimbo wake mpya akiwa na msanii wa Uganda, Face Off. Bushoke amesema wimbo huo unaitwa ‘She Wants It’ na umeimbwa katika lugha tatu, Kiswahili, Kiingereza na Kiganda. Video imefanyika jijini Cape Town katika location tatu tofauti huku kampuni iliyohusika ikiitwa Dirty […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo517 Feb
Picha: Mpoto ashoot video ya wimbo ‘Njoo Uichukue’ ndani ya uwanja wa taifa
Msanii wa muziki wa asili, Mrisho Mpoto ameanza kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Njoo Uichukue’ ndani ya uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam pamoja na sehemu nyingine. Mpoto akiimba Akizungumza na Bongo5 leo msemaji wa Mpoto Theatre Gallery Ltd , Dominic Kaunda, alisema ndani ya video hiyo inayofanyWa na director Adam Juma wamewatumia […]
9 years ago
Bongo525 Aug
Video: Msanii wa Nigeria Skiibii aliyetumia ‘stunt’ ya kifo aachia video mpya
Kama lile tukio la kuzushiwa/kujizushia kifo kwa msanii anayeibukia wa Nigeria, Skiibii ilikuwa ni ‘publicity stunt’, (Ingia Hapa) basi itakuwa imefanya kazi kwa kiasi fulani, kwasababu bila hivyo huenda muda huu hata mimi nisingekuwa naandika juu ya video yake mpya sababu kabla ya hapo sikuwa namfahamu. Siku chache baada ya msanii huyo wa label ya […]
9 years ago
Bongo517 Oct
Ommy Dimpoz ashoot video mbili Marekani na Afrika Kusini
Baada ya ushindi wa tuzo ya Afrimma 2015, Ommy Dimpoz ali-tease nyimbo mbili tofauti Instagram akiashiria kuwa anakaribia kupakua wimbo mpya. Katika post hizo mr PKP aliandika; “Vipi? Mko Tayari Baada ya Uchaguzi Tuachie MABODY?”, na nyingine “I can’t wait @nahreel on the beat”. Lakini kuna uwezekano kionjo ulichokisikia kisiwe ni cha wimbo utakaotoka kwasababu […]
10 years ago
Bongo516 Oct
Inspector Haroun ashoot video mbili, atazituma Japan kufanyiwa ‘editing’
Msanii mkongwe nchini, Inspector Haroun amesema ile ahadi yake ya kuachia video tatu itatimia hivi karibuni baada ya kumalizia kushoot video mbili mpaka sasa ambapo amedai anatarajia kuzituma nchini Japan kwaajili ya kufanya final editing. Inspector amesema atajipanga na kuhakikisha anafanya kitu kikubwa ili kuwadhihirishia watanzania kuwa wakongwe pia nwanaweza. “Kwa sababu watu wanatuambia wakongwe […]
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/81i3dybXK8U/default.jpg)
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA BIA YA SERENGETI KUDHAMINI UZINDUZI WA VIDEO MPYA YA MSANII “LINAH"
11 years ago
Bongo512 Aug
Picha/Audio: Utengenezaji wa video mpya ‘Mr. Oreo’ ya Iyanya, Marekani na sikiliza wimbo wake mpya ‘Story story’
Iyanya ni msanii wa Nigeria ambaye mwaka huu ameshirikishwa na star wa Bongo, Diamond Platnumz katika wimbo uitwao ‘Bum Bum’ ambao video yake imetoka hivi karibuni. Nyota huyo aka Mr. Kukere ambaye mwaka jana pia alikuja Tanzania na kutumbuiza katika tamasha la Fiesta Dar es salaam, ameachia single mpya iitwayo ‘Story story’ Feat. Oritsefemi. Hivi […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6rgRmko0CzhxHhTOHW660aTthuI1jM-bdhfB270slnLweR57Zr6ESbyBCAkvj1cpR1aGbPWGdffXim6iH5FQVNf/10513769_1502779259957797_1663715630_n.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania