Wasanii kujihusisha na siasa, ni faida ama hasara?
Muziki hauna dini, umri, jinsi, kabila wala itikadi vivyo hivyo katika sanaa ya uigizaji. Bado wengi wanajiuliza maana halisi ya muziki, lakini Kamusi Sanifu ya Kiswahili imeeleza kuwa ni muziki ni mpangilio wa ala na uimbaji unaoleta athari fulani kwa kiumbe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Shiuma yakanusha kujihusisha na siasa
SHIRIKA la Umoja wa Machinga Tanzania (Shiuma), lenye makao yake makuu mkoani hapa limekanusha uvumi wa kujihusisha na baadhi ya vyama vya siasa nchini. Kauli hiyo imetolewa jana na Mwenyekiti...
10 years ago
Mtanzania03 Feb
Izo Business: Sioni umuhimu wa kujihusisha na siasa
NA JUMA HEZRON, DAR ES SALAAAM
MSANII wa muziki wa Hip Hop, Emmanuel Simwinga ‘Izo Business’, amesema licha ya kushauriwa na rafiki zake kuingia kwenye siasa, bado hajaona umuhimu wa kufanya hivyo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Izo Business alisema hakuna umuhimu wa kuingia kwenye siasa, kwani inatakiwa mtu ajitoe kwa ajili ya watu na siyo kuingia ili ujipatie fedha kama yalivyo mawazo ya wasanii wengi.
“Siasa kwa upande wangu sijaipa kipaumbele, ingawa nimeshawishiwa na marafiki zangu...
10 years ago
Mtanzania12 Jun
20 Percent: Umri wangu ni mdogo kujihusisha na siasa
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Abas Kinzasa ‘20 Percent’ amesema umri wake ni mdogo sana kujihusisha na masuala ya siasa kama ilivyo kwa rafiki yake, Afande Sele.
Akizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, 20 Percent alisema kwa sasa anajipanga kurudi upya kwenye tasnia ya muziki, baada ya kuwa kimya kwa kipindi kirefu.
“Sijakaa kimya ili ni jihusishe na masuala ya siasa kama wengi wanavyofikiria, bali nina mipango yangu mingine kabisa,” alisema 20...
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Faida na Hasara za majibizano katika mahusiano
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Faida, hasara usajili ghali wa Man U
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3pbaBKayUO8MGpgMaSuJoQ3pu2FxjcIePmToRnslBkDuj4cznfp8I6YETbxzE18tm2LrioHTNB3sHyXprU-ImTLzdLkRkE1V/Latinostudentgroup.jpg?width=650)
FAIDA NA HASARA YA LIKIZO NA MUONGOZO WAKE-2
10 years ago
CloudsFM03 Feb
Izo Business asema haoni umuhimu wa kujihusisha na siasa
MSANII wa muziki wa Hip Hop, Emmanuel Simwinga ‘Izo Business’, amesema licha ya kushauriwa na rafiki zake kuingia kwenye siasa, bado hajaona umuhimu wa kufanya hivyo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Izo Business alisema hakuna umuhimu wa kuingia kwenye siasa, kwani inatakiwa mtu ajitoe kwa ajili ya watu na siyo kuingia ili ujipatie fedha kama yalivyo mawazo ya wasanii wengi.“Siasa kwa upande wangu sijaipa kipaumbele, ingawa nimeshawishiwa na marafiki zangu nigombee nafasi mbalimbali,” alisema...
11 years ago
Mwananchi27 May
Elimu iwakumbushe vijana faida na hasara za ukoloni (2)
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Faida na hasara za Serikali ya Magufuli kubana matumizi