Jordin Sparks amdis ex-mchumba wake Jason Derulo kwenye wimbo mpya ‘How Bout Now’ remix
Jordin Sparks ametoa wimbo mpya ambao ndani yake amemzungumzia aliyekuwa mchumba wake Jason Derulo ambaye waliachana September mwaka huu baada ya kudumu kwa miaka mitatu. Haya ni baadhi ya mashairi ya wimbo huo yanayozungumzia uhusiano wao: “Remember I deleted all my other guys’ numbers out my phone for ya? / Remember when you broke your […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo530 Sep
Jason Derulo aweka wazi sababu za yeye na Jordin Sparks kuachana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSKWs4QgQf9nKuAwCB4MJr4KCv0lg6pgWTVgXF*nPlsgjgxRRYeHvLGPV1t09c5GFJJSIGMAOZdY32AEhx1KA2Gl/JASONDERULOGOLDMINER1700x1050.jpg?width=650)
PENZI LA JORDIN SPARKS BADO LAMTESA DERULO
9 years ago
Bongo528 Oct
Video: Jason Derulo afanya ‘live cover’ ya wimbo wa Fetty Wap ‘Trap Queen’
9 years ago
Bongo515 Sep
Sauti Sol waonesha mpango wa kutaka kumshirikisha John Legend kwenye remix ya wimbo wao mpya ‘Isabella ’
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Jason Derulo aomba msamaha
CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa muziki wa RnB nchini Marekani, Jason Derulo, ameomba msamaha kwa mashabiki wake wa Afrika Kusini mara baada ya kutamka maneno yaliyotafsiriwa kuwa ni dharau kwa waliohudhuria onyesho lake.
Mkali huyo aliwauliza mashabiki wake kama wanajua Kiingereza ‘Y, all speak English, right?’ , maneno yaliyozua vurugu kwenye onyesho hilo lililoambatana na utolewaji wa tuzo za Afrika Kusini maarufu kama ANN7 zilizofanyika usiku wa jana huko Johannesburg.
“Sikujua kama naweza...
9 years ago
Bongo514 Nov
Video: Rick Ross amtumia mchumba wake Lira Galore kwenye video mpya ‘Sorry’
![rick-ross-sorry-video](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/rick-ross-sorry-video-300x194.jpg)
Rick Ross ameachia video ya wimbo wake ‘Sorry’ aliomshirikisha Chris Brown ambao ulitoka mwezi uliopita.
Kwenye video hiyo Rozay amemtumia mchumba wake Lira Galore kama video model, ikiwa ni siku moja tu imepita toka rapper huyo apost video kwenye mtandao wa Snapchat ikimuonesha yuko na Lira ambaye alionekana amevaa pete ya uchumba aliyovishwa na Rozay, siku chache toka zisambae taarifa kuwa wawili hao wameachana na Lira karudisha pete.
‘Sorry’ ni wimbo wa kwanza kutoka kwenye album mpya...