Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PENZI LA JORDIN SPARKS BADO LAMTESA DERULO

Rapa Jason Derulo. New York, Marekani
RAPA Jason Derulo ameweka wazi kwamba amekuwa na wakati mgumu tangu aachane na kipenzi chake cha miaka mingi, Jordin Sparks ambaye pia ni staa wa muziki.Wawili hao wamekuwa kwenye uhusiano kwa kipindi cha miaka mitatu, kabla ya kuachana Septemba, mwaka jana. Rapa Jason Derulo akiwa na aliyekuwa mpenzi wake Jordin Sparks.
Derulo ameweka wazi kuwa… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Jason Derulo aweka wazi sababu za yeye na Jordin Sparks kuachana

Couple ya waimbaji Jason Derulo na Jordin Sparks ndio iliyoonekana kuwashtua zaidi wengi baada ya taarifa za kuachana kwao kusambaa, na hii inatokana na kuwa hapakuwahi kusikika hata taarifa za ugomvi baina yao. Lakini Derulo ameweka wazi baadhi ya sababu za ndani zilizopelekea ‘mv mapenzi ‘ ya wawili hao kushindwa kuhimili mawimbi ya bahari ya […]

 

10 years ago

Bongo5

Jordin Sparks amdis ex-mchumba wake Jason Derulo kwenye wimbo mpya ‘How Bout Now’ remix

Jordin Sparks ametoa wimbo mpya ambao ndani yake amemzungumzia aliyekuwa mchumba wake Jason Derulo ambaye waliachana September mwaka huu baada ya kudumu kwa miaka mitatu. Haya ni baadhi ya mashairi ya wimbo huo yanayozungumzia uhusiano wao: “Remember I deleted all my other guys’ numbers out my phone for ya? / Remember when you broke your […]

 

9 years ago

GPL

PENZI LA SHUMILETA LAMTESA TX MOSHI JR

Brighton Masalu MAHABA niteketeze! Moshi William ‘Tx Moshi Jr’, mwimbaji wa Bendi ya Msondo Ngoma anaendelea kuwewesekea penzi la aliyekuwa mpenzi wake wa zamani ambaye pia ni msanii wa filamu Bongo, Jennifer Mwaipaja ‘Shumileta’. Moshi William ‘Tx Moshi Jr’, mwimbaji wa Bendi ya Msondo Ngoma. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni ndani ya Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jijini Dar, Moshi alisema ingawa...

 

10 years ago

GPL

PENZI KINYUME NA MAUMBILE LAMTESA LUNGI

Msanii wa filamu za Kibongo, Lungi Maulanga. Stori:Laurent Samatta
MSANII wa filamu za Kibongo, Lungi Maulanga, amesema kuwa mpenzi wake amekuwa akimsaliti kila kukicha huku akihisi kuwa, huenda wanawake anaowafuata huko nje wanampa mapenzi kinyume na maumbile.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Lungi alisema kuwa siku chache zilizopita alilia sana kutokana na usaliti aliofanyiwa na mpenzi wake aliyemhifadhi kwa jina,...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI UKUBALI PENZI LIFE UNAONA WAKATI BADO MNAPENDANA?

Mpenzi msomaji wangu, hivi umewahi kuhisi kwamba penzi lako limefikia mwisho japo bado upo na mpenzi wako, mchumba au mumeo/mkeo? Yaani upoupo tu, zile hisia tamu za mapenzi ulizokuwa nazo wakati mnayaanza mapenzi yenu hazipo tena, hufurahii kuwa naye, hamzungumzi mkaelewana badala yake kila siku ni ugomvi na migogoro isiyoisha! Kila unachokisema au atakachokisema hata kama ni kizuri vipi kinakuwa sawa na petroli kwenye moto,...

 

11 years ago

GPL

GONJWA LA AJABU LAMTESA

Stori: Makongoro oging’
Lawrent Lawrian, 42 (pichani), ni mkazi wa Kijiji cha Nyakisogo, Wilaya ya Biharamlo, mkoani Kagera, amekuwa mwenye huzuni na kukosa raha kwa muda wa miaka 35 kutokana na gonjwa la ajabu linalomtesa ambalo limemsababishia mambo mengi ikiwa ni pamoja na kutoendelea na masomo. Kijana Lawrent Lawrian, akiwa na uvimbe wa ajabu kichwani mwake. Gonjwa hilo la ajabu ni uvimbe kama nundu kichwani wenye...

 

10 years ago

Mtanzania

Jinamizi la Ukawa lamtesa Sitta

1...1..1.NA SARAH MOSSI, DODOMA
MAKADA wengine watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samuel Sitta, Profesa Sospeter Muhongo na Dk. Titus Kamani nao wamechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania nafasi ya urais.
Kujitosa kwa wanasiasa hao katika kinyang’anyiro hicho kunaifanya idadi ya makada wa chama hicho waliochukua fomu kufikia 13 hadi kufikia jana.

SITTA
Sitta, ambaye ni Waziri wa Uchukuzi, ndiye aliyekuwa wa pili kuchukua fomu hiyo kwa siku ya jana, akitanguliwa na Profesa Sospeter...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani