Jason Derulo aomba msamaha
CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa muziki wa RnB nchini Marekani, Jason Derulo, ameomba msamaha kwa mashabiki wake wa Afrika Kusini mara baada ya kutamka maneno yaliyotafsiriwa kuwa ni dharau kwa waliohudhuria onyesho lake.
Mkali huyo aliwauliza mashabiki wake kama wanajua Kiingereza ‘Y, all speak English, right?’ , maneno yaliyozua vurugu kwenye onyesho hilo lililoambatana na utolewaji wa tuzo za Afrika Kusini maarufu kama ANN7 zilizofanyika usiku wa jana huko Johannesburg.
“Sikujua kama naweza...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo530 Sep
Jason Derulo aweka wazi sababu za yeye na Jordin Sparks kuachana
9 years ago
Bongo528 Oct
Video: Jason Derulo afanya ‘live cover’ ya wimbo wa Fetty Wap ‘Trap Queen’
9 years ago
Bongo520 Oct
Jason Derulo awekwa kitimoto Afrika Kusini baada ya kuwauliza kama wanajua Kiingereza!
11 years ago
GPL05 Jun
10 years ago
Bongo526 Nov
Jordin Sparks amdis ex-mchumba wake Jason Derulo kwenye wimbo mpya ‘How Bout Now’ remix
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Kanye West aomba Msamaha