Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanye West aomba Msamaha

Kanye West ametekeleza matakwa ya kesi iliyokuwa ikimkabilia ya kumpiga paparazi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Kanye West awaomba msamaha hadharani Bruno Mars na msanii aliyetaka kumnyakua mic wakati wa Grammy

Baada ya utani alioufanya Kanye West kutaka kumnyakua mic msanii wa rock, Beck kwenye tuzo za Grammy 2015 aliyeshinda kipengele cha ‘Album of The Year’ ambacho Kanye alipendelea ashinde Beyonce aliyekuwa pia akiwania, Kanye amemuomba radhi msanii huyo kupitia Twitter. Kanye pia amemuomba msamaha Bruno Mars ambaye amekiri kuwa alikuwa akimchukia kwa muda mrefu. Katika […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa Kim na Kanye West aitwa Saint West

Kim Kardashian West na Kanye West wamempa mtoto wao wa pili jina Saint West.

 

9 years ago

Mtanzania

Jason Derulo aomba msamaha

Jason DeruloCHRISTOPHER MSEKENA

NYOTA wa muziki wa RnB nchini Marekani, Jason Derulo, ameomba msamaha kwa mashabiki wake wa Afrika Kusini mara baada ya kutamka maneno yaliyotafsiriwa kuwa ni dharau kwa waliohudhuria onyesho lake.

Mkali huyo aliwauliza mashabiki wake kama wanajua Kiingereza ‘Y, all speak English, right?’ , maneno yaliyozua vurugu kwenye onyesho hilo lililoambatana na utolewaji wa tuzo za Afrika Kusini maarufu kama ANN7 zilizofanyika usiku wa jana huko Johannesburg.

“Sikujua kama naweza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndugu ya Adebayor aomba msamaha

Ndugu ya mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Emmanuel Adebayor ameomba msamaha baada ya nyota huyo kumshtumu katika mtandao wa facebook

 

10 years ago

BBCSwahili

Yaya aliyemtesa mtoto UG aomba msamaha

Mfanyakazi wa nyumbani aliyenaswa kwenye kanda ya video akimchapa na kumkanyaga mtoto nchini Uganda, ameomba msamaha kwa kosa hilo

 

9 years ago

BBCSwahili

Sanders aomba msamaha kumdukua Hillary Clinton

Bernie Sanders amekiri na kuomba msamaha kwa Bi Hillary Clinton kwa kudukua taarifa za upigaji kura zilizoandaliwa na kampeini yake

 

10 years ago

BBCSwahili

Gervinho aomba msamaha kwa kadi nyekundu

Mchezaji wa Ivory Coast Gervinho ameomba msamaha baada ya kupewa kadi nyekundu kwa kumpiga mlinzi wa timu ya Guinea Naby Keita

 

10 years ago

GPL

BOBBY BROWN AOMBA MSAMAHA KWA KUSAHAU MASHAIRI

Mwanamuziki wa kimataifa wa R&B, Bobby Brown. GEORGIA, Marekani
MWANAMUZIKI wa kimataifa wa R&B, Bobby Brown hivi karibuni aliwaomba msamaha mashabiki waliohudhuria kwenye tamasha lake huko Atlanta, Georgia baada ya kusahau mashairi ya wimbo aliokuwa anaimba hali iliyosababisha yeye na madensa wake kupishana jukwaani. Bobby hakuonekana kabisa mwenye furaha katika tamasha hilo ambalo ni la pili kufanya tangu Januari… ...

 

10 years ago

CloudsFM

Ngassa ajuta kuwatosa El Merreikh, aomba msamaha mashabiki wa simba, adai Yanga wamemgeuka

Na Richard Bakana, Dar es salaam
MSHAMBULIAJI wa klabu ya Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mrisho Ngassa, amejutia uamuzi wake wa kukataa kujiunga na El Merreikh ya Sudan akisema kuwa yalikuwa ni mapenzi yake makubwa kuichezea Yanga.

Akiongea na Shaffihdauda.com baada ya mchezo wa jana alipoibuka shujaa kwa kuifungia Yanga bao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, Ngassa alisema kuwa baada ya kugundua alifanya makosa makubwa kuwagomea Simba na Azam FC ambao ndio walitaka kumpeleka El...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani