Kanye West aomba Msamaha
Kanye West ametekeleza matakwa ya kesi iliyokuwa ikimkabilia ya kumpiga paparazi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo527 Feb
Kanye West awaomba msamaha hadharani Bruno Mars na msanii aliyetaka kumnyakua mic wakati wa Grammy
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Mtoto wa Kim na Kanye West aitwa Saint West
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Jason Derulo aomba msamaha
CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa muziki wa RnB nchini Marekani, Jason Derulo, ameomba msamaha kwa mashabiki wake wa Afrika Kusini mara baada ya kutamka maneno yaliyotafsiriwa kuwa ni dharau kwa waliohudhuria onyesho lake.
Mkali huyo aliwauliza mashabiki wake kama wanajua Kiingereza ‘Y, all speak English, right?’ , maneno yaliyozua vurugu kwenye onyesho hilo lililoambatana na utolewaji wa tuzo za Afrika Kusini maarufu kama ANN7 zilizofanyika usiku wa jana huko Johannesburg.
“Sikujua kama naweza...
10 years ago
BBCSwahili11 May
Ndugu ya Adebayor aomba msamaha
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Yaya aliyemtesa mtoto UG aomba msamaha
9 years ago
BBCSwahili20 Dec
Sanders aomba msamaha kumdukua Hillary Clinton
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Gervinho aomba msamaha kwa kadi nyekundu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k6V01nAgTUXFqKYFmLJeORpb7TDQZHptRliSyi9IhO2mcWtJs3CUaaDKiVoBOe9nJQvG-hg7fpFaFrSRJwVYfoz/2A3F8029000005783150288imagem20_1436126767798.jpg?width=650)
BOBBY BROWN AOMBA MSAMAHA KWA KUSAHAU MASHAIRI
10 years ago
CloudsFM10 Feb
Ngassa ajuta kuwatosa El Merreikh, aomba msamaha mashabiki wa simba, adai Yanga wamemgeuka
MSHAMBULIAJI wa klabu ya Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mrisho Ngassa, amejutia uamuzi wake wa kukataa kujiunga na El Merreikh ya Sudan akisema kuwa yalikuwa ni mapenzi yake makubwa kuichezea Yanga.
Akiongea na Shaffihdauda.com baada ya mchezo wa jana alipoibuka shujaa kwa kuifungia Yanga bao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, Ngassa alisema kuwa baada ya kugundua alifanya makosa makubwa kuwagomea Simba na Azam FC ambao ndio walitaka kumpeleka El...