Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanye West awaomba msamaha hadharani Bruno Mars na msanii aliyetaka kumnyakua mic wakati wa Grammy

Baada ya utani alioufanya Kanye West kutaka kumnyakua mic msanii wa rock, Beck kwenye tuzo za Grammy 2015 aliyeshinda kipengele cha ‘Album of The Year’ ambacho Kanye alipendelea ashinde Beyonce aliyekuwa pia akiwania, Kanye amemuomba radhi msanii huyo kupitia Twitter. Kanye pia amemuomba msamaha Bruno Mars ambaye amekiri kuwa alikuwa akimchukia kwa muda mrefu. Katika […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kanye West aomba Msamaha

Kanye West ametekeleza matakwa ya kesi iliyokuwa ikimkabilia ya kumpiga paparazi.

 

10 years ago

Bongo5

Audio: Kanye West adai hatoshiriki kwenye tuzo za Grammy hadi warekebishe makosa

Kanye West ameendelea kushikilia msimamo wake kuwa ni Beyonce ndiye aliyestahili kushinda tuzo ya Album of the Year kwenye Grammys badala ya Beck. Akiongea kwenye kipindi cha On Air With Ryan Seacrest jana (Feb. 12) Kanye alidai kuwa hatorudi tena kwenye tuzo hizo hadi pale atakakaa na waandaji wa tuzo hizo na kuzungumza jinsi ya […]

 

11 years ago

GPL

KIPA WA HISPANIA AWAOMBA MSAMAHA MASHABIKI

Kipa wa Hispania, Iker Casillas.  Robin van Persie akimlamba chenga kipa wa Hispania, Iker Casillas kabla ya kuifungia Uholanzi bao la nne katika ushindi wa 5-1 kwenye mechi ya Kundi B Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil. Kipa wa Hispania, Iker Casillas, amewaomba msamaha mashabiki kutokana na kikosi chao kuchapwa mabao 5-1 na Uholanzi kwenye Kombe… ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa Kim na Kanye West aitwa Saint West

Kim Kardashian West na Kanye West wamempa mtoto wao wa pili jina Saint West.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Kanye West — When I See It’ + ‘Say You Will (Remix)

Kanye West quietly dropped two new songs on his SoundCloud account on Monday afternoon. The first is a remix to The Weeknd’s “Tell Your Friends,” which he produced, entitled “When I See It.” The under-two-minute track finds Kanye singing in Auto-Tune. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata […]

 

11 years ago

GPL

HARUSI YA KANYE WEST KUFURU

Matukio mbalimbali ya sherehe hiyo katika picha. Wageni waalikwa wakiwa ndani ya ndege wakielekea Florence, Italia kwa ajili ya ndoa ya Kim na Kanye.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Kanye West azindua bibilia yake

Kitabu hicho kitukufu kimebadilishwa na kuwa Biblia ya sasa kwa jina ''Yeezus'' na amini usiamini kila jina la Mungu limebadilishwa na lile la Kanye West

 

9 years ago

Mtanzania

Kanye West kuwania urais 2020

KIM KARDASHIAN and Kanye West Out DinnerNEW YORK, Marekani

NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, ametangaza nia ya kuwania urais wa nchi hiyo mwaka 2020.

Msanii huyo aliweka wazi mpango wake huo wakati wa utoaji wa tuzo za VMA ‘MTV Video Muzic’ nchini humo huku akiamini kuwa kutangaza huko ni maamuzi magumu kwake.

Alipojinadi alidai ana uhakika ataingia Ikulu ya Marekani yeye na mkewe mwanamitindo, Kim Kardashian.

“Natangaza rasmi kuwa mwaka 2020 nitajitupa katika kinyang’any’iro cha kuwania urais kwa imani kubwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Kanye West, Justin Timberlake wapondana

kanye_and_justin_timberlakeNEW YORK, Marekani

MSANII wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, amewaponda wasanii wenzake akidai wanakosa tuzo mbalimbali kutokana na kukosa heshima kwa wasanii wenzao.

Dongo hilo alilirusha kwa msanii wa RnB, Justin Timberlake, Ceelo Green na wasanii wengine, akidai ndiyo maana hana sababu ya kuhoji kwa nini wamekosa tuzo ya ‘MTV Video Music’.

“Nawachukia sana wasanii wasio na heshima kwa wasanii wenzao, akiwemo Timberlake, Ceelo Green na wengine wengi, ndiyo maana sishangai...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani