Kanye West awaomba msamaha hadharani Bruno Mars na msanii aliyetaka kumnyakua mic wakati wa Grammy
Baada ya utani alioufanya Kanye West kutaka kumnyakua mic msanii wa rock, Beck kwenye tuzo za Grammy 2015 aliyeshinda kipengele cha ‘Album of The Year’ ambacho Kanye alipendelea ashinde Beyonce aliyekuwa pia akiwania, Kanye amemuomba radhi msanii huyo kupitia Twitter. Kanye pia amemuomba msamaha Bruno Mars ambaye amekiri kuwa alikuwa akimchukia kwa muda mrefu. Katika […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Kanye West aomba Msamaha
10 years ago
Bongo512 Feb
Audio: Kanye West adai hatoshiriki kwenye tuzo za Grammy hadi warekebishe makosa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRnvy*hqTAz5v4H1IqLDOCt0BlxG9j*klCnLIIDa3QS*QlV4diBa66t1QOVGb8XawBoQBrmYdiVN8dSwyLWNcTby/CAS.jpg?width=650)
KIPA WA HISPANIA AWAOMBA MSAMAHA MASHABIKI
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Mtoto wa Kim na Kanye West aitwa Saint West
9 years ago
Bongo520 Oct
Music: Kanye West — When I See It’ + ‘Say You Will (Remix)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVUmkSPKUd140T3EDRwyMw0tXzmVOa*fafNGSi8Se*Lzm27nlU45Aq3G1dXHiohZ9xCzf9-GfD9bII3d5MS2TMhF/HARUSI20.jpg?width=650)
HARUSI YA KANYE WEST KUFURU
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Kanye West azindua bibilia yake
9 years ago
Mtanzania01 Sep
Kanye West kuwania urais 2020
NEW YORK, Marekani
NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, ametangaza nia ya kuwania urais wa nchi hiyo mwaka 2020.
Msanii huyo aliweka wazi mpango wake huo wakati wa utoaji wa tuzo za VMA ‘MTV Video Muzic’ nchini humo huku akiamini kuwa kutangaza huko ni maamuzi magumu kwake.
Alipojinadi alidai ana uhakika ataingia Ikulu ya Marekani yeye na mkewe mwanamitindo, Kim Kardashian.
“Natangaza rasmi kuwa mwaka 2020 nitajitupa katika kinyang’any’iro cha kuwania urais kwa imani kubwa...
9 years ago
Mtanzania02 Sep
Kanye West, Justin Timberlake wapondana
NEW YORK, Marekani
MSANII wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, amewaponda wasanii wenzake akidai wanakosa tuzo mbalimbali kutokana na kukosa heshima kwa wasanii wenzao.
Dongo hilo alilirusha kwa msanii wa RnB, Justin Timberlake, Ceelo Green na wasanii wengine, akidai ndiyo maana hana sababu ya kuhoji kwa nini wamekosa tuzo ya ‘MTV Video Music’.
“Nawachukia sana wasanii wasio na heshima kwa wasanii wenzao, akiwemo Timberlake, Ceelo Green na wengine wengi, ndiyo maana sishangai...