Kanye West, Justin Timberlake wapondana
NEW YORK, Marekani
MSANII wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, amewaponda wasanii wenzake akidai wanakosa tuzo mbalimbali kutokana na kukosa heshima kwa wasanii wenzao.
Dongo hilo alilirusha kwa msanii wa RnB, Justin Timberlake, Ceelo Green na wasanii wengine, akidai ndiyo maana hana sababu ya kuhoji kwa nini wamekosa tuzo ya ‘MTV Video Music’.
“Nawachukia sana wasanii wasio na heshima kwa wasanii wenzao, akiwemo Timberlake, Ceelo Green na wengine wengi, ndiyo maana sishangai...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV0d-l9qZGiXWetbExokgtpEa37AuNMARjqMDL4Qxd3a9q4E-Oyl6AWy7dfulRHtVyg4gs0W2WHg2zR0mxAdElSc/JustinTimberlake600x560.png)
JUSTIN TIMBERLAKE ATHIBITISHA MKEWE KUWA MJAMZITO
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Mtoto wa Kim na Kanye West aitwa Saint West
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Kanye West aomba Msamaha
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVUmkSPKUd140T3EDRwyMw0tXzmVOa*fafNGSi8Se*Lzm27nlU45Aq3G1dXHiohZ9xCzf9-GfD9bII3d5MS2TMhF/HARUSI20.jpg?width=650)
HARUSI YA KANYE WEST KUFURU
9 years ago
Bongo520 Oct
Music: Kanye West — When I See It’ + ‘Say You Will (Remix)
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Kanye West amuanika mkewe mtandaoni
9 years ago
Bongo501 Oct
Music: The Game Ft. Kanye West — Mula
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Kanye West kumzawadia mwanaye wimbo
BAADA ya Kanye West na mke wake Kim Kardashian, kufanikiwa kupata mtoto wa kiume ambaye amepewa jina la Saint West, msanii ameamua kuumiza kichwa kwa ajili ya kumpa zawadi ya wimbo mtoto huyo.
Kwa sasa mtoto huyo amekuwa akitajwa sana katika mitandao ya kijamii kutokana na umaarufu wa baba na mama yake, lakini Kanye West amesema anatarajia kuachia wimbo mkali ambao utakuwa ni zawadi kwa mtoto huyo.
“Mungu ametupatia zawaidi ya mtoto mwingine, lakini na mimi ninataka kumpa zawadi ya wimbo...
9 years ago
Mtanzania01 Sep
Kanye West kuwania urais 2020
NEW YORK, Marekani
NYOTA wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Kanye West, ametangaza nia ya kuwania urais wa nchi hiyo mwaka 2020.
Msanii huyo aliweka wazi mpango wake huo wakati wa utoaji wa tuzo za VMA ‘MTV Video Muzic’ nchini humo huku akiamini kuwa kutangaza huko ni maamuzi magumu kwake.
Alipojinadi alidai ana uhakika ataingia Ikulu ya Marekani yeye na mkewe mwanamitindo, Kim Kardashian.
“Natangaza rasmi kuwa mwaka 2020 nitajitupa katika kinyang’any’iro cha kuwania urais kwa imani kubwa...