Ngassa ajuta kuwatosa El Merreikh, aomba msamaha mashabiki wa simba, adai Yanga wamemgeuka
MSHAMBULIAJI wa klabu ya Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mrisho Ngassa, amejutia uamuzi wake wa kukataa kujiunga na El Merreikh ya Sudan akisema kuwa yalikuwa ni mapenzi yake makubwa kuichezea Yanga.
Akiongea na Shaffihdauda.com baada ya mchezo wa jana alipoibuka shujaa kwa kuifungia Yanga bao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, Ngassa alisema kuwa baada ya kugundua alifanya makosa makubwa kuwagomea Simba na Azam FC ambao ndio walitaka kumpeleka El...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo29 Oct
Matola aomba sapoti kwa mashabiki Simba
KOCHA msaidizi wa Simba, Selemani Matola, amewataka mashabiki wa timu hiyo kuendelea kuipa sapoti yao, kwani bado ina nafasi ya kufanya maajabu kwa kubeba ubingwa wa Tanzania Bara msimu huu.
10 years ago
Vijimambo09 Mar
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4Tbc3znYEWVDrQnXvbH2D2SleSEg-biEs1iaidUEsHtJrrQ*rQBSZjGzZ54-iqeqk-1skRC8rFA2AGSct9M4U-Od/mashabiki.jpg?width=650)
Mashabiki Yanga waishabikia Simba
10 years ago
BBCSwahili11 May
Ndugu ya Adebayor aomba msamaha
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Kanye West aomba Msamaha
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Jason Derulo aomba msamaha
CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa muziki wa RnB nchini Marekani, Jason Derulo, ameomba msamaha kwa mashabiki wake wa Afrika Kusini mara baada ya kutamka maneno yaliyotafsiriwa kuwa ni dharau kwa waliohudhuria onyesho lake.
Mkali huyo aliwauliza mashabiki wake kama wanajua Kiingereza ‘Y, all speak English, right?’ , maneno yaliyozua vurugu kwenye onyesho hilo lililoambatana na utolewaji wa tuzo za Afrika Kusini maarufu kama ANN7 zilizofanyika usiku wa jana huko Johannesburg.
“Sikujua kama naweza...
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Mashabiki Yanga wang’ara kwa Simba
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Yaya aliyemtesa mtoto UG aomba msamaha