Mashabiki Yanga waishabikia Simba
![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4Tbc3znYEWVDrQnXvbH2D2SleSEg-biEs1iaidUEsHtJrrQ*rQBSZjGzZ54-iqeqk-1skRC8rFA2AGSct9M4U-Od/mashabiki.jpg?width=650)
Mashabiki wa Yanga. Lucy Mgina na Ibrahim Mussa KATIKA tukio la kushangaza, ambalo pengine lilionekana ni kama mchezo wa kuigiza, mashabiki wa Yanga, jana Jumapili waliamua kufunika kombe baada ya kuishabikia Simba kwa nguvu zote huku baadhi yao wakiwa na bendera za Msimbazi. Mashabiki wa Yanga ambao wengi wao walikuwa wakiipa nguvu Simba ili iifunge Azam kwenye Uwanja wa Taifa, walifanya hivyo ili Azam ipunguzwe kasi kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Mar
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Mashabiki Yanga wang’ara kwa Simba
11 years ago
MichuziWABUNGE MASHABIKI WA YANGA WAONYESHANA UBABE NA WENZAO WA SIMBA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-spDM_WORaWo/VEE9H0FwlHI/AAAAAAAGrX8/0EJ4bMvkELk/s72-c/Simba-vs-Yanga.-.jpg)
kuelekea mtanange wa Simba na Yanga, mashabiki milioni 20 matumbo joto
![](http://1.bp.blogspot.com/-spDM_WORaWo/VEE9H0FwlHI/AAAAAAAGrX8/0EJ4bMvkELk/s1600/Simba-vs-Yanga.-.jpg)
Hakuna takwimu sahihi za mashabiki wa klabu kongwe nchini za Simba na Yanga ni wangapi, lakini si chini ya watu milioni 20, akili zao zitasimama kwa takriban dk 90 na kupata kiwewe cha huzuni au furaha wakati miamba hiyo itakapovaana hapo kesho Taifa.
Joto la mechi hiyo tayari limepanda Zaidi ya nyuzi 90 huku kukiwa na hisia tofauti zikiwemo za udanganyifu wa wachezaji kuwa majeruhi ili kuteka akili za wapinzani.
Tayari kuna taarifa Yanga itawakosa wachezaji wake muhimu akiwemo...
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
NANI MTANI JEMBE??: Baadhi ya Tambo za Waigizaji Mashabiki wa Simba na Yanga
Leo ikiwa ni ile siku iliokkwa ikisubiliwa kwa hamu kujua nani ni MTANI JEMBE. Hizi ni baadhi ya tambo za waigizaji wa filamu ambao ni mashabiki wa timu hizi mbili za Samba na Yanga ambazo leo jioni zitavaana ili kujua nani ni mtani jembe.kumbuka mwaka jana Simba ndio alieibuka mtani jembe..Leo Jeeee?!!!!
Soma maneno walioandika mitandaoni kuelekea mechi hii.
Jb: Hakuna miujiza aliyezoea kufungwa na leo atafungwa.poleni sana yebo yebo...(picha akiwana jezi yake nyekundu)
Riyama: Kelele za...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2gmXdC3U0uk/U4hu0GHrCII/AAAAAAAFme0/BAZTBfKFv-s/s72-c/si1.jpg)
benki ya posta YAZINDUA KADI ZA AKAUNTI KWA WANACHAMA NA MASHABIKI wa SIMBA NA YANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2gmXdC3U0uk/U4hu0GHrCII/AAAAAAAFme0/BAZTBfKFv-s/s1600/si1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ud_kIEDbWPw/U4hu0fRzQLI/AAAAAAAFme4/MUL5cqpBRZo/s1600/si2.jpg)
10 years ago
VijimamboMASHABIKI YANGA, SIMBA WAFANANISHA UFICHO WA MAPATO MTANI JEMBE SAWA NA ESCROW
10 years ago
CloudsFM10 Feb
Ngassa ajuta kuwatosa El Merreikh, aomba msamaha mashabiki wa simba, adai Yanga wamemgeuka
MSHAMBULIAJI wa klabu ya Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mrisho Ngassa, amejutia uamuzi wake wa kukataa kujiunga na El Merreikh ya Sudan akisema kuwa yalikuwa ni mapenzi yake makubwa kuichezea Yanga.
Akiongea na Shaffihdauda.com baada ya mchezo wa jana alipoibuka shujaa kwa kuifungia Yanga bao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, Ngassa alisema kuwa baada ya kugundua alifanya makosa makubwa kuwagomea Simba na Azam FC ambao ndio walitaka kumpeleka El...