benki ya posta YAZINDUA KADI ZA AKAUNTI KWA WANACHAMA NA MASHABIKI wa SIMBA NA YANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2gmXdC3U0uk/U4hu0GHrCII/AAAAAAAFme0/BAZTBfKFv-s/s72-c/si1.jpg)
Mkurugenzi wa Masoko na Maendeleo ya Biashara wa Benki ya Posta Bw. Deo Kwiyukwa (wa pili kulia) akitoa maelekezo kwa baadhi ya viongozi na wanachama wa Simba waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa kadi za akaunti za benki hiyo kwa ajili ya wanachama na mashabiki wa vilabu vya Simba na Yanga leo katika hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es salaam
Mkurugenzi wa Masoko na Maendeleo ya Biashara wa Benki ya Posta Bw. Deo Kwiyukwa akimkabidhi mtangazaji Ephraim Kibonde wa Clouds FM mfano wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TNcxR7reAwQ/VFJDx-SgsII/AAAAAAAGuPA/ot7KAV10JYE/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
Mbeya City FC wakabidhiwa Kadi maalum kwa wapenzi wa timu hiyo kutoka Benki ya Posta
![](http://3.bp.blogspot.com/-TNcxR7reAwQ/VFJDx-SgsII/AAAAAAAGuPA/ot7KAV10JYE/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kmpysSHPm5M/VYFVnIkvewI/AAAAAAAC6_k/ZBVj1jCiBKM/s72-c/2.jpg)
BENKI YA NMB YAZINDUA RASMI FAMILIA YA KADI ZA BENKI “MASTERCARD DEBIT” ZINAZOKUBALIKA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kmpysSHPm5M/VYFVnIkvewI/AAAAAAAC6_k/ZBVj1jCiBKM/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KN9dDqZWvuw/VYFVnXlWEuI/AAAAAAAC6_g/MO9a-pGQMW8/s640/3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-25GfuUw2PCk/VnPa1UVcFoI/AAAAAAAINOU/myxQPM_gjF4/s72-c/IMG_8607.jpg)
BENKI YA BARCLAYS TANZANIA YAZINDUA KAMPENI YA MATUMIZI YA KADI ZA VISA KWA WATEJA WAKE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-25GfuUw2PCk/VnPa1UVcFoI/AAAAAAAINOU/myxQPM_gjF4/s640/IMG_8607.jpg)
Meneja wa bidhaa wa benki ya Barclays Tanzania, Valence Luteganya akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa kuzindua kampeni ya matumizi ya Kadi za VISA za benki ya Barclays kwaajili ya wateja wake. Pia Lutenganya amesema kuwa kampeni hii itadumu kwa muda wa miezi mitatu kuanzia Desemba 17 mwaka huu hadi Februari 28, 2016. Kampeni hii itamwezesha mteja kunufaika na mafao mbalimbali yanayohusiana na malipo kabla na baada ya kutumia kadi zao za Visa. Wateja wenye...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qHB675Yx0R4/VFJGbTY0cKI/AAAAAAAGuPM/_MYKcBtaGv0/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
kadi ya ushabiki ya benki ya posta ya mbeya city yazinduliwa leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-qHB675Yx0R4/VFJGbTY0cKI/AAAAAAAGuPM/_MYKcBtaGv0/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-I_IJH7zWK3M/VFJHoaaLMbI/AAAAAAAGuPY/20vY-bOtBxY/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JAlzQJpSu_4/Xkqe04oG7AI/AAAAAAAEFDM/LD7q7-87BUEO7k6kGYTzgIYkocyVcTrjgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Benki ya Exim yazindua kampeni ya Chanja Kijanja kwa wateja wake wanaomiliki kadi za MasterCard.
![](https://1.bp.blogspot.com/-JAlzQJpSu_4/Xkqe04oG7AI/AAAAAAAEFDM/LD7q7-87BUEO7k6kGYTzgIYkocyVcTrjgCLcBGAsYHQ/s320/download.png)
Uzinduzi wa kampeni hiyo mpya iliyopewa jina la 'Chanja Kijanja na Exim Mastercard' unalenga kutoa fursa ya kipekee kwa wateja wa benki hiyo kufurahia huduma zinazokwenda sambamba na mfumo wa maisha yao kupitia benki hiyo.
Kwa mujibu wa mkuu wa kitengo cha wateja wadogo na kati wa Benki ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-22W4xJgKL2k/VXhEVvQrkiI/AAAAAAAHecM/ZJ3aVvcZwa0/s72-c/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
Benki ya NBC yazindua kampeni ya akaunti za mishahara
![](http://2.bp.blogspot.com/-22W4xJgKL2k/VXhEVvQrkiI/AAAAAAAHecM/ZJ3aVvcZwa0/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qNMl4GdjXvg/VXhEVviLMQI/AAAAAAAHecU/BQK_YhegMtc/s640/.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pYFb1sBB0GI/VWw9dbeiBLI/AAAAAAAC5Xk/ASq9Nzr7lY0/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya Exim yazindua kampeni kuhamasisha akaunti ya Amana ya malengo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pYFb1sBB0GI/VWw9dbeiBLI/AAAAAAAC5Xk/ASq9Nzr7lY0/s320/unnamed.jpg)
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo uliofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma lililopita, Meneja Bidhaa wa Benki hiyo, Bw Aloyse Maro alisema lengo kuu la kampeni hiyo ni kukuza utamaduni wa kuweka akiba hapa nchini ili kuongeza tija kwenye...
10 years ago
MichuziBENKI YA BARCLAYS YAZINDUA KADI YA ATM DOLA
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Mashabiki Yanga wang’ara kwa Simba