kadi ya ushabiki ya benki ya posta ya mbeya city yazinduliwa leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-qHB675Yx0R4/VFJGbTY0cKI/AAAAAAAGuPM/_MYKcBtaGv0/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini Dkt. Norman Sigela (wa pili kulia) pamoja na Meya wa jiji la Mbeya Ndugu Athanas Kapunga (kulia) wakipokea kadi ya ushabiki ya Mbeya City Football Club kutoka kwa Kaimu Mtendaji wa Benki ya Posta Tanzania Ndugu Jema Msuya (wa tatu kushoto). Wa pil kushoto kwenye picha ni Mkurugenzi wa masoko wa benki ya Posta Mr Deogratius Kwiyukwa. Chini ni viongozi na wachezaji wa Mbeya City.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TNcxR7reAwQ/VFJDx-SgsII/AAAAAAAGuPA/ot7KAV10JYE/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
Mbeya City FC wakabidhiwa Kadi maalum kwa wapenzi wa timu hiyo kutoka Benki ya Posta
![](http://3.bp.blogspot.com/-TNcxR7reAwQ/VFJDx-SgsII/AAAAAAAGuPA/ot7KAV10JYE/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2gmXdC3U0uk/U4hu0GHrCII/AAAAAAAFme0/BAZTBfKFv-s/s72-c/si1.jpg)
benki ya posta YAZINDUA KADI ZA AKAUNTI KWA WANACHAMA NA MASHABIKI wa SIMBA NA YANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2gmXdC3U0uk/U4hu0GHrCII/AAAAAAAFme0/BAZTBfKFv-s/s1600/si1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ud_kIEDbWPw/U4hu0fRzQLI/AAAAAAAFme4/MUL5cqpBRZo/s1600/si2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Aug
Benki ya Posta Tanzania, yasaidia shule za msingi wilayani Ileje mkoani Mbeya
![](http://3.bp.blogspot.com/-abIV-EwZRWM/VcWOrMQvIpI/AAAAAAAAXSc/-nWNTa1Vx9s/s640/Mbene_TPB%2Bschool%2Bdesks.jpg)
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mmbene, (wapili kushoto), akipeana mikono na Meneja msaidizi wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, tawi la Tunduma, Teddy Msanzi, wakati wa hafla ya kukabidhi madawati yaliyotolewa kama msaada na benki hiyo, kusaidia shule mbili za msingi wilayani Ileje, mkoa wa Mbeya, hivi karibuni.
NA K-VIS MEDIA
Benki ya Posta Tanzania (TPB) kupitia tawi lake la Tunduma, imetoa msaada wa madawati 100 yenye thamani ya shilingi Milioni Tatu kwa shule mbili za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kmpysSHPm5M/VYFVnIkvewI/AAAAAAAC6_k/ZBVj1jCiBKM/s72-c/2.jpg)
BENKI YA NMB YAZINDUA RASMI FAMILIA YA KADI ZA BENKI “MASTERCARD DEBIT” ZINAZOKUBALIKA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kmpysSHPm5M/VYFVnIkvewI/AAAAAAAC6_k/ZBVj1jCiBKM/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KN9dDqZWvuw/VYFVnXlWEuI/AAAAAAAC6_g/MO9a-pGQMW8/s640/3.jpg)
9 years ago
Habarileo17 Oct
Mbeya City, Simba leo ni leo
WATACHOMOKA? Hakika Wekundu wa Msimbazi wameweka dhamira kuwa wanataka kuvunja mwiko katika viwanja vyote vigumu ikiwemo katika mchezo wa leo dhidi ya Mbeya City utakaochezwa Sokoine jijini Mbeya kwa kuhakikisha wanapata pointi tatu muhimu.
11 years ago
Mwananchi31 May
Mbeya City yaivaa Victoria leo
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Mbeya City kuipa taji Azam FC leo?
KIVUMBI cha kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara kitaendelea tena leo kwa mabingwa watetezi, Yanga na vinara wa ligi hiyo Azam kushuka katika viwanja tofauti kuwania pointi tatu muhimu....
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Mbeya City yaua, Prisons v Simba leo