Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbeya City yaivaa Victoria leo

City ilitinga robo fainali baada ya kuifunga Academie Tchite ya Burundi kwa mabao 3-2, kabla ya kufungwa na AFC Leopards ya Kenya 2-1,  kulazimishwa sare na Entincelles ya Rwanda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Simba yaivaa Azam, Prison v Mbeya City

 Kulinda heshima, ndicho anachokitaka kocha wa Simba, Goran Kopunovic leo katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Azam.

 

10 years ago

Habarileo

Mbeya City, Simba leo ni leo

WATACHOMOKA? Hakika Wekundu wa Msimbazi wameweka dhamira kuwa wanataka kuvunja mwiko katika viwanja vyote vigumu ikiwemo katika mchezo wa leo dhidi ya Mbeya City utakaochezwa Sokoine jijini Mbeya kwa kuhakikisha wanapata pointi tatu muhimu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City yaua, Prisons v Simba leo

Mbeya. Mbeya City imeichakaza Rhino Rangers kwa mabao 3-1  jana kwenye Uwanja wa Sokoine, wakati ndugu zao wa Tanzania Prisons, leo wataivaa Simba kwenye uwanja huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbeya City kuipa taji Azam FC leo?

KIVUMBI cha kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara kitaendelea tena leo kwa mabingwa watetezi, Yanga na vinara wa ligi hiyo Azam kushuka katika viwanja tofauti kuwania pointi tatu muhimu....

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yaivaa Prisons leo

‘Kutenda kosa si kosa, ila kosa kurudia kosa...’ hiyo ni kauli mbio ya Yanga watakaposhuka leo kwenye Uwanja wa Taifa, kuwakaribisha Tanzania Prisons, huku JKT Ruvu wataonyeshana kazi na Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yaivaa Tuskers leo

>Mabingwa  watetezi wa Kombe la Mapinduzi, Azam FC  leo watashuka Uwanja wa Amaan, kumenyana  na  Tusker Fc ya Kenya, katika mchezo wa Kundi C.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yawavaa KMKM leo, Mbeya City, Ashanti hoi

>Kocha mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic leo ataiongoza timu yake kuikabili KMKM kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba SC, Mbeya City vita mpya Uwanja wa Taifa leo

Simba inaikabili Mbeya City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaofanyika Kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na inatakiwa kushinda mchezo huo ili kufufua matumaini ya kuwania ubingwa msimu huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani