Mbeya City, Simba leo ni leo
WATACHOMOKA? Hakika Wekundu wa Msimbazi wameweka dhamira kuwa wanataka kuvunja mwiko katika viwanja vyote vigumu ikiwemo katika mchezo wa leo dhidi ya Mbeya City utakaochezwa Sokoine jijini Mbeya kwa kuhakikisha wanapata pointi tatu muhimu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Mbeya City yaua, Prisons v Simba leo
Mbeya. Mbeya City imeichakaza Rhino Rangers kwa mabao 3-1 Â jana kwenye Uwanja wa Sokoine, wakati ndugu zao wa Tanzania Prisons, leo wataivaa Simba kwenye uwanja huo.
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Simba SC, Mbeya City vita mpya Uwanja wa Taifa leo
Simba inaikabili Mbeya City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaofanyika Kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na inatakiwa kushinda mchezo huo ili kufufua matumaini ya kuwania ubingwa msimu huu.
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Simba yawavaa KMKM leo, Mbeya City, Ashanti hoi
>Kocha mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic leo ataiongoza timu yake kuikabili KMKM kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
11 years ago
Mwananchi31 May
Mbeya City yaivaa Victoria leo
City ilitinga robo fainali baada ya kuifunga Academie Tchite ya Burundi kwa mabao 3-2, kabla ya kufungwa na AFC Leopards ya Kenya 2-1, kulazimishwa sare na Entincelles ya Rwanda.
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Mbeya City kuipa taji Azam FC leo?
KIVUMBI cha kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara kitaendelea tena leo kwa mabingwa watetezi, Yanga na vinara wa ligi hiyo Azam kushuka katika viwanja tofauti kuwania pointi tatu muhimu....
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Simba dimbani leo, City yatulizwa
Baada ya kupokea vipigo wiki iliyopita, Simba na Ruvu Shoooting leo zinakutana katika mechi ya Ligi Kuu Bara itakayochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini, Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Michuzi.jpg)
kadi ya ushabiki ya benki ya posta ya mbeya city yazinduliwa leo
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
YANGA YAICHAPA MBEYA CITY BAO 3 - 1 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO



Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania