Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yaivaa Prisons leo

‘Kutenda kosa si kosa, ila kosa kurudia kosa...’ hiyo ni kauli mbio ya Yanga watakaposhuka leo kwenye Uwanja wa Taifa, kuwakaribisha Tanzania Prisons, huku JKT Ruvu wataonyeshana kazi na Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOKWAANA NA PRISONS LEO

Kikosi cha Yanga SC. 1. Deo Munish "Dida" - 30
2. Juma Abdul - 12
3. Edward Charles - 28
4. Nadir Haroub "Cannavaro" - 23
5. Kelvin Yondani "Cotton" - 5…

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yaivaa Tuskers leo

>Mabingwa  watetezi wa Kombe la Mapinduzi, Azam FC  leo watashuka Uwanja wa Amaan, kumenyana  na  Tusker Fc ya Kenya, katika mchezo wa Kundi C.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City yaivaa Victoria leo

City ilitinga robo fainali baada ya kuifunga Academie Tchite ya Burundi kwa mabao 3-2, kabla ya kufungwa na AFC Leopards ya Kenya 2-1,  kulazimishwa sare na Entincelles ya Rwanda.

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA YAICHAPA 2-1 PRISONS

Kikosi cha Young Africans kilichoanza leo dhidi ya Tanzania Prisons
Mabingwa mara 24 wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imeipata ushindi wake wa kwanza kwenye VPL baada ya kuichapa timu ya maafande wa jeshi la Magereza nchini Prisons kwa mabao 2- 0 kwenye dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Kikosi cha mbrazil Marcio Maximo kiliingia uwanjani kwa lengo la kusaka pointi muhimu kutokana na kuwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wake wa ufunguzi dhidi ya...

 

10 years ago

StarTV

Yanga yaipiga Prisons 2-1.

YANGA jana ilipata ushindi wake wa kwanza kwenye Ligi Kuu Bara kwa kuilaza Prisons ya Mbeya mabao 2-1 katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Timu hiyo imepata ushindi huo baada ya kupoteza mechi ya kwanza ugenini kwa kufungwa mabao 2-0 na Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro.

Mfungaji wa bao la kwanza la Yanga jana alikuwa Mbrazil Andrey Coutinho kwa mpira wa adhabu nje ya 18. Mwamuzi wa mchezo huo alitoa adhabu baada ya Coutinho kufanyiwa madhambi na mabeki...

 

10 years ago

GPL

YANGA WAIKANDAMIZA PRISONS 2-1 TAIFA

Mshambuliaji wa Yanga, Genilson Santana 'Jaja' akimpongeza mwenzake Andrew Coutinho (wa kwanza kushoto) aliyeifungia Yanga bao la kwanza dhidi ya Prisons katika Uwanja wa Taifa, Dar leo. Mchezaji wa Yanga, Andrew Coutinho akijaribu kuipita ngome ya Prisons.…

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yainyuka Prisons kwao

Mabingwa wa Ligi Kuu, Yanga wameendelea kugawa dozi mkoani Mbeya baada ya jana kuichapa Tanzania Prisons kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa Sokoine.

 

10 years ago

Mwananchi

Tambo tupu mtifuano Yanga, Prisons

Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amesema wapo Mbeya siyo kutalii, bali kuondoka na pointi sita wakianzia kesho dhidi ya Tanzania Prisons na kumaliza kazi Jumapili kwa Mbeya City.

 

10 years ago

Michuzi

YANGA YAANZA LIGI YAICHAPA TANZANIA PRISONS 2-1

Mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Tanzania Prisons, Lauvian Mpalile (kushoto) na Jeremia Juma wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 2-1. (Picha na Francis Dande) Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngasa akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Tanzania Prisons, Lauvian Mpalile. Jaja akimtoka beki wa Prisons, Nurdin.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani