Tambo tupu mtifuano Yanga, Prisons
Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amesema wapo Mbeya siyo kutalii, bali kuondoka na pointi sita wakianzia kesho dhidi ya Tanzania Prisons na kumaliza kazi Jumapili kwa Mbeya City.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo15 Oct
Yanga, Azam tambo tupu
TAMBO baina ya timu za Yanga na Azam FC zinazotarajiwa kukutana keshokutwa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jijini Dar es Salaam zimeshika kasi, huku kila moja ikitamba kuibuka na ushindi.
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Tambo zatawala wachezaji wa Simba, Yanga
10 years ago
Mwananchi13 Jul
TAMBO: Simba: Hata bila Okwi Yanga italia tu
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
NANI MTANI JEMBE??: Baadhi ya Tambo za Waigizaji Mashabiki wa Simba na Yanga
Leo ikiwa ni ile siku iliokkwa ikisubiliwa kwa hamu kujua nani ni MTANI JEMBE. Hizi ni baadhi ya tambo za waigizaji wa filamu ambao ni mashabiki wa timu hizi mbili za Samba na Yanga ambazo leo jioni zitavaana ili kujua nani ni mtani jembe.kumbuka mwaka jana Simba ndio alieibuka mtani jembe..Leo Jeeee?!!!!
Soma maneno walioandika mitandaoni kuelekea mechi hii.
Jb: Hakuna miujiza aliyezoea kufungwa na leo atafungwa.poleni sana yebo yebo...(picha akiwana jezi yake nyekundu)
Riyama: Kelele za...
10 years ago
Vijimambo28 Sep
YANGA YAICHAPA 2-1 PRISONS
![](http://www.youngafricans.co.tz/images/stories/vplprsns.jpg)
Mabingwa mara 24 wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imeipata ushindi wake wa kwanza kwenye VPL baada ya kuichapa timu ya maafande wa jeshi la Magereza nchini Prisons kwa mabao 2- 0 kwenye dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Kikosi cha mbrazil Marcio Maximo kiliingia uwanjani kwa lengo la kusaka pointi muhimu kutokana na kuwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wake wa ufunguzi dhidi ya...
10 years ago
StarTV30 Sep
Yanga yaipiga Prisons 2-1.
YANGA jana ilipata ushindi wake wa kwanza kwenye Ligi Kuu Bara kwa kuilaza Prisons ya Mbeya mabao 2-1 katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Timu hiyo imepata ushindi huo baada ya kupoteza mechi ya kwanza ugenini kwa kufungwa mabao 2-0 na Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Mfungaji wa bao la kwanza la Yanga jana alikuwa Mbrazil Andrey Coutinho kwa mpira wa adhabu nje ya 18. Mwamuzi wa mchezo huo alitoa adhabu baada ya Coutinho kufanyiwa madhambi na mabeki...
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Yanga yainyuka Prisons kwao
10 years ago
GPLYANGA WAIKANDAMIZA PRISONS 2-1 TAIFA
10 years ago
Mwananchi29 Sep
Yanga yaivaa Prisons leo