Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga, Azam tambo tupu

TAMBO baina ya timu za Yanga na Azam FC zinazotarajiwa kukutana keshokutwa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jijini Dar es Salaam zimeshika kasi, huku kila moja ikitamba kuibuka na ushindi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tambo tupu mtifuano Yanga, Prisons

Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amesema wapo Mbeya siyo kutalii, bali kuondoka na pointi sita wakianzia kesho dhidi ya Tanzania Prisons na kumaliza kazi Jumapili kwa Mbeya City.

 

10 years ago

Mwananchi

Tambo zatawala wachezaji wa Simba, Yanga

Yanga na Simba zitapambana Oktoba 18 ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

TAMBO: Simba: Hata bila Okwi Yanga italia tu

>Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola amesema pamoja na mshambuliaji Emmanuel Okwi kutimkia Denmark, kipigo kwa Yanga kipo pale pale.

 

10 years ago

Bongo Movies

NANI MTANI JEMBE??: Baadhi ya Tambo za Waigizaji Mashabiki wa Simba na Yanga

Leo ikiwa ni ile siku iliokkwa ikisubiliwa kwa hamu kujua nani ni MTANI JEMBE. Hizi ni baadhi ya tambo za waigizaji wa filamu ambao ni mashabiki wa timu hizi mbili za Samba na Yanga ambazo leo jioni zitavaana ili kujua nani ni mtani jembe.kumbuka mwaka jana Simba ndio alieibuka mtani jembe..Leo Jeeee?!!!!

Soma maneno walioandika mitandaoni kuelekea mechi hii.

Jb: Hakuna miujiza aliyezoea kufungwa na leo atafungwa.poleni sana yebo yebo...(picha akiwana jezi yake nyekundu)

Riyama: Kelele za...

 

9 years ago

Habarileo

Ni Yanga na Azam

MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni vita Yanga, Azam

KIVUMBI cha Ligi Kuu Tanzania Bara, kinatarajiwa kuendelea tena leo katika viwanja viwili kwa timu ya Yanga kuwakaribisha Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Wakati Yanga...

 

10 years ago

Habarileo

Yanga, Azam zapaniana

MABINGWA wa Tanzania Yanga na wale wa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Azam FC wamejichimbia kwa ajili ya mechi ya Ngao ya Jamii itakayofanyika Agosti 22 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam kikaangoni

Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara, inaendelea leo kwa mechi mbili zitakazopigwa kwenye viwanja viwili tofauti, Jamhuri Morogoro na Azam Complex Jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani