Benki ya Posta Tanzania, yasaidia shule za msingi wilayani Ileje mkoani Mbeya
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mmbene, (wapili kushoto), akipeana mikono na Meneja msaidizi wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, tawi la Tunduma, Teddy Msanzi, wakati wa hafla ya kukabidhi madawati yaliyotolewa kama msaada na benki hiyo, kusaidia shule mbili za msingi wilayani Ileje, mkoa wa Mbeya, hivi karibuni.
NA K-VIS MEDIA
Benki ya Posta Tanzania (TPB) kupitia tawi lake la Tunduma, imetoa msaada wa madawati 100 yenye thamani ya shilingi Milioni Tatu kwa shule mbili za...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AudrZzpgBnM/VS5pnHbYvVI/AAAAAAAAI0M/6PV3l_l7uYo/s72-c/BAYPORT%2BILEJE.jpg)
Bayport Financial Services yazidi kuchanja mbuga, yazindua tawi la 80 wilayani Ileje, mkoani Mbeya
TAASISI ya kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mambo ya mikopo kwa watumishi wa wa umma na kampuni zilizoidhinishwa, mwishoni mwa wiki ilizindua tawi lake jipya la 80 wilayani Ileje, mkoani Mbeya, huku Mkuu wa wilaya hiyo, Rosemary Staki Senyamule, akiwataka wananchi wake kukopa kwa sababu maalum.
Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Mheshimiwa Rosemary Senyamule kulia, akionyeshwa nyaraka za ofisi ya Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, inayojihusisha na mambo ya mikopo...
![](http://4.bp.blogspot.com/-AudrZzpgBnM/VS5pnHbYvVI/AAAAAAAAI0M/6PV3l_l7uYo/s1600/BAYPORT%2BILEJE.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eDYrPX9u4Tc/VMDKFfw6pYI/AAAAAAAACJI/epOhsY4Mxr4/s72-c/TUMAINI%2BSEMA.jpg)
MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA KWA KUSHILIKIANA NA BENKI YA NMB YAMWAGA MADAWATI 84 SHULE ZA MSINGI ITIJI NA IVUMWE JINI MBEYA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-eDYrPX9u4Tc/VMDKFfw6pYI/AAAAAAAACJI/epOhsY4Mxr4/s1600/TUMAINI%2BSEMA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ndeL_cgZELs/VMDJ0Y5wfnI/AAAAAAAACIw/kmARkGFEgXw/s1600/NMB%2Bna%2BMwanjelwa.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DG05ADX8PVw/VbePoJ3zC9I/AAAAAAAHsRU/0znpAyOSa9s/s72-c/01tabata.jpg)
TABATA SHULE YA MSINGI YANUFAIKA NA MSAADA WA MADAWATI 100 TOKA BENKI YA KCB TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DG05ADX8PVw/VbePoJ3zC9I/AAAAAAAHsRU/0znpAyOSa9s/s640/01tabata.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-M3vrd9c-rNI/VbePovO2UfI/AAAAAAAHsRY/vMlLKRJPNOw/s640/02.jpg)
9 years ago
VijimamboSIKU YA MWANAMKE WA ILEJE YAZINDULIWA RASMI MKOANI MBEYA
Naibu Waziri wa Viwanda an Biashara Janeth Mbene amezindua siku ya mwanamke wa Ileje ambayo...
9 years ago
VijimamboMBENE AENDELEA NA KAMPENI IMBO LA ILEJE MKOANI MBEYA
10 years ago
VijimamboTTCL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KATIKA SHULE YA SEKONDARI LUSWISWI ILEJE MBEYA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qHB675Yx0R4/VFJGbTY0cKI/AAAAAAAGuPM/_MYKcBtaGv0/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
kadi ya ushabiki ya benki ya posta ya mbeya city yazinduliwa leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-qHB675Yx0R4/VFJGbTY0cKI/AAAAAAAGuPM/_MYKcBtaGv0/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-I_IJH7zWK3M/VFJHoaaLMbI/AAAAAAAGuPY/20vY-bOtBxY/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BENKI YA NMB MBEYA YASAIDIA KUPUNGUZA TATIZO LA MADAWATI MASHULENI.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yVPblvyDJXs/XvITTgIiTsI/AAAAAAAAlQw/U9SeNMoqQvANH7-UmiwJuCKsNufe_BwNQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BENKI YA POSTA YATOA MSAADA WA MABATI 100 KUSAIDIA KUPAUA SHULE SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yVPblvyDJXs/XvITTgIiTsI/AAAAAAAAlQw/U9SeNMoqQvANH7-UmiwJuCKsNufe_BwNQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mkurugenzi Rasilimali Watu na Utawala wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Diana Myonga (wa tatu kushoto) akimkabidhi Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe (wa nne kutoka kushoto) moja ya bati kati ya 100 yaliyotolewa mwishoni mwa wiki na benki hiyo kwa ajili ya kupaua madarasa ya shule mkoani humo. Kutoka kushoto ni Kaimu Meneja Mwandamizi wa Uhusiano wa benki hiyo, Chichi Banda, Meneja wa TPB Tawi la Singida, Redemter Rweyemamu. Wengine ni Wenyeviti wa Vikundi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania