Bayport Financial Services yazidi kuchanja mbuga, yazindua tawi la 80 wilayani Ileje, mkoani Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-AudrZzpgBnM/VS5pnHbYvVI/AAAAAAAAI0M/6PV3l_l7uYo/s72-c/BAYPORT%2BILEJE.jpg)
TAASISI ya kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mambo ya mikopo kwa watumishi wa wa umma na kampuni zilizoidhinishwa, mwishoni mwa wiki ilizindua tawi lake jipya la 80 wilayani Ileje, mkoani Mbeya, huku Mkuu wa wilaya hiyo, Rosemary Staki Senyamule, akiwataka wananchi wake kukopa kwa sababu maalum.Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Mheshimiwa Rosemary Senyamule kulia, akionyeshwa nyaraka za ofisi ya Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, inayojihusisha na mambo ya mikopo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kBppvdpLRFg/VPYFABJ4emI/AAAAAAAAIh8/HeU_lsfVw3Y/s72-c/20150302_145845_resized.jpg)
TAASISI ya kifedha ya Bayport Financial Services yazindua tawi lake jipya wilayani Kwimba jijini Mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-kBppvdpLRFg/VPYFABJ4emI/AAAAAAAAIh8/HeU_lsfVw3Y/s1600/20150302_145845_resized.jpg)
10 years ago
GPLBAYPORT FINANCIAL SERVICES YAZINDUA TOVUTI YA MIKOPO YA HARAKA
10 years ago
MichuziBayport Financial Services yazindua huduma mpya ya mikopo ya viwanja kwa Watanzania wote
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamKATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, inayojihusisha na mikopo, imeanzisha huduma mpya ya kukopesha viwanja...
10 years ago
Dewji Blog07 Oct
Habari yazidi kuchanja mbuga SHIMIWI
Wachezaji wa mpira wa miguu kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaaduni na Michezo (waliovalia jezi nyeusi) wakisalimiamana na wachezaji wa Wizara ya maji (waliovalia jezi ya kijani) kabla ya mchezo wao uliochezwa katika nyasi za uwanja wa Mazimbu mjini Morogoro.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Hoi hoi na nderemo zimepamba moto katika viwanja mbalimbali mkoani Morogoro wakati watumishi wa umma wakioneshana utaalamu katika michezo mbalimbali wakati wa mashindano ya SHIMIWI inayoendelea mjini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9OHZWcwyRAT4DAiPkgp1*sAFEJEzgrED1HSpcFIsmEHrHbi-ZscyJl9NRnTL-ZoPXHfX83hcq2hx7rKCJ6J-kc3U1iCy-1cH/MakamukuhutubiaMiono.jpg?width=650)
CHADEMA YAZIDI KUCHANJA MBUGA CHALINZE
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WFh1QywMMyo/UyKVvC_S9QI/AAAAAAAFTd4/dwxeKw2A0fM/s72-c/1.+Mgimwa+akisalimiana+na+vijana+kijiji+cha+Elandutwa.jpg)
CCM YAZIDI KUCHANJA MBUGA KALENGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WFh1QywMMyo/UyKVvC_S9QI/AAAAAAAFTd4/dwxeKw2A0fM/s1600/1.+Mgimwa+akisalimiana+na+vijana+kijiji+cha+Elandutwa.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FSwsUpLci_k/UyKVvgePgjI/AAAAAAAFTeA/y6UdoypnQ5A/s1600/2.+Jesca+Msambatavangu+akimnadi+Mgimwa+Kijiji+cha+Elandutwa.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Zt7e8j05Av4/UyKVvpWDoXI/AAAAAAAFTd8/FrAJu4_T0oc/s1600/3.+Wananchi+kijiji+cha+Elandutwa+wakiahidi+kumchagua+Mgimwa.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Aug
Benki ya Posta Tanzania, yasaidia shule za msingi wilayani Ileje mkoani Mbeya
![](http://3.bp.blogspot.com/-abIV-EwZRWM/VcWOrMQvIpI/AAAAAAAAXSc/-nWNTa1Vx9s/s640/Mbene_TPB%2Bschool%2Bdesks.jpg)
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mmbene, (wapili kushoto), akipeana mikono na Meneja msaidizi wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, tawi la Tunduma, Teddy Msanzi, wakati wa hafla ya kukabidhi madawati yaliyotolewa kama msaada na benki hiyo, kusaidia shule mbili za msingi wilayani Ileje, mkoa wa Mbeya, hivi karibuni.
NA K-VIS MEDIA
Benki ya Posta Tanzania (TPB) kupitia tawi lake la Tunduma, imetoa msaada wa madawati 100 yenye thamani ya shilingi Milioni Tatu kwa shule mbili za...
9 years ago
Dewji Blog28 Sep
Stanbic Tanzania yazindua tawi mkoani Mbeya
Mkuu wa wilaya ya Mbeya Bw.Nyerembe Munasa (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa tawi la Benki ya Stanbic tawi la Mbeya uliofanyika mwishoni mwa wiki kulia kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki hiyo Hatib Senkoro na kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Stanbic Tanzania Bw. Ken Cockerill.
Mkuu wa wilaya ya Mbeya Bw.Nyerembe Munasa (katikati) akisoma maandishi ya bango lililopo kwenye benki ya Stanbic tawi la Mbeya muda mfupi baada ya kulizindua mwishoni mwa wiki kulia kwake ni...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FvRe9FFH7q4/VYk1UX58zSI/AAAAAAAAI-A/d17FJFglTXY/s72-c/20150623_111002.jpg)
Bayport Financial Services yamfuta machozi Latifa Said
![](http://2.bp.blogspot.com/-FvRe9FFH7q4/VYk1UX58zSI/AAAAAAAAI-A/d17FJFglTXY/s640/20150623_111002.jpg)
Na Mwandishi Wwetu, Dar es SalaamTAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services, leo jioni imemkabidhi...