Habari yazidi kuchanja mbuga SHIMIWI
Wachezaji wa mpira wa miguu kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaaduni na Michezo (waliovalia jezi nyeusi) wakisalimiamana na wachezaji wa Wizara ya maji (waliovalia jezi ya kijani) kabla ya mchezo wao uliochezwa katika nyasi za uwanja wa Mazimbu mjini Morogoro.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Hoi hoi na nderemo zimepamba moto katika viwanja mbalimbali mkoani Morogoro wakati watumishi wa umma wakioneshana utaalamu katika michezo mbalimbali wakati wa mashindano ya SHIMIWI inayoendelea mjini...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WFh1QywMMyo/UyKVvC_S9QI/AAAAAAAFTd4/dwxeKw2A0fM/s72-c/1.+Mgimwa+akisalimiana+na+vijana+kijiji+cha+Elandutwa.jpg)
CCM YAZIDI KUCHANJA MBUGA KALENGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WFh1QywMMyo/UyKVvC_S9QI/AAAAAAAFTd4/dwxeKw2A0fM/s1600/1.+Mgimwa+akisalimiana+na+vijana+kijiji+cha+Elandutwa.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FSwsUpLci_k/UyKVvgePgjI/AAAAAAAFTeA/y6UdoypnQ5A/s1600/2.+Jesca+Msambatavangu+akimnadi+Mgimwa+Kijiji+cha+Elandutwa.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Zt7e8j05Av4/UyKVvpWDoXI/AAAAAAAFTd8/FrAJu4_T0oc/s1600/3.+Wananchi+kijiji+cha+Elandutwa+wakiahidi+kumchagua+Mgimwa.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9OHZWcwyRAT4DAiPkgp1*sAFEJEzgrED1HSpcFIsmEHrHbi-ZscyJl9NRnTL-ZoPXHfX83hcq2hx7rKCJ6J-kc3U1iCy-1cH/MakamukuhutubiaMiono.jpg?width=650)
CHADEMA YAZIDI KUCHANJA MBUGA CHALINZE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AudrZzpgBnM/VS5pnHbYvVI/AAAAAAAAI0M/6PV3l_l7uYo/s72-c/BAYPORT%2BILEJE.jpg)
Bayport Financial Services yazidi kuchanja mbuga, yazindua tawi la 80 wilayani Ileje, mkoani Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-AudrZzpgBnM/VS5pnHbYvVI/AAAAAAAAI0M/6PV3l_l7uYo/s1600/BAYPORT%2BILEJE.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OI6dt4EUwE4/VP9TOFkBAII/AAAAAAAC1Xw/-G_QgpUhrq8/s72-c/16.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA YAZIDI KUCHANJA MBUGA JIMBO LA BAHI,KESHO KUIVURUGA KONDOA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OI6dt4EUwE4/VP9TOFkBAII/AAAAAAAC1Xw/-G_QgpUhrq8/s1600/16.jpg)
Ndugu Kinana amezungumza na wananchi hao waliokuwa wamebeba mabango na kuzuia msafara wake,kutokana na matatizo yaliyokuwapo katika kijiji hicho na kukosa ufumbuzi kwa muda mrefu.Wananchi hao walikuwa na lalamiko lao moja kubwa lililohusu shule yao ya msingi ya Msisi,ambayo madarasa yake mawili yaliezuliwa...
9 years ago
Mwananchi04 Sep
ACT- Wazalendo kuanza kuchanja mbuga kesho
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mtindo wa kitenge unavyozidi kuchanja mbuga kimataifa.?
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vDRWBGgmrSw/Uwv3cEj5f9I/AAAAAAAFPWA/2Go6FgVIoyg/s72-c/IMG_1600.jpg)
masanja mkandamizaji azidi kuchanja mbuga akihubiri neno la Mungu
![](http://2.bp.blogspot.com/-vDRWBGgmrSw/Uwv3cEj5f9I/AAAAAAAFPWA/2Go6FgVIoyg/s1600/IMG_1600.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7Y0LuOkVCGk/Uwv3ePqchBI/AAAAAAAFPWM/A_P74vLntkk/s1600/IMG_1621.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--_H-cK6U_Sw/Uwv3eEHLfKI/AAAAAAAFPWI/Hlx6totBINU/s1600/IMG_1623.jpg)
9 years ago
VijimamboPICHA: MH. MWANG'OMBE AENDELEA KUCHANJA MBUGA MBIO ZA UBUNGE
Libe anawaomba wana diaspora na waTanzania wote kumuunga mkono kwa kumchangia fedha ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuwa mtunga...
11 years ago
Dewji Blog24 May
Kinana azidi kuchanja mbuga, atua jimbo la Iramba — Singida
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Iramba Magharibi wakati wa mapokezi katika kijiji cha Kiselya. Katibu Mkuu na msafara wake wameanza ziara katika wilaya ya Iramba kwa lengo la kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010 pamoja na kukagua uhai wa chama.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kubeba mawe ya ujenzi wa kituo cha afya cha Kiselya, wilaya ya Iramba kwa kushirikiana na viongozi wengine pamoja a wananchi.
Katibu Mkuu...