masanja mkandamizaji azidi kuchanja mbuga akihubiri neno la Mungu
![](http://2.bp.blogspot.com/-vDRWBGgmrSw/Uwv3cEj5f9I/AAAAAAAFPWA/2Go6FgVIoyg/s72-c/IMG_1600.jpg)
Muigizaji wa kundi la vichekesho la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ akiwa na wachezaji wake katika moja ya kazi zake za kuimba injili na kuhubiri neno la Mungu jijini Dar es salaam kwa mafanikio makubwa.
Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ akihubiri neno la Bwana
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog24 May
Kinana azidi kuchanja mbuga, atua jimbo la Iramba — Singida
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Iramba Magharibi wakati wa mapokezi katika kijiji cha Kiselya. Katibu Mkuu na msafara wake wameanza ziara katika wilaya ya Iramba kwa lengo la kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010 pamoja na kukagua uhai wa chama.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kubeba mawe ya ujenzi wa kituo cha afya cha Kiselya, wilaya ya Iramba kwa kushirikiana na viongozi wengine pamoja a wananchi.
Katibu Mkuu...
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Dkt. Magufuli azidi kuchanja mbuga mikutano ya kampeni mkoani Rukwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ghoa1QUm7TA/VdybRc19stI/AAAAAAAC-CA/ISG0Ifn31xE/s640/_MG_6249.jpg)
Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mhe. Mizengo Pinda akimtambulisha mgombea Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika ndani ya uwanja wa Nelson Mandela jana jioni.
![](http://4.bp.blogspot.com/-BsaIiqPuEfU/VdybQoxK4EI/AAAAAAAC-B0/JMDNIDl8J9w/s640/_MG_6257.jpg)
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Sumbawaga mjini mkoani Rukwa,ndani ya Uwanja wa Nelson Mandela kwenye mkutano wa kampeni,pichani nyuma ni Waziri Mkuu Pinda akishuhudia tukio hilo.
![_MG_6285](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/MG_6285.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-d-viACrnBaY/Vf0hjCSfORI/AAAAAAAH6CY/tBR8HYuW1zw/s72-c/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
DAVIS MOSHA AZIDI KUCHANJA MBUGA UBUNGE MOSHI MJINI, LEO NI KATA YA SOWETO
![](http://3.bp.blogspot.com/-d-viACrnBaY/Vf0hjCSfORI/AAAAAAAH6CY/tBR8HYuW1zw/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cgLtjslxc5w/Vf0hokAhH5I/AAAAAAAH6Cs/H5TohvjDUko/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UY8p4NjL_YA/Vf0hotuF8iI/AAAAAAAH6Cw/7wXxszEGd9g/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AZIDI KUCHANJA MBUGA MWANZA KATIKA MAJIMBO YA MAGU, SUMVE, KWIMBA NA MISUNGWI
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
Dk. Magufuli azidi kuchanja mbuga Mwanza, Katika majimbo ya Magu, Sumve,Kwimba na Misungwi
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni mjini Misungwi, Mwanza jana, ambapo aliwaomba wananchi kumpigia kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Dk Magufuli akiingia kwenye gari baada ya kuhutubia akiwa juu ya gari mjini Ngudu, Kwimba leo
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia huku akiwa amesimama juu ya gari katika mkutano wa kampeni...
9 years ago
Dewji Blog30 Aug
Magufuli azidi kuchanja mbuga, awataka wananchi waweke imani kubwa kwake na kumpa kura nyingi za ushindi
![](http://2.bp.blogspot.com/-0QfaQ2dqtVI/VeHdmDumpWI/AAAAAAAH03Y/XfqV2VIDcRM/s640/1.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Njombe mjini katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika jioni ya jana katika uwanja wa saba saba.Magufuli amesema akichaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano ataendeleza juhudi zake za kujenga barabara kwa kiwango cha lami,amesema dhamira yake aliokuwa nayo ya Uwaziri wa Ujenzi katika kujenga barabara za lami katika maeneo yote hapa nchini.
Amesema tangu...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5gSP41WTCm8/VeHdwlm5PiI/AAAAAAAH054/RcGVje6rorQ/s72-c/3.jpg)
MAGUFULI AZIDI KUCHANJA MBUGA,AWATAKA WANANCHI WAWEKE IMANI KUBWA KWAKE NA KUMPA KURA NYINGI ZA USHINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-5gSP41WTCm8/VeHdwlm5PiI/AAAAAAAH054/RcGVje6rorQ/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0QfaQ2dqtVI/VeHdmDumpWI/AAAAAAAH03Y/XfqV2VIDcRM/s640/1.jpg)
Amesema tangu kupewa...
9 years ago
Vijimambo10 Sep
MWIGULU NCHEMBA AZIDI KUCHANJA MBUGA MIKOANI KUIPIGANIA CCM,HAPA AKIMNADI NJALU ANAYEKWENDA KUMNG'OA MZEE CHEYO
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/11012504_424986587703575_2255447606500340488_n.jpg?oh=c56cd1e766147a6ffe2310bad8b688d1&oe=56619875&__gda__=1449904415_3c5d7532e91904c08ee51411b7d9807a)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11180329_424986884370212_524845765637406350_n.jpg?oh=b02d84ec9aa51eedc91e7930b21c8ce1&oe=5674ECA3)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/12011200_879674105419748_2493844376411494790_n.jpg?oh=2f7e77f3833aa634fd2e69b112452fab&oe=56654509&__gda__=1450175807_ced5c9b9faf0adc53736f06416a08be9)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/12009736_424987584370142_6224858859792391506_n.jpg?oh=af0ba2eb65e18f1aa1f87f5836bd0e5e&oe=56785950&__gda__=1449875176_a899621ec19d15d2184bbc660e9bebfd)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpt1/v/t1.0-9/11990460_424986687703565_3066477649522458725_n.jpg?oh=2f079d17d9b89eda23727440b9b140c0&oe=5677ADFE&__gda__=1450746618_6cea918bccfd5a27bf26dd51b1e42816)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/11917489_879674412086384_3679220236313068356_n.jpg?oh=1bb876e7b01850c6c6214329caaed6c4&oe=56A5462D)
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Masanja Mkandamizaji ajitosa kumrithi Filikunjombe