Mtindo wa kitenge unavyozidi kuchanja mbuga kimataifa.?
Mavazi ya kitenge yamezidi kujiongezea umaarufu nchini. Wabunifu wa mavazi wamekuwa wakijitahidi kila kukicha kulipendezesha vazi hili na kuonekana katika mitindo tofauti tofauti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9OHZWcwyRAT4DAiPkgp1*sAFEJEzgrED1HSpcFIsmEHrHbi-ZscyJl9NRnTL-ZoPXHfX83hcq2hx7rKCJ6J-kc3U1iCy-1cH/MakamukuhutubiaMiono.jpg?width=650)
CHADEMA YAZIDI KUCHANJA MBUGA CHALINZE
10 years ago
Dewji Blog07 Oct
Habari yazidi kuchanja mbuga SHIMIWI
Wachezaji wa mpira wa miguu kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaaduni na Michezo (waliovalia jezi nyeusi) wakisalimiamana na wachezaji wa Wizara ya maji (waliovalia jezi ya kijani) kabla ya mchezo wao uliochezwa katika nyasi za uwanja wa Mazimbu mjini Morogoro.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Hoi hoi na nderemo zimepamba moto katika viwanja mbalimbali mkoani Morogoro wakati watumishi wa umma wakioneshana utaalamu katika michezo mbalimbali wakati wa mashindano ya SHIMIWI inayoendelea mjini...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WFh1QywMMyo/UyKVvC_S9QI/AAAAAAAFTd4/dwxeKw2A0fM/s72-c/1.+Mgimwa+akisalimiana+na+vijana+kijiji+cha+Elandutwa.jpg)
CCM YAZIDI KUCHANJA MBUGA KALENGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WFh1QywMMyo/UyKVvC_S9QI/AAAAAAAFTd4/dwxeKw2A0fM/s1600/1.+Mgimwa+akisalimiana+na+vijana+kijiji+cha+Elandutwa.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FSwsUpLci_k/UyKVvgePgjI/AAAAAAAFTeA/y6UdoypnQ5A/s1600/2.+Jesca+Msambatavangu+akimnadi+Mgimwa+Kijiji+cha+Elandutwa.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Zt7e8j05Av4/UyKVvpWDoXI/AAAAAAAFTd8/FrAJu4_T0oc/s1600/3.+Wananchi+kijiji+cha+Elandutwa+wakiahidi+kumchagua+Mgimwa.jpg)
9 years ago
Mwananchi04 Sep
ACT- Wazalendo kuanza kuchanja mbuga kesho
9 years ago
VijimamboPICHA: MH. MWANG'OMBE AENDELEA KUCHANJA MBUGA MBIO ZA UBUNGE
Libe anawaomba wana diaspora na waTanzania wote kumuunga mkono kwa kumchangia fedha ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuwa mtunga...
11 years ago
Dewji Blog24 May
Kinana azidi kuchanja mbuga, atua jimbo la Iramba — Singida
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Iramba Magharibi wakati wa mapokezi katika kijiji cha Kiselya. Katibu Mkuu na msafara wake wameanza ziara katika wilaya ya Iramba kwa lengo la kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010 pamoja na kukagua uhai wa chama.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kubeba mawe ya ujenzi wa kituo cha afya cha Kiselya, wilaya ya Iramba kwa kushirikiana na viongozi wengine pamoja a wananchi.
Katibu Mkuu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vDRWBGgmrSw/Uwv3cEj5f9I/AAAAAAAFPWA/2Go6FgVIoyg/s72-c/IMG_1600.jpg)
masanja mkandamizaji azidi kuchanja mbuga akihubiri neno la Mungu
![](http://2.bp.blogspot.com/-vDRWBGgmrSw/Uwv3cEj5f9I/AAAAAAAFPWA/2Go6FgVIoyg/s1600/IMG_1600.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7Y0LuOkVCGk/Uwv3ePqchBI/AAAAAAAFPWM/A_P74vLntkk/s1600/IMG_1621.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--_H-cK6U_Sw/Uwv3eEHLfKI/AAAAAAAFPWI/Hlx6totBINU/s1600/IMG_1623.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/UAUDF4zEiN4/default.jpg)
MWIGULU AENDELEA KUCHANJA MBUGA,ATUA KAGERA,ADHAMINIWA KWA SHANGWE
![](https://scontent-mxp1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/10489661_389343481267886_7150943259121625547_n.jpg?oh=e75af7f863c51c0dba80f492d2c2d2b8&oe=55F93C54)
![](https://scontent-mxp1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11427687_389343671267867_6009373960906240189_n.jpg?oh=e1ca9a68402c20d05dac16f03bc4489c&oe=5626455A)
![](https://scontent-mxp1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11427673_389343541267880_5437199725913474491_n.jpg?oh=a4d3caeeea8b087da32fe4a20a0b7926&oe=55F2122C)
![](https://scontent-mxp1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/11403221_389343587934542_3849227331889035274_n.jpg?oh=688c3b16ad76ffd6998146ff6c7ec821&oe=562EE8DC)
![](https://scontent-mxp1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10494673_389343621267872_7683605611564024472_n.jpg?oh=1f5c59e9d095b22a2c0cf417169e2051&oe=56250795)
VIDEO,MWIGULU AKIAGANA NA WANANCHI WA KAGERA WALIOMDHAMINI
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Dkt. Magufuli azidi kuchanja mbuga mikutano ya kampeni mkoani Rukwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ghoa1QUm7TA/VdybRc19stI/AAAAAAAC-CA/ISG0Ifn31xE/s640/_MG_6249.jpg)
Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mhe. Mizengo Pinda akimtambulisha mgombea Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika ndani ya uwanja wa Nelson Mandela jana jioni.
![](http://4.bp.blogspot.com/-BsaIiqPuEfU/VdybQoxK4EI/AAAAAAAC-B0/JMDNIDl8J9w/s640/_MG_6257.jpg)
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Sumbawaga mjini mkoani Rukwa,ndani ya Uwanja wa Nelson Mandela kwenye mkutano wa kampeni,pichani nyuma ni Waziri Mkuu Pinda akishuhudia tukio hilo.
![_MG_6285](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/MG_6285.jpg)