SIKU YA MWANAMKE WA ILEJE YAZINDULIWA RASMI MKOANI MBEYA
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Jannet Mbene akizungumza na Wanawake waliohudhuria sherehe za siku ya Mwanamke wa Ileje (Hawapo Pichani )katika ukumbi wa Mikutano CCM Wilayani humo.Picha Jamiimojablog Mbeya
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene( katikati) na Mkuu wa Wilaya ya Ileje Rosemary Senyamule kulia wakifurahi jambo katika sherehe hizo .
Sherehe zikiendelea
Na Jamiimojablog.
Naibu Waziri wa Viwanda an Biashara Janeth Mbene amezindua siku ya mwanamke wa Ileje ambayo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMBENE AENDELEA NA KAMPENI IMBO LA ILEJE MKOANI MBEYA
10 years ago
Dewji Blog08 Aug
Benki ya Posta Tanzania, yasaidia shule za msingi wilayani Ileje mkoani Mbeya
![](http://3.bp.blogspot.com/-abIV-EwZRWM/VcWOrMQvIpI/AAAAAAAAXSc/-nWNTa1Vx9s/s640/Mbene_TPB%2Bschool%2Bdesks.jpg)
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mmbene, (wapili kushoto), akipeana mikono na Meneja msaidizi wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, tawi la Tunduma, Teddy Msanzi, wakati wa hafla ya kukabidhi madawati yaliyotolewa kama msaada na benki hiyo, kusaidia shule mbili za msingi wilayani Ileje, mkoa wa Mbeya, hivi karibuni.
NA K-VIS MEDIA
Benki ya Posta Tanzania (TPB) kupitia tawi lake la Tunduma, imetoa msaada wa madawati 100 yenye thamani ya shilingi Milioni Tatu kwa shule mbili za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AudrZzpgBnM/VS5pnHbYvVI/AAAAAAAAI0M/6PV3l_l7uYo/s72-c/BAYPORT%2BILEJE.jpg)
Bayport Financial Services yazidi kuchanja mbuga, yazindua tawi la 80 wilayani Ileje, mkoani Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-AudrZzpgBnM/VS5pnHbYvVI/AAAAAAAAI0M/6PV3l_l7uYo/s1600/BAYPORT%2BILEJE.jpg)
9 years ago
StarTV16 Dec
Mashindano Ya Vyuo Vikuu Yazinduliwa rasmi Mkoani Dodoma.
Mashindano ya michezo kwa vyuo vikuu Tanzania yamezinduliwa rasmi mkoani Dodoma na kushirikisha vyuo vikuu 18 kutoka Tanzania bara na Visiwani.
Akizindua mashindano hayo katika chuo kikuu cha Dodoma mkuu wa mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa anawataka washiriki wa michezo yote kutumia michezo hiyo ipasavyo na watambue michezo ni ajira huku akiwaomba wakazi wa Dodoma kujitokeza kwa wingi kwa lengo la kuunga mkono mashindano hayo.
Makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dodoma Idris Kikula naye akasisitiza...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EybTReX1BA4/VGW41FZ9A1I/AAAAAAADIJI/hDSNVO8ptyQ/s72-c/MMG23716.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA:WANAFUNZI WATATU WA KIKE WAFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI CHA UDONGO WILAYA YA ILEJE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-EybTReX1BA4/VGW41FZ9A1I/AAAAAAADIJI/hDSNVO8ptyQ/s1600/MMG23716.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WMSsrQaX95s/VGW5CiUYoSI/AAAAAAADIJQ/I8dSTDwWyns/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
TUKIO HILO LIMETOKEA TAREHE 12.11.2014 MAJIRA YA SAA 12:00HRS...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jheR_MZlnSk/VcnBYI4DMeI/AAAAAAAHwB8/Rw16w5gf3iU/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
Michuano ya Airtel Rising Stars Mkoani Arusha Yazinduliwa Rasmi
Hafla ya ufunguzi ilihudhuliwa na viongozi wa shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF) mkoa wa Arusha, mdhamini wa mashindano Airtel Tanzania na wadau wengine wa soka. Ufunguzi huo uliufanyika katika...
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
The Stars Band yazinduliwa rasmi siku ya Eid Mosi Mzalendo Pub, huku ikisindikizwa na FM Academia pamoja na Barnaba
Bendi mpya ya muziki wa dansi ijulikanayo kama The Stars Band iliyo chini ya Aneth Kushaba imezinduliwa rasmi siku Jumamosi ya Julai 18, siku ya Idd-Mosi ndani ya kiota cha Mzalendo Pub, Kijitonyama jijini Dar es Salaam huku ikisindikizwa na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Barnabas pamoja na bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’.
Mkurugenzi wa The Stars Band, Aneth Kushaba akijitambulisha kwa mashabiki wake pamoja na wapenzi wa bendi mpya ya The Stars Band wakati wa uzinduzi...
10 years ago
VijimamboTHE STARS BAND YAZINDULIWA RASMI SIKU YA EID MOSI NDANI YA MZALENDO PUB HUKU IKISINDIKIZWA NA BENDI YA FM ACADEMIA PAMOJA NA BARNABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-DbKSIxEcMBI/VavMZMuhl2I/AAAAAAABSL4/K8gUhWx8El4/s640/DSC_0033.jpg)
Mkurugenzi wa The Stars Band, Aneth Kushaba akijitambulisha kwa mashabiki wakenm pamoja na azungumza na wapenzi wa bendi mpya ya The Stars Band wakati wa...