Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashindano Ya Vyuo Vikuu Yazinduliwa rasmi Mkoani Dodoma.

 

Mashindano ya michezo kwa vyuo vikuu Tanzania yamezinduliwa rasmi mkoani Dodoma na kushirikisha vyuo vikuu 18 kutoka Tanzania bara na Visiwani.

Akizindua mashindano hayo katika chuo kikuu cha Dodoma mkuu wa mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa anawataka washiriki wa michezo yote kutumia michezo hiyo ipasavyo na watambue michezo ni ajira huku akiwaomba wakazi wa Dodoma kujitokeza kwa wingi kwa lengo la kuunga mkono mashindano hayo.

 Makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dodoma Idris Kikula naye akasisitiza...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TAMKO LA UONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DODOMA KULAANI KUHUSISHWA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA NA KUMUOMBA MH. LOWASA KUGOMBEA URAIS.

Huyu si ndiyo alisema ni raisi wa wanafunzi na sauti zao hapa chini iweje leo waandike barua ya kujikana?. Siasa za bongo ni chenga kweli yani wala siyo {HD}

Tamko la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Kulaani Kuhusishwa Kwao Kumshawishi Lowassa Kuchukua Form ya Uraisi
Ndugu Waandishi wa habari, Tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu kwa kufika katika eneo hili kutusikiliza.Mbele yenu ni viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo mkoani Dodoma.Ndugu waandishi...

 

9 years ago

Michuzi

BARAZA LA VYUO VIKUU AFRIKA MASHARIK(IUCEA)KUWA NA MAONESHO YA VYUO VIKUU UGANDA

Katibu Mtendaji wa Baraza la Vyuo Vikuu Afrika Mashariki(IUCEA)Profesa Mayunga Nkunya akizungumza na waandishi wa habari Jijini Arusha jana kuhusu hali ya wahitimu katika nchi za Afrika Mashariki na ushirikiano wa Baraza la Wafanyabiashara Afrika Mashariki(EABC) kuwajengea uwezo wahitimu ili kumudu soko la ajira .Taasisi hiyo itakuwa na maonesho ya vyuo katika nchi za EAC  Kampala ,Uganda mwezi Oktoba ,2015.Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Wafanyabiashara wa Afrika...

 

10 years ago

Habarileo

Vyuo Vikuu Dodoma vyalaani kuhusishwa na Lowassa

VIONGOZI wa Serikali za wanafunzi wa Vyuo Vikuu mkoani Dodoma wametoa tamko la kulaani vikali kuhusishwa kwa wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Dodoma kwa kumuomba Edward Lowassa agombee Urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.

 

11 years ago

GPL

MASHINDANO YA AIRTEL RISING STAR YAZINDULIWA RASMI DAR

Wachezaji wa timu ya Ilala (wenye jezi nyekundu) wakiwa uwanjani wenye jezi nyeupe ni timu ya Buguruni Youth Center ‘’BYC’’. Mashabiki wakifuatilia mechi kati ya timu ya Buguruni Youth Center na Ilala.…

 

9 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA NGALAWA YA BALIMI YAZINDULIWA RASMI JIJINI MWANZA

 Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Ziwa, Godwin Zakaria(kulia) akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama cha Mitumbwi kanda ya Ziwa, Richard Mgabo,moja vikombe vitakavyoshindaniwa katika mashindano ya  za mbio za Mitumbwi wakati wa uzinduzi huo uliofanyika jijini Mwanza mwishoni mwa wiki kwa udhamini wa bia ya Balimi Extra Lager.

 Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Ziwa, Godwin Zakaria(kushoto) akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama cha...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mashindano ya DATS yazinduliwa mkoani Morogoro, mikoa tisa kushiriki

mwenyekiti

Mwenyekiti wa chama cha Dats Tanzania Gesase Waigama akiongea wakati wa ufunguzi wa mashindano ya mchezo huo unaoshirikisha mikoa  ya Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, Mbeya, Kilimanjaro, Kagera, Arusha na wenyeji wao Morogogoro ambapo katika mashindano hayo yaliodhaminiwa na bia aina ya Safari mshindi wa kwanza atatoka na kitita cha shilingi 600,000 hapo kesho.

mwenyekiti fungua

Mwenyekiti huyo wa Dats akizindua mchezo huo ili kuruhusu pambano kuanza rasmi.

washiriki nyingine

Baadhi ya washiriki wa mchezo huo wakifanya...

 

11 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA YAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR.

Meneja wa kinywaji cha Redd's Original Victoria kimaro akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam juu ya kuzinduliwa kwa mashindano ya Redd,s Miss Tanzania 2014kulia ni   mkurugenzi wa kamåuni ya LINO International Hashi Lundenga ambao ni waandaaji wa mashindano hayo na kushoto ni  Meneja Masoko wa kinywaji cha Redd's Original Vimal Vaghmaria.  Mkurugenzi wa kampuni ya LINO International Hashi Lundenga akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam juu ya...

 

11 years ago

Michuzi

Mashindano ya Diwani Cup kata ya Mutuka yazinduliwa huko Mkoani Manyara

Diwani wa Kata ya Mutuka, Wilayani Babati Mkoani Manyara, Mwalimu Yona Wao (wa pili kushoto) akizungumza  na wachezaji wa timu za soka za Mutuka FC na Chem Chem FC wakati wa uzinduzi wa mashindano ya Kombe la Diwani huyo.kushoto ni Mwenyekit wa halmashauri ya Mji wa Babati, Mohamed Omary Farah.(picha woinde shizza,Manyara)
Diwani wa Kata ya Mutuka Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Mwalimu Yona Wao amezindua mashindano ya soka kwenye kata yake itakayoshirikisha timu tano za vijiji vilivyopo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani