Mashindano ya DATS yazinduliwa mkoani Morogoro, mikoa tisa kushiriki
Mwenyekiti wa chama cha Dats Tanzania Gesase Waigama akiongea wakati wa ufunguzi wa mashindano ya mchezo huo unaoshirikisha mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, Mbeya, Kilimanjaro, Kagera, Arusha na wenyeji wao Morogogoro ambapo katika mashindano hayo yaliodhaminiwa na bia aina ya Safari mshindi wa kwanza atatoka na kitita cha shilingi 600,000 hapo kesho.
Mwenyekiti huyo wa Dats akizindua mchezo huo ili kuruhusu pambano kuanza rasmi.
Baadhi ya washiriki wa mchezo huo wakifanya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMASHINDANO YA MCHEZO WA DATS YAZINDULIWA MKOANI MOROGORO KITAIFA, MIKOA TISA KUSHIRIKI
Mwenyekiti wa chama cha Dats Tanzania Gesase Waigama akiongea wakati wa ufunguzi wa mashindano ya mchazo huo unaoshirikisha mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, Mbeya, Kilimanjaro, Kagera, Arusha na wenyeji wao Morogogoro ambapo katika mashindano hayo yaliodhaminiwa na bia aina ya Safari mshindi wa kwanza atatoka na kitita cha shilingi 600,000 hapo kesho.
Baadhi ya washiriki wa mchezo huo wakifanya mazoezi kabla ya kuanza kwa shindano hilo linalofanyika katika ukumbi wa Magunila ...
10 years ago
MichuziMikoa mitano kushiriki mashindano ya mchezo wa vishale "Darts" Taifa
MASHINDANO ya mchezo wa Darts Taifa yamezinduliwa rasmi leo jijini Dar es Salaam katika Hoteli ya Moshi iliyopo Manzese kwa kushirikisha mikoa mitano ya Tanzania.
Akizindua mashindano hayo Katibu Tawala wa Wilaya ya kinondoni, Selestine Onditi ”kwanza aliwapongeza viongozi wa chama hicho kwa juhudi za pekee za kufanya mashindano hayo yafanyike kwa mwaka wa 2015,lakini zaidi aliwashukuru wachezaji kwa moyo wa kupenda mchezo kujigarimia kuacha kazi zao kutoka...
9 years ago
StarTV16 Dec
Mashindano Ya Vyuo Vikuu Yazinduliwa rasmi Mkoani Dodoma.
Mashindano ya michezo kwa vyuo vikuu Tanzania yamezinduliwa rasmi mkoani Dodoma na kushirikisha vyuo vikuu 18 kutoka Tanzania bara na Visiwani.
Akizindua mashindano hayo katika chuo kikuu cha Dodoma mkuu wa mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa anawataka washiriki wa michezo yote kutumia michezo hiyo ipasavyo na watambue michezo ni ajira huku akiwaomba wakazi wa Dodoma kujitokeza kwa wingi kwa lengo la kuunga mkono mashindano hayo.
Makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dodoma Idris Kikula naye akasisitiza...
11 years ago
MichuziMashindano ya Diwani Cup kata ya Mutuka yazinduliwa huko Mkoani Manyara
Diwani wa Kata ya Mutuka Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Mwalimu Yona Wao amezindua mashindano ya soka kwenye kata yake itakayoshirikisha timu tano za vijiji vilivyopo...
10 years ago
MichuziProgramu ya Safaari Lager Wezeshwa msimu wa nne yazinduliwa mkoani Morogoro
10 years ago
MichuziNSSF YADHAMINI MASHINDANO YA SHIMISEMITA MKOANI MOROGORO
Katika mashindano hayo NSSF imepata fursa ya kutoa elimu kuhusu Mafao mbalimabli yatolewayo na Shirika hilo ikiwemo Mango mpya kwa ajili ya Wakulima na Wachimbaji wadogo wa Madini.
Katika mpango huo, Wakulima sasa wanaweza kujiunga na NSSF na kufaidika na Mafao mbalimbali yanayotolewa na...
10 years ago
MichuziMASHINDANO YA SKAUTI NGAZI YA TAIFA YAFUNGWA RASMI MKOANI MOROGORO
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
PSPF yadhamini mashindano ya SHIMIWI yanayoendelea mkoani Morogoro uwanja wa Jamuhuri
10 years ago
Vijimambo29 Sep
PSPF YADHAMINI MASHINDANO YA SHIMIWI YANAYOENDELEA MKOANI MOROGORO KATIKA UWANJA WA JAMUHURI.