Mikoa mitano kushiriki mashindano ya mchezo wa vishale "Darts" Taifa
![](http://1.bp.blogspot.com/-FcxZaOS4HAE/VTvo9yhIHII/AAAAAAAHTSY/WW3FB38kiT8/s72-c/unnamedd1.jpg)
Na Mwandishi Wetu.
MASHINDANO ya mchezo wa Darts Taifa yamezinduliwa rasmi leo jijini Dar es Salaam katika Hoteli ya Moshi iliyopo Manzese kwa kushirikisha mikoa mitano ya Tanzania.
Akizindua mashindano hayo Katibu Tawala wa Wilaya ya kinondoni, Selestine Onditi ”kwanza aliwapongeza viongozi wa chama hicho kwa juhudi za pekee za kufanya mashindano hayo yafanyike kwa mwaka wa 2015,lakini zaidi aliwashukuru wachezaji kwa moyo wa kupenda mchezo kujigarimia kuacha kazi zao kutoka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pVr7Hf0jJB4/VT6Q_GzAQlI/AAAAAAAHTsY/EMwKi0Gfle4/s72-c/unnamedbb.jpg)
Dar mabingwa mchezo wa vishale "Darts" Taifa
![](http://4.bp.blogspot.com/-pVr7Hf0jJB4/VT6Q_GzAQlI/AAAAAAAHTsY/EMwKi0Gfle4/s1600/unnamedbb.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1G3WBusK_GE/VT6RAMVrndI/AAAAAAAHTsc/TeHRlmIriLw/s1600/unnamedbbb.jpg)
11 years ago
MichuziMASHINDANO YA MCHEZO WA DATS YAZINDULIWA MKOANI MOROGORO KITAIFA, MIKOA TISA KUSHIRIKI
Mwenyekiti wa chama cha Dats Tanzania Gesase Waigama akiongea wakati wa ufunguzi wa mashindano ya mchazo huo unaoshirikisha mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, Mbeya, Kilimanjaro, Kagera, Arusha na wenyeji wao Morogogoro ambapo katika mashindano hayo yaliodhaminiwa na bia aina ya Safari mshindi wa kwanza atatoka na kitita cha shilingi 600,000 hapo kesho.
Baadhi ya washiriki wa mchezo huo wakifanya mazoezi kabla ya kuanza kwa shindano hilo linalofanyika katika ukumbi wa Magunila ...
11 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA CHESS YAKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA KWENDA KUSHIRIKI MASHINDANO YA KIMATAIFA NCHINI NORWAY
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-r6dAl4qVEPM/VJ0UHi7mpEI/AAAAAAAG52g/KJk2qQkm3qo/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Timu ya Taifa ya Mchezo wa Baseball (U18) yashika nafasi ya tatu mashindano ya Kufaulu kushiriki kombe la Dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-r6dAl4qVEPM/VJ0UHi7mpEI/AAAAAAAG52g/KJk2qQkm3qo/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-q4mRLZFfYlw/VJ0UHdKsd_I/AAAAAAAG52c/oCUdfifVaaM/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
11 years ago
Dewji Blog25 May
Mashindano ya DATS yazinduliwa mkoani Morogoro, mikoa tisa kushiriki
Mwenyekiti wa chama cha Dats Tanzania Gesase Waigama akiongea wakati wa ufunguzi wa mashindano ya mchezo huo unaoshirikisha mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, Mbeya, Kilimanjaro, Kagera, Arusha na wenyeji wao Morogogoro ambapo katika mashindano hayo yaliodhaminiwa na bia aina ya Safari mshindi wa kwanza atatoka na kitita cha shilingi 600,000 hapo kesho.
Mwenyekiti huyo wa Dats akizindua mchezo huo ili kuruhusu pambano kuanza rasmi.
![washiriki nyingine](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/washiriki-nyingine.jpg)
Baadhi ya washiriki wa mchezo huo wakifanya...
10 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA POOL YAENDELEA KUJIJUA TAYARI KWA MASHINDANO YA AFRIKA
Timu ya Safari Pool ilianza mchakato wa kujipima ikiwa ni sehemu ya maandalizi natimu ya Kombania ya Mkoa wa kimichezo wa Ilala ambapo waliibuka na ushindi wa 12-9 katika mchezo uliochezwa Ijumaa octoba 10,2014 kwenye Ukumbi...
5 years ago
MichuziTimu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate yaanza mazoezi kujiandaa na mashindano ya dunia Japan
Mashindano hayo ya Karate ya Dunia yalikuwa yafanyike mwezi octoba mwaka huu ,lakini yakaahilishwa kutokana na Tahadhari ya Virusi vya Corona. Michuano hiyo huwa inafanyika kila baada ya Miaka 3,na wakati huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome Mhagama.. Tumezungumza Jerome...
10 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA KARATE TANZANIA YAJIANDAA KWENDA ALBANIA KUSHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA
BOFYA HAPA KWA PICHA...
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Huduma ya 4G LTE yapiga hodi mikoa mitano