TIMU YA TAIFA YA KARATE TANZANIA YAJIANDAA KWENDA ALBANIA KUSHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA
Rais wa Shirikisho la Dunia la mchezo wa Karate (UPAM), Profesa Martina Maurizio (kulia), akiwaelekeza jambo wachezaji wa mchezo huo walioko kambini Dar es Salaam jana. Wachezaji sita wa timu hiyo wanatarajia kuondoka Septemba 28 mwaka huu kwenda nchini Albania kushiriki mashindano ya dunia ya mchezo huo.
Wachezaji hao sita wakiwa wameshika bendera ya timu hiyo. Kulia ni Rais wa Shirikisho la Dunia la mchezo wa Karate (UPAM), Profesa Martina Maurizio.
BOFYA HAPA KWA PICHA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTimu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate yaanza mazoezi kujiandaa na mashindano ya dunia Japan
Mashindano hayo ya Karate ya Dunia yalikuwa yafanyike mwezi octoba mwaka huu ,lakini yakaahilishwa kutokana na Tahadhari ya Virusi vya Corona. Michuano hiyo huwa inafanyika kila baada ya Miaka 3,na wakati huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome Mhagama.. Tumezungumza Jerome...
11 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA CHESS YAKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA KWENDA KUSHIRIKI MASHINDANO YA KIMATAIFA NCHINI NORWAY
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-r6dAl4qVEPM/VJ0UHi7mpEI/AAAAAAAG52g/KJk2qQkm3qo/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Timu ya Taifa ya Mchezo wa Baseball (U18) yashika nafasi ya tatu mashindano ya Kufaulu kushiriki kombe la Dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-r6dAl4qVEPM/VJ0UHi7mpEI/AAAAAAAG52g/KJk2qQkm3qo/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-q4mRLZFfYlw/VJ0UHdKsd_I/AAAAAAAG52c/oCUdfifVaaM/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YF6XQNVTj3Y/Xui49gnYPgI/AAAAAAALuCM/Xh-3ykA1G5IopgOzxpij1HTA1cnjb3_BACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B3.17.25%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
TIMU YA KARATE YAANZA MAZOEZI YAKE KUJIANDAA NA MASHINDANO YA DUNIA 2021
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate imeanza mazoezi yake kwa ajili ya maandalizi ya kushiriki mashindano ya Dunia ya Karate huko Japani Mwaka ujao.
Mashindano hayo ya Karate ya Dunia yalikuwa yafanyike mwezi Oktoba mwaka huu ,lakini yakaahilishwa kutokana na tahadhari ya Virusi vya Corona.
Michuano hiyo huwa inafanyika kila baada ya Miaka 3,na wakati huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y9Yc5qVXVzQdFpe-4qm8uaZbncz4sgQO44Edzq4lGiwsHL5J9LbyXR6vRicoFu0XIstBpPp4i7NQ-ncqK8KhnnTCyZU4EBKD/1.jpg?width=650)
MASHINDANO YA DUNIA YA JUDO, KARATE KUFANYIKA TANZANIA
10 years ago
GPLMISS TANZANIA 2013 KUSHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA DESEMBA
10 years ago
MichuziTIMU YA UTUMISHI YAENDA MWANZA KUSHIRIKI MASHINDANO YA MEIMOSI 2015
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8_GrANS25ss/U-kNhLf895I/AAAAAAAF-oU/LVnvF0Vb9dw/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano ya karate.
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Mrembo wa Tanzania katika mashindano ya dunia ya Miss Universe ang’ara na vazi la taifa
Miss Universe ndani ya vazi la jioni.
Mashindano ya awali (Preliminary show) ya fainali za kumtafuta mrembo wa Miss Universe Kimataifa huko jijini Doral, Miami-Marekani yamefanyika jana tarehe 21 huku jumla ya warembo 88 kutoka nchi tofauti duniani wakipita na mavazi ya Kitaifa(National Costume), ufukweni(Swim Suit) na magauni ya usiku(Evening gown). Mrembo wa Tanzania, Nale Boniface ni mmoja wa washiriki wa mashindano hayo ambapo fainali zake zitahitimishwa jumapili, januari 25 huko...