TIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA CHESS YAKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA KWENDA KUSHIRIKI MASHINDANO YA KIMATAIFA NCHINI NORWAY
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Dioniz Malinzi (kulia), akimakabidhi Bendera ya Taifa, mmoja wa wachezaji wa timu ya Taifa wa mchezo wa Chess, Hemed Mlawa (wa pili kushoto), Dar es Salaam leo asubuhi kwa ajili ya kuondoka kesho kwenda kushiriki mashindano ya kimataifa nchini Norway. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Spicenet, Vinay Choundry ambaye ni muasisi wa mchezo huo hapa nchini, kushoto ni mchezaji Emmanuel Mwaisumbe. Safari hiyo imedhaminiwa na Tanzania Chess...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Q033vaPfAds/VhxNRsIJvDI/AAAAAAAH_mY/GDBYwFXgMr4/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Timu ya Taifa ya wanawake ya Mchezo wa Mpira wa Magongo yakabidhiwa bendera kabla ya kuelekea Afrika ya kusini baada ya
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q033vaPfAds/VhxNRsIJvDI/AAAAAAAH_mY/GDBYwFXgMr4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2dTTJKrNGn8/VhxNRja4vrI/AAAAAAAH_mg/YG0zMhPPt3s/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA KARATE TANZANIA YAJIANDAA KWENDA ALBANIA KUSHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA
BOFYA HAPA KWA PICHA...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-r6dAl4qVEPM/VJ0UHi7mpEI/AAAAAAAG52g/KJk2qQkm3qo/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Timu ya Taifa ya Mchezo wa Baseball (U18) yashika nafasi ya tatu mashindano ya Kufaulu kushiriki kombe la Dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-r6dAl4qVEPM/VJ0UHi7mpEI/AAAAAAAG52g/KJk2qQkm3qo/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-q4mRLZFfYlw/VJ0UHdKsd_I/AAAAAAAG52c/oCUdfifVaaM/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FcxZaOS4HAE/VTvo9yhIHII/AAAAAAAHTSY/WW3FB38kiT8/s72-c/unnamedd1.jpg)
Mikoa mitano kushiriki mashindano ya mchezo wa vishale "Darts" Taifa
MASHINDANO ya mchezo wa Darts Taifa yamezinduliwa rasmi leo jijini Dar es Salaam katika Hoteli ya Moshi iliyopo Manzese kwa kushirikisha mikoa mitano ya Tanzania.
Akizindua mashindano hayo Katibu Tawala wa Wilaya ya kinondoni, Selestine Onditi ”kwanza aliwapongeza viongozi wa chama hicho kwa juhudi za pekee za kufanya mashindano hayo yafanyike kwa mwaka wa 2015,lakini zaidi aliwashukuru wachezaji kwa moyo wa kupenda mchezo kujigarimia kuacha kazi zao kutoka...
10 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA POOL YAENDELEA KUJIJUA TAYARI KWA MASHINDANO YA AFRIKA
Timu ya Safari Pool ilianza mchakato wa kujipima ikiwa ni sehemu ya maandalizi natimu ya Kombania ya Mkoa wa kimichezo wa Ilala ambapo waliibuka na ushindi wa 12-9 katika mchezo uliochezwa Ijumaa octoba 10,2014 kwenye Ukumbi...
5 years ago
MichuziTimu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate yaanza mazoezi kujiandaa na mashindano ya dunia Japan
Mashindano hayo ya Karate ya Dunia yalikuwa yafanyike mwezi octoba mwaka huu ,lakini yakaahilishwa kutokana na Tahadhari ya Virusi vya Corona. Michuano hiyo huwa inafanyika kila baada ya Miaka 3,na wakati huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome Mhagama.. Tumezungumza Jerome...
9 years ago
Michuzi29 Nov
U15 YAKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA
![](http://tff.or.tz/images/flagu15.png)
11 years ago
GPLMASHINDANO YA MCHEZO WA CHESS YAFUNGULIWA GOLDEN TOWER
9 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA PARALYMPIC YAKABIDHIWA VIFAA KWA AJILI MICHEZO YA AFRIKA