Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASHINDANO YA MCHEZO WA CHESS YAFUNGULIWA GOLDEN TOWER

Bango la mashindano ya Chess. Mshindi wa dunia mara tano katika mchezo wa Chess, Viswanathan Anand. Muonekano wa Chess.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA CHESS YAKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA KWENDA KUSHIRIKI MASHINDANO YA KIMATAIFA NCHINI NORWAY

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Dioniz Malinzi (kulia), akimakabidhi Bendera ya Taifa, mmoja wa wachezaji wa timu ya Taifa wa mchezo wa Chess, Hemed Mlawa (wa pili kushoto), Dar es Salaam leo asubuhi kwa ajili ya kuondoka kesho kwenda kushiriki mashindano ya kimataifa nchini Norway. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Spicenet, Vinay Choundry ambaye ni muasisi wa mchezo huo hapa nchini, kushoto ni mchezaji Emmanuel Mwaisumbe. Safari hiyo imedhaminiwa na Tanzania Chess...

 

11 years ago

GPL

HARUSI YA KUKATA NA SHOKA YA MUSSA & THUWAIBA GOLDEN JUBILEE TOWER!

Nenda kajionee mwenyewe jinsi mambo yalivyokuwa siku ya harusi ya Mussa na Thuwaiba. BONYEZA …

 

10 years ago

Michuzi

mashindano ya michezo ya SHIMIWI yafunguliwa mjini Morogoro

Meza kuu ikipokea maandamano kabla ya ufunguzi rasmi wa michezo ya SHIMIWI mjini Morogoro.Watumishi wa Serikali kutoka Wizara na Idara za Serikali wakiwa kwenye maandamano kabla ya ufunguzi wa mashindano ya michezo ya SHIMIWI mjini Morogoro leo.Watumishi wa Serikali kutoka Wizara na Idara za Serikali wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh.Celina O. Kombani (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa mashindano ya michezo ya SHIMIWI mjini Morogoro leo.
BOFYA...

 

10 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA SAFARI POOL NGAZI YA MKOA YAFUNGULIWA LEO MKOANI IRINGA

Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Iringa, Carlous Mbinda akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi kiti cha kubebea wagonjwa kilichotolewa na kilichotolewa na Chama cha mchezo wa Pool Mkoa wa Iringa(IPA) katika hosptali Halimashauri ya Manispaa ya Iringa ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa mashindano ya mchezo wa Pool ngazi ya Mkoa yaliyoanza jana mkoani humoyajulikanayo kama “Safari Lager Pool Competition 2014” ngazi ya Mkoa. Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Halimashauri ya Wilaya ya Iringa,...

 

10 years ago

Michuzi

Mashindano ya Safari Pool Taifa yafunguliwa rasmi mjini Moshi,Kilimanjaro leo

Katiba Tawala wa Wilaya ya Moshi mjini,Remida Ibrahim(wa pili kulia) akicheza kuashilia uzinduzi wa fainali za mashindano ya Pool Taifa yajulikanayo kama “Safari National Pool Competition 2014” yanayofanyika katika Ukumbi wa Kuringe Mkoani Kilimanjaro.Kutoka kushoto ni Katibu wa chama cha Pool Taifa(TAPA), Amos Kafwinga,Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo na Makamu Mwenyekiti wa TAPA, Fred Mushi. Baadhi ya Wachezaji wa Pool wakiwa na zawadi mbalimbali wakielekea Hospitali ya...

 

11 years ago

Michuzi

Mashindano ya Klabu Bingwa ya Netiboli nchini yafunguliwa katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma

Naibu Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe Juma Nkamia aliyeshika mpira akilenga kapu(kufunga goli) akiashiria ufunguzi rasmi wa mashindano ya Klabu Bingwa ya Netiboli katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.Naibu Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe Juma Nkamia akisalimiana na vikosi vya JKT na Kikosi cha Police Dodoma (waliovalia kijani).Timu hizi ndizo zilizo funguwa mashindano haya ya Klabu Bingwa ya Netiboli katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.Naibu Waziri wa...

 

10 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA MASHINDANO YA KUPIGA KASIA KWA UTHAMINI WA BIA YA BALIMI LAGER KANDA YA ZIWA YAFUNGULIWA LEO RASMI KIGOMA

 Timu ya Nyika stars wakimalizia kupiga kasia kwenye Ziwa Tanganyika ambao ni mabingwa wa Mkoa na watauwakilisha Mkoa kwenye mashindano ya kanda tarehe 6 Novemba jijini Mwanza Washiriki wanawake wakipiga kasia katika mashindano ya kupiga kasia kwa kutimia mitumbwi ndani ya ziwa Tanganyika Washindani wakijiandaa na mchuano Washindi wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Ramadhani ManenoKiongozi wa washindi wa kwanza kwa upande wa wanawake kutoka kikundi cha Katonga...

 

11 years ago

Mwananchi

Mchezo wa netiboli unahitaji mashindano mengi

>Wiki iliyopita Michuano ya Netiboli ya Kombe la Taifa ilifikia tamati jijini Dar es Salaam kwa mkoa wa kimichezo wa Temeke kutwaa ubingwa baada ya kuifunga Morogoro kwenye fainali iliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani