MASHINDANO YA SAFARI POOL NGAZI YA MKOA YAFUNGULIWA LEO MKOANI IRINGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-K9KtQMib_MU/VACKoLxVd3I/AAAAAAAGUAA/XPpckEkreMQ/s72-c/unnamedz1.jpg)
Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Iringa, Carlous Mbinda akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi kiti cha kubebea wagonjwa kilichotolewa na kilichotolewa na Chama cha mchezo wa Pool Mkoa wa Iringa(IPA) katika hosptali Halimashauri ya Manispaa ya Iringa ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa mashindano ya mchezo wa Pool ngazi ya Mkoa yaliyoanza jana mkoani humoyajulikanayo kama “Safari Lager Pool Competition 2014” ngazi ya Mkoa.
Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Halimashauri ya Wilaya ya Iringa,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMashindano ya Safari Pool Taifa yafunguliwa rasmi mjini Moshi,Kilimanjaro leo
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-99R1hyG4tho/U4RgrlKJ-OI/AAAAAAAFlcs/nHVuC0s_sNs/s72-c/MMGN8850.jpg)
Mashindano ya Mchezo wa Safari Lager National Pool Championship 2014 yazinduliwa leo jijini Dar
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo huo Taifa (TAPA), Amosi Kafwinga amesema mashindano hayo ambayo kwa ngazi ya taifa yatamalizika mwezi Septemba 14, mwaka huu.
Kafwinga amesema fainali za taifa za mashindano hayo yanayodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania(TBL)...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GahQTfrEefo/VC6KtwV31xI/AAAAAAAGnhk/5Cwmep6d2xc/s72-c/DSCF9268.jpg)
Safari Lager kudhamini Mashindano ya Mchezo wa Pool Afrika 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-GahQTfrEefo/VC6KtwV31xI/AAAAAAAGnhk/5Cwmep6d2xc/s1600/DSCF9268.jpg)
11 years ago
MichuziRUCCO Iringa mabingwa wa Taifa Safari Pool 2014
CHUO cha RUCCO cha mkoani Iringa kimefanikiwa kutwaa ubingwa wa mashindano ya mchezo wa Pool Taifa yaliyoyoshirikisha mabingwa wa Vyuo vya Elimu ya juu kutoka mkoa minane yajulikanayo kama “Safari Pool Higher Learning Competition 2014” mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Aventure Moshi -Kilimanjaro.
RUCCO ilifanikiwa kupata ubingwa huo kwa kukifunga chuo cha St. John cha Dodoma 13-12, na hivyo kuzawadiwa kikombe na fedha taslimu Shilingi 2,500,000/= Nafasi ya pili...
10 years ago
GPLMOROGORO, IRINGA, MBEYA WAPATA MABINGWA WA SAFARI POOL
11 years ago
MichuziMabingwa Safari Pool Higher Learning wapatikana Iringa Mbeya.
11 years ago
MichuziBlue Leaf Mabingwa Safari Pool mkoa wa Lindi
Nafasi ya pili ilichukuliwa na Bwalo la Polisi Pool Klabu na kuzawadiwa fedha taslimu Shilingi 400,000/= na...
10 years ago
Vijimambo23 May
HOTUBA YA KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA MWANZA WAKATI WA KUFUNGUA MASHINDANO YA NGAZI YA MKOA YA MICHEZO YA SHULE ZA SEKONDARI TANZANIA (UMISSETA) NSUMBA SEKONDARI TAREHE 23 MEI, 2015
Nimeupokea mwaliko huu kwa furaha kwa vile umenipa fursa ya pekee kuwaona na kuzungumza na hadhara hii ya wanafunzi, Wanamichezo na Walimu wao. Aidha, nitumie fursa hii kuupongeza uongozi wa Nsumba na Jumuia yote kwa maandalizi mazuri ya...
10 years ago
MichuziMASHINDANO YA SKAUTI NGAZI YA TAIFA YAFUNGWA RASMI MKOANI MOROGORO