Blue Leaf Mabingwa Safari Pool mkoa wa Lindi
KLABU ya mchezo wa Pool ya Blue Leaf Mkoani Lindi imemefanikiwa kutwaa Ubingwa wa fainali za mashindano ya mchezo huo yajulikanayo kama “Safari National Pool Competition 2014” uliomalizikamwishoni mwa wiki Mkoani humo na kuzawadiwa pesa taslimu Shilingi 800,000/= pamoja na tiketi ya kuwakilisha Mkoa wa Lindi kwenye fainali za zinazotarajiwa kufanyika Mkoani Kilimanjaro.
Nafasi ya pili ilichukuliwa na Bwalo la Polisi Pool Klabu na kuzawadiwa fedha taslimu Shilingi 400,000/= na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLBLUE LEAF YA LINDI YASHINDA POOL, KUSHIRIKI KITAIFA KILIMANJARO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xH13JlXcT78/U-lAMGoVSbI/AAAAAAAF-xk/5zKvaOwG434/s72-c/unnamed..jpg)
Top Land Mabingwa Safari Pool Kinondoni
10 years ago
MichuziTopland Kinondoni mabingwa Safari Pool 2014
Timu ya Topland kwa kutwaa ubingwa huo ilizawadiwa Kikombe,Medali za dhahabu na pesa taslimu Shilingi 5,000 000/= wakati mshindi wa pili Anatory ya Morogoro walizawadiwa pesa taslimu Shilingi 2,500 000/= ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NQOiUzb2tLs/U_uDbpAHh-I/AAAAAAAGCWM/SqyCRTxTwds/s72-c/unnamedA.jpg)
Temeke,Dodoma zapata mabingwa wa Safari Pool
Mkoa wa kimichezo wa Temeke mabingwa ni klabu ya Mpo Afrika walifanikiwa kutetea ubingwa wao wa mwaka jana wakati mkoani Dodoma Klabu ya Delux ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa mkoa huo.
Klabu ya Mpo Afrika na Delux kwa kutwaa ubingwa huo zilizawadiwa pesa taslimu...
10 years ago
GPLTEMEKE, DODOMA ZAPATA MABINGWA WA SAFARI POOL
10 years ago
GPLMOROGORO, IRINGA, MBEYA WAPATA MABINGWA WA SAFARI POOL
11 years ago
MichuziRUCCO Iringa mabingwa wa Taifa Safari Pool 2014
CHUO cha RUCCO cha mkoani Iringa kimefanikiwa kutwaa ubingwa wa mashindano ya mchezo wa Pool Taifa yaliyoyoshirikisha mabingwa wa Vyuo vya Elimu ya juu kutoka mkoa minane yajulikanayo kama “Safari Pool Higher Learning Competition 2014” mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Aventure Moshi -Kilimanjaro.
RUCCO ilifanikiwa kupata ubingwa huo kwa kukifunga chuo cha St. John cha Dodoma 13-12, na hivyo kuzawadiwa kikombe na fedha taslimu Shilingi 2,500,000/= Nafasi ya pili...
11 years ago
MichuziMabingwa Safari Pool Higher Learning wapatikana Iringa Mbeya.
10 years ago
GPLTABORA, KAGERA, ARUSHA, KILIMANJARO NA ILALA ZAPATA MABINGWA SAFARI POOL