TEMEKE, DODOMA ZAPATA MABINGWA WA SAFARI POOL
Meneja wa bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (wa pili kulia), akimkabidhi kombe la ubingwa nahodha wa Mpo Afrika, Charles Venance. Kulia ni Katibu wa Chama cha Pool Taifa, Amos Kafwinga, na kocha wa timu ya Taifa, Denis Rungu. Baadhi ya wachezaji wa Mpo Afrika na mashabiki wakishangilia na kombe waliloshinda. KATIKA mchakato wa fainali… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NQOiUzb2tLs/U_uDbpAHh-I/AAAAAAAGCWM/SqyCRTxTwds/s72-c/unnamedA.jpg)
Temeke,Dodoma zapata mabingwa wa Safari Pool
Mkoa wa kimichezo wa Temeke mabingwa ni klabu ya Mpo Afrika walifanikiwa kutetea ubingwa wao wa mwaka jana wakati mkoani Dodoma Klabu ya Delux ilifanikiwa kutwaa ubingwa wa mkoa huo.
Klabu ya Mpo Afrika na Delux kwa kutwaa ubingwa huo zilizawadiwa pesa taslimu...
10 years ago
GPLTABORA, KAGERA, ARUSHA, KILIMANJARO NA ILALA ZAPATA MABINGWA SAFARI POOL
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-leiZOkrBQaM/U_I70CGBFMI/AAAAAAAGAmM/ZUYfu90eA04/s72-c/unnamed.jpg)
Tabora,Kagera,Arusha,Kilimanjaro na Ilala zapata Mabingwa Safari Pool
Mkoa wa Tabora mabingwa ni Tiptop Pool Klabu,Kagera ni Bilele Pool Klabu,Arusha ni Ngarenaro Pool Klabu,Kilimanjaro ni Mboya Pool Klabu na Mkoa wa Kimichezo wa Ilala ni Mashujaa Pool Klabu ambavyo kwa kutwaa ubingwa...
10 years ago
MichuziTopland Kinondoni mabingwa Safari Pool 2014
Timu ya Topland kwa kutwaa ubingwa huo ilizawadiwa Kikombe,Medali za dhahabu na pesa taslimu Shilingi 5,000 000/= wakati mshindi wa pili Anatory ya Morogoro walizawadiwa pesa taslimu Shilingi 2,500 000/= ...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xH13JlXcT78/U-lAMGoVSbI/AAAAAAAF-xk/5zKvaOwG434/s72-c/unnamed..jpg)
Top Land Mabingwa Safari Pool Kinondoni
11 years ago
MichuziRUCCO Iringa mabingwa wa Taifa Safari Pool 2014
CHUO cha RUCCO cha mkoani Iringa kimefanikiwa kutwaa ubingwa wa mashindano ya mchezo wa Pool Taifa yaliyoyoshirikisha mabingwa wa Vyuo vya Elimu ya juu kutoka mkoa minane yajulikanayo kama “Safari Pool Higher Learning Competition 2014” mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Aventure Moshi -Kilimanjaro.
RUCCO ilifanikiwa kupata ubingwa huo kwa kukifunga chuo cha St. John cha Dodoma 13-12, na hivyo kuzawadiwa kikombe na fedha taslimu Shilingi 2,500,000/= Nafasi ya pili...
11 years ago
MichuziBlue Leaf Mabingwa Safari Pool mkoa wa Lindi
Nafasi ya pili ilichukuliwa na Bwalo la Polisi Pool Klabu na kuzawadiwa fedha taslimu Shilingi 400,000/= na...
10 years ago
GPLMOROGORO, IRINGA, MBEYA WAPATA MABINGWA WA SAFARI POOL
11 years ago
MichuziMabingwa Safari Pool Higher Learning wapatikana Iringa Mbeya.