Mchezo wa netiboli unahitaji mashindano mengi
>Wiki iliyopita Michuano ya Netiboli ya Kombe la Taifa ilifikia tamati jijini Dar es Salaam kwa mkoa wa kimichezo wa Temeke kutwaa ubingwa baada ya kuifunga Morogoro kwenye fainali iliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Mchezo wa Netiboli ‘unakufa’ na utamu wake
Maisha ya binadamu yana changamoto nyingi hasa katika kipindi hiki ambacho dunia inashuhudia mabadiliko kila kukicha
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Kasoro za mashindano ya taifa ya Netiboli
Kwa mara ya kwanza tangu kuingia madarakani, uongozi mpya wa Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta) ulifanya mashindano ya taifa ya netiboli yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwa wiki moja.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W0frWgD6D3I/U8FenW3EwUI/AAAAAAAF1kw/06YRAeX-kEI/s72-c/DSC_0915.jpg)
Mashindano ya Klabu Bingwa ya Netiboli nchini yafunguliwa katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-W0frWgD6D3I/U8FenW3EwUI/AAAAAAAF1kw/06YRAeX-kEI/s1600/DSC_0915.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mnwo3q3TNIg/U8FenaWtgXI/AAAAAAAF1k0/csfWKM7r3po/s1600/DSC_0943.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9ZQDW7GPOh0/U8FeorpDdFI/AAAAAAAF1k8/Trlq6xA1pts/s1600/DSC_0946.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tTLTyEOFwe8/U8FepNMPtHI/AAAAAAAF1lI/B9VkqKSskck/s1600/DSC_0954.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NTom5OTvhEI/U8Fept3vfRI/AAAAAAAF1lM/jz5MtNYiLI4/s1600/DSC_0955.jpg)
11 years ago
GPLMASHINDANO YA MCHEZO WA CHESS YAFUNGULIWA GOLDEN TOWER
Bango la mashindano ya Chess. Mshindi wa dunia mara tano katika mchezo wa Chess, Viswanathan Anand. Muonekano wa Chess.…
11 years ago
MichuziMashindano ya Mchezo wa Gofu yafanyika jijini Dar
WACHEZAJI 14 kati ya 52 wa mchezo wa gofu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambao mwishoni mwa wiki walishiriki mashindano ya mchezo huo yaliyojulikana kama 'Siku ya Gofu', waliibuka kidedea baada ya kufanya vizuri katika mashindano hayo yaliyodhaminiwa na BancABC.
Mashindano hayo ambayo yalidhaminiwa na BancABC, yalifanyikia kwenye viwanja wa TPDF Lugalo jijini Dar es Salaam. Wachezaji hao ambao walizawadiwa vifaa mbalimbali vya kuchezea mchezo huo ni Peter Fiwa, Moses Namuhisa, Shaban Kibuna,...
Mashindano hayo ambayo yalidhaminiwa na BancABC, yalifanyikia kwenye viwanja wa TPDF Lugalo jijini Dar es Salaam. Wachezaji hao ambao walizawadiwa vifaa mbalimbali vya kuchezea mchezo huo ni Peter Fiwa, Moses Namuhisa, Shaban Kibuna,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FcxZaOS4HAE/VTvo9yhIHII/AAAAAAAHTSY/WW3FB38kiT8/s72-c/unnamedd1.jpg)
Mikoa mitano kushiriki mashindano ya mchezo wa vishale "Darts" Taifa
Na Mwandishi Wetu.
MASHINDANO ya mchezo wa Darts Taifa yamezinduliwa rasmi leo jijini Dar es Salaam katika Hoteli ya Moshi iliyopo Manzese kwa kushirikisha mikoa mitano ya Tanzania.
Akizindua mashindano hayo Katibu Tawala wa Wilaya ya kinondoni, Selestine Onditi ”kwanza aliwapongeza viongozi wa chama hicho kwa juhudi za pekee za kufanya mashindano hayo yafanyike kwa mwaka wa 2015,lakini zaidi aliwashukuru wachezaji kwa moyo wa kupenda mchezo kujigarimia kuacha kazi zao kutoka...
MASHINDANO ya mchezo wa Darts Taifa yamezinduliwa rasmi leo jijini Dar es Salaam katika Hoteli ya Moshi iliyopo Manzese kwa kushirikisha mikoa mitano ya Tanzania.
Akizindua mashindano hayo Katibu Tawala wa Wilaya ya kinondoni, Selestine Onditi ”kwanza aliwapongeza viongozi wa chama hicho kwa juhudi za pekee za kufanya mashindano hayo yafanyike kwa mwaka wa 2015,lakini zaidi aliwashukuru wachezaji kwa moyo wa kupenda mchezo kujigarimia kuacha kazi zao kutoka...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania