Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchezo wa netiboli unahitaji mashindano mengi

>Wiki iliyopita Michuano ya Netiboli ya Kombe la Taifa ilifikia tamati jijini Dar es Salaam kwa mkoa wa kimichezo wa Temeke kutwaa ubingwa baada ya kuifunga Morogoro kwenye fainali iliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mchezo wa Netiboli ‘unakufa’ na utamu wake

Maisha ya binadamu yana changamoto nyingi hasa katika kipindi hiki ambacho dunia inashuhudia mabadiliko kila kukicha

 

11 years ago

Mwananchi

Kasoro za mashindano ya taifa ya Netiboli

Kwa mara ya kwanza tangu kuingia madarakani, uongozi mpya wa Chama cha Netiboli Tanzania (Chaneta) ulifanya mashindano ya taifa ya netiboli yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwa wiki moja.

 

11 years ago

Michuzi

Mashindano ya Klabu Bingwa ya Netiboli nchini yafunguliwa katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma

Naibu Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe Juma Nkamia aliyeshika mpira akilenga kapu(kufunga goli) akiashiria ufunguzi rasmi wa mashindano ya Klabu Bingwa ya Netiboli katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.Naibu Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe Juma Nkamia akisalimiana na vikosi vya JKT na Kikosi cha Police Dodoma (waliovalia kijani).Timu hizi ndizo zilizo funguwa mashindano haya ya Klabu Bingwa ya Netiboli katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.Naibu Waziri wa...

 

11 years ago

GPL

MASHINDANO YA MCHEZO WA CHESS YAFUNGULIWA GOLDEN TOWER

Bango la mashindano ya Chess. Mshindi wa dunia mara tano katika mchezo wa Chess, Viswanathan Anand. Muonekano wa Chess.…

 

11 years ago

Michuzi

Mashindano ya Mchezo wa Gofu yafanyika jijini Dar

WACHEZAJI 14 kati ya 52 wa mchezo wa gofu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambao mwishoni mwa wiki walishiriki mashindano ya mchezo huo yaliyojulikana kama 'Siku ya Gofu', waliibuka kidedea baada ya kufanya vizuri katika mashindano hayo yaliyodhaminiwa na BancABC.
Mashindano hayo ambayo yalidhaminiwa na BancABC, yalifanyikia kwenye viwanja wa TPDF Lugalo jijini Dar es Salaam. Wachezaji hao ambao walizawadiwa vifaa mbalimbali vya kuchezea mchezo huo ni Peter Fiwa, Moses Namuhisa, Shaban Kibuna,...

 

10 years ago

Michuzi

Mikoa mitano kushiriki mashindano ya mchezo wa vishale "Darts" Taifa

Na Mwandishi Wetu.
MASHINDANO ya mchezo wa Darts Taifa yamezinduliwa rasmi leo jijini Dar es Salaam katika Hoteli ya Moshi iliyopo Manzese kwa kushirikisha mikoa mitano ya Tanzania.
Akizindua mashindano hayo Katibu Tawala wa Wilaya ya kinondoni, Selestine Onditi ”kwanza aliwapongeza viongozi wa chama hicho kwa juhudi za pekee za kufanya mashindano hayo yafanyike kwa mwaka wa 2015,lakini zaidi aliwashukuru wachezaji kwa moyo wa kupenda mchezo kujigarimia kuacha kazi zao kutoka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani