Mchezo wa Netiboli ‘unakufa’ na utamu wake
Maisha ya binadamu yana changamoto nyingi hasa katika kipindi hiki ambacho dunia inashuhudia mabadiliko kila kukicha
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Mchezo wa netiboli unahitaji mashindano mengi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJALE1kpr*KEagUetotCbErtc4BwdddZiI0b6btTpATlUOrAxQqb*pQB-06aMOqzKOo*tI65Aiit2IiYXsl1JgTa/COUPLES.jpg?width=650)
KULA GIZANI HUPUNGUZA UTAMU WAKE
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IDSxpu6BW21b93QXEBmZXchzsAiAp9HzpD3U-YlZMBztcXJUcVN1YkxiYr36pxA9Y5-5f2GvKCKmW0YsKu26slmfpMAH8ddF/Vanessa3.jpg)
KAKA KUCHA FUPI ZINA UTAMU WAKE
10 years ago
Vijimambo15 Oct
PAMOJA NA UTAMU WAKE, UKIMCHUNGUZA KUKU HUMLI!
![](http://www.essence.com/sites/default/files/images/2011/07/07/couple-cuddling-in-bed-opt-400x295.jpg)
Juzikati nilipata simu moja ya kushangaza kidogo kutoka kwa mmoja wa wasomaji wa safu hii. Yeye ni mdada, aliniambia ana tatizo kubwa ambalo hajui namna ya kulikabili, eti kila akimpata mwanaume baada ya muda mfupi anamtosa....
9 years ago
StarTV24 Dec
Kerr atetea wachezaji wake kuelekea mchezo na mwadui FC
Kocha wa timu ya Simba ya Dar es Salaam Dyrlan Kerr amesema wachezaji wake wanajitahidi kwa kadri ya uwezo wao kupata matokeo mazuri katika michuano ya ligi kuu ya Vodacom inayoendelea,makosa yanayojitokeza kiwanjani ni ya kimchezo na kwamba atayasahihisha.
Simba Ipo jiji Mwanza ikijiandaaa na mchezo unaofuata dhidi ya Mwadui FC utakaopigwa Jumamosi.
Kifua wazi Kocha wa timu ya Simba ya Dar es Salaam Dyrlan Kerr akiongoza mazoezi ya klabu hiyo kwenye viwanja vya DIT jijini Mwanza...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s72-c/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
STARS YAPOTEZA MCHEZO WAKE WA KWANZA DHIDI YA SWAZIAND, YALALA KWA BAO 1-0
Stars ilipoteza nafasi zaidi ya tano kipindi cha kwanza kupitia kwa washambuliaji wake Saimon Msuva na nahodha John Bocco ambao walishindwa kukwamisha mpira wavuni katika kipindi cha kwanza, ambacho Taifa Stars ilicheza vizuri.
![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s640/unnamed%2B%252816%2529.jpg)