Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchezo wa Netiboli ‘unakufa’ na utamu wake

Maisha ya binadamu yana changamoto nyingi hasa katika kipindi hiki ambacho dunia inashuhudia mabadiliko kila kukicha

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mchezo wa netiboli unahitaji mashindano mengi

>Wiki iliyopita Michuano ya Netiboli ya Kombe la Taifa ilifikia tamati jijini Dar es Salaam kwa mkoa wa kimichezo wa Temeke kutwaa ubingwa baada ya kuifunga Morogoro kwenye fainali iliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.

 

11 years ago

GPL

KULA GIZANI HUPUNGUZA UTAMU WAKE

MMH jamani ndiyo nini kuninunia kwa kusema ukweli? Siku zote dawa ya jipu ni kulitumbua kwani ukilionea huruma utamuongezea maumivu mgonjwa. Nataka kukwambia kitu kimoja kwamba chuki nichukie roho yangu niachie, wee sema wee na upige mayowe lakini ukweli utabaki palepale, kaniki haiwezi kubadilika rangi na kuwa nyeupe, ujumbe umefika au siyo? Natamani kucheka kwa jicho unalonikata na huku ukijisemea moyoni mwako kuwa siku...

 

9 years ago

GPL

KAKA KUCHA FUPI ZINA UTAMU WAKE

Naam kama ilivyo ada yetu, tumekutana tena kwenye kona yangu mimi shangingi mstaafu mwingine foto kopi, nasikia kuna watu wanajiita mashangingi wastaafu, sifa yako kubwa kunywa pombe za watu na kuwakimbia, vipigo vimewapa mikovu kama kibaka mzoefu. Siku zote tutashindana lakini mimi nitabakia namba moja, nayajua uyajuayo na usiyojua kaa chini, mwari nikufunde, ulikimbia unyago hujui mizungu inaokotwaje. Ndiyo maana nikasema...

 

10 years ago

Vijimambo

PAMOJA NA UTAMU WAKE, UKIMCHUNGUZA KUKU HUMLI!

Habari gani waungwana na wadau wa ukurasa huu. Nina uhakika mambo yenu yanakwenda vilevile mlivyopanga, maana maisha bwana ni vile mtu unavyopanga. Ukitaka kuwa msumbufu kwa waume za watu unaweza, ukitaka kuwa kiwembe kwa wake wa wenzio pia waweza, umeona bwana?

Juzikati nilipata simu moja ya kushangaza kidogo kutoka kwa mmoja wa wasomaji wa safu hii. Yeye ni mdada, aliniambia ana tatizo kubwa ambalo hajui namna ya kulikabili, eti kila akimpata mwanaume baada ya muda mfupi anamtosa....

 

9 years ago

StarTV

Kerr atetea wachezaji wake kuelekea mchezo na mwadui FC

 

Kocha wa timu ya Simba ya Dar es Salaam Dyrlan Kerr amesema wachezaji wake wanajitahidi kwa kadri ya uwezo wao kupata matokeo mazuri katika michuano ya ligi kuu ya Vodacom inayoendelea,makosa yanayojitokeza kiwanjani ni ya kimchezo na kwamba atayasahihisha.

Simba Ipo jiji Mwanza ikijiandaaa na mchezo unaofuata dhidi ya Mwadui FC utakaopigwa Jumamosi.

 Kifua wazi Kocha wa timu ya Simba ya Dar es Salaam Dyrlan Kerr akiongoza mazoezi ya klabu hiyo kwenye viwanja vya DIT jijini Mwanza...

 

10 years ago

Michuzi

STARS YAPOTEZA MCHEZO WAKE WA KWANZA DHIDI YA SWAZIAND, YALALA KWA BAO 1-0

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepoteza mchezo wake wa kwanza wa michuano ya COSAFA Castel Cup dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland, baada ya kufungwa bao 1- 0 mchezo uliochezwa katika uwanja wa Royal Bafokeng jijini Rustenburg.
Stars ilipoteza nafasi zaidi ya tano kipindi cha kwanza kupitia kwa washambuliaji wake Saimon Msuva na nahodha John Bocco ambao walishindwa kukwamisha mpira wavuni katika kipindi cha kwanza, ambacho Taifa Stars ilicheza vizuri.kikosi cha Taifa Stars.Swaziland...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani