KULA GIZANI HUPUNGUZA UTAMU WAKE
![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJALE1kpr*KEagUetotCbErtc4BwdddZiI0b6btTpATlUOrAxQqb*pQB-06aMOqzKOo*tI65Aiit2IiYXsl1JgTa/COUPLES.jpg?width=650)
MMH jamani ndiyo nini kuninunia kwa kusema ukweli? Siku zote dawa ya jipu ni kulitumbua kwani ukilionea huruma utamuongezea maumivu mgonjwa. Nataka kukwambia kitu kimoja kwamba chuki nichukie roho yangu niachie, wee sema wee na upige mayowe lakini ukweli utabaki palepale, kaniki haiwezi kubadilika rangi na kuwa nyeupe, ujumbe umefika au siyo? Natamani kucheka kwa jicho unalonikata na huku ukijisemea moyoni mwako kuwa siku...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Jun
Zinakaribia siku za CCM kula gizani machungwa yaliyooza
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Mchezo wa Netiboli ‘unakufa’ na utamu wake
10 years ago
Vijimambo15 Oct
PAMOJA NA UTAMU WAKE, UKIMCHUNGUZA KUKU HUMLI!
![](http://www.essence.com/sites/default/files/images/2011/07/07/couple-cuddling-in-bed-opt-400x295.jpg)
Juzikati nilipata simu moja ya kushangaza kidogo kutoka kwa mmoja wa wasomaji wa safu hii. Yeye ni mdada, aliniambia ana tatizo kubwa ambalo hajui namna ya kulikabili, eti kila akimpata mwanaume baada ya muda mfupi anamtosa....
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IDSxpu6BW21b93QXEBmZXchzsAiAp9HzpD3U-YlZMBztcXJUcVN1YkxiYr36pxA9Y5-5f2GvKCKmW0YsKu26slmfpMAH8ddF/Vanessa3.jpg)
KAKA KUCHA FUPI ZINA UTAMU WAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j*z2ryZ7D1wRLyT8SjvKDnl6l0aEDBybXGewpyBis9AJySvrbf-JqlCAVlUbjAvd8Ylag-I8d6hFZ9eGUq1AdrEahDUyD8RP/1.jpg)
NABII AWALAZIMISHA WAFUASI WAKE KULA NYOKA AKIDAI CHOCOLATE
9 years ago
Bongo Movies19 Dec
Kaeni Mkao wa Kula, Riyama na ‘Pacha’ wake Mwanaheri wapo Jikoni
Mastaa wakali wa Bongo Movies, Riyama Ally na mwanaheri kwasasa wapo lokesheni wakishuti kazi yao mpya . Mwanaheri ambaye ni msanii anayekuja kwenye tasnia kwa kasi ya ajabu amefanikiwa kuwateka mashabiki nakupeleikea wamtabilie makubwa kwenye tasnia hiyo kutokana na uwezo wake katika kuigiza.
Mbali na kufanana kimuonekano Mwanaheri amekuwa akifananishwa na Riyama hata kwenye uigizaji wake na kupelekea wawili hao kuitana pacha.
9 years ago
Bongo509 Nov
Picha: Cassper Nyovest aendelea kula bata Zanzibar na mpenzi wake Boity, aitosa show ya Maftown Heights
![12224667_784132751713827_1656881668_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12224667_784132751713827_1656881668_n-300x194.jpg)
Rapper anayezungumzwa zaidi nchini Afrika Kusini kwa sasa, Cassper Nyovest anaendelea kujipongeza na kufurahia mafanikio baada ya show yake ya #FillUpTheDome kwa vacation ndefu visiwani Zanzibar.
Rapper huyo na mpenzi wake Boity, bado wameendelea kufurahia mandhari za kuvutia za bahari ya Hindi visiwani humo kwenye hoteli za kitalii.
Kurasa zao za Instagram zinaonesha jinsi wanavyofurahia kwenye kisiwa hicho ikiwa ni pamoja na kula vyakula maarufu vya baharini.
Katika hatua nyingine,...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Kutolala hupunguza uwezo wa kufikiri
JOHN ni mwanafunzi wa chuo, amebakiza muda mfupi kuhitimu shahada katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini. Anatumia karibu muda wake wote kwa masomo kufanya mazoezi kwa vitendo na kufanya...
10 years ago
BBCSwahili08 May
Aspirin na Ibuprofen hupunguza saratani