NABII AWALAZIMISHA WAFUASI WAKE KULA NYOKA AKIDAI CHOCOLATE
![](http://api.ning.com:80/files/j*z2ryZ7D1wRLyT8SjvKDnl6l0aEDBybXGewpyBis9AJySvrbf-JqlCAVlUbjAvd8Ylag-I8d6hFZ9eGUq1AdrEahDUyD8RP/1.jpg)
KATIKA hali ya kushangaza, nabii mmoja nchini Afrika Kusini ajulikanaye kwa jina la Penuel Mnguni, kutoka End Time Disciples Ministries, wikiendi iliyopita aliamua kuwalazimisha waumini wake kuna nyoka akidai kuwa amembadili nyoka huyo kuwa chocolate. Nabii huyo alidai kuwa nyoka hawezi kumdhuru mtu yeyote anayemla na hiyo ni ishara kula tayari amebarikiwa. Tuna mamlaka ya kubadilisha kitu chochote na kitakubali maana tuna...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Kijana aishi kwa kula mifuko ya plastiki akidai ‘ni mitamu’
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Mchungaji akwepa kula panya na nyoka
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/WrRDzyORG5s/default.jpg)
MTOTO WA NYOKA NI NYOKA TUUUUU LeBron James Jr.
Jitiririshe na video hii na utakubari usemi wa mtoto wa nyoka ni nyoka jinsi mtoto wa LeBron James jersey number 0 {LeBron James Jr} alivyo na kipaji kama baba yake. The apple never falls far from the tree.
10 years ago
Habarileo30 Oct
SMS ya nabii yavunja ndoa ya muumini wake
UJUMBE mfupi wa simu ya mkononi (SMS) wa kimapenzi ambao ulitumwa kutoka simu inayomilikiwa na kiongozi wa kanisa la Ngurumo ya Upako, Nabii Geor David Kasambala kwenda kwa mke wa muumini wa kanisa hilo umesababisha ndoa kuvunjika. Mwanamke aliyetumiwa SMS na nabii huyo ni Pamela Godfrey, mke wa Wilson Lota, wote waumini wa kanisa linaloongozwa na Nabii Geor David.
10 years ago
Mtanzania28 Jan
Lipumba, wafuasi wake wala kichapo
Na Oliver Oswald, Dar es salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, jana lilazimika kutumia nguvu kubwa kupambana na wafusi wa Chama cha Wananchi (CUF), waliokuwa wanaandamana katika kile kilichoelezwa kukumbuka mauaji ya wanachama wake yaliyotokea Januari 26 na 27, mwaka 2001 visiwani Zanzibar.
Katika purukushani hizo, askari walimpiga kwa kutumia kitako cha bunduki na kisha kirungu, mpigapicha wa gazeti la Jambo Leo, Hamisi Mussa, aliyekuwa anatekeleza majukumu yake ya...
10 years ago
GPLLIPUMBA NA WAFUASI WAKE WAPATA DHAMANA UPYA
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Diwani, wafuasi wake waipa pigo CUF Tanga
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-i7PdXL25xqQ/VohiT2BIquI/AAAAAAAAXnk/ulMfRG79iB8/s72-c/1.jpg)
Edward Lowassa alalamika wafuasi wake kuandamwa na Serkali
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJALE1kpr*KEagUetotCbErtc4BwdddZiI0b6btTpATlUOrAxQqb*pQB-06aMOqzKOo*tI65Aiit2IiYXsl1JgTa/COUPLES.jpg?width=650)
KULA GIZANI HUPUNGUZA UTAMU WAKE