MTOTO WA NYOKA NI NYOKA TUUUUU LeBron James Jr.
![](http://img.youtube.com/vi/WrRDzyORG5s/default.jpg)
Jitiririshe na video hii na utakubari usemi wa mtoto wa nyoka ni nyoka jinsi mtoto wa LeBron James jersey number 0 {LeBron James Jr} alivyo na kipaji kama baba yake. The apple never falls far from the tree.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
Dawa ya nyoka ni nyoka
Watafiti wanyonya sumu ya nyoka itayowatibu watu wanaotafunwa na nyoka Afrika
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mtoto anayedaiwa kugeuka nyoka azua kizaazaa Geita
Mtoto mchanga mwenye umri wa miezi minne amezua kizaazaa cha aina yake, baada ya kuwapo taarifa kwamba mara kadhaa umbo lake limekuwa likigeuka na kuwa nyoka na mwili wake ukiendelea kudhoofu kutokana na kukataa kunyonya maziwa ya mama yake.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-tkZn29GYSc0/VGiYVJ52nlI/AAAAAAAAT4M/3Kene5osCUc/s72-c/mtoto.jpg)
MTOTO ANAYEDAIWA KUGEUKA NYOKA AYEZUA KIZAAZAA HUKO GEITA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tkZn29GYSc0/VGiYVJ52nlI/AAAAAAAAT4M/3Kene5osCUc/s640/mtoto.jpg)
Mtoto huyo (jina lake tunalihifadhi kwa sasa), wiki iliyopita alivuta umati wa wakazi wa Kijiji cha Nkome mkoani Geita ambao walifurika ndani na nje ya Kanisa la AICT Nkome, lililopo kijiji hapo,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m2dop3vQlLkj41gfpXJrlGTlpxVPYZVw9G4bXj6BGhKEe2rH*Mhm88SOZreNyelZWVgReyE5x3WrdLnVLPdERT0xbRd3mBDm/Kondo.jpg)
NIMEUMWA NA NYOKA, NIMETOKWA MAGAMBA
KWELI duniani hujafa hujaumbika! Mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Kondo Athuman, mkazi wa Pugu Mnadani, Dar es Salaam amejikuta akiishi kwenye mazingira magumu kutokana na magamba kumtoka mwilini na kukatika vidole baada ya kumuua nyoka.  Kondo Athuman akionyesha mguu unaotoka magamba. CHANZO CHAKE
Akisimulia kwa huzuni, Kondo alisema mwaka 2006 alisafiri na mkewe kwenda mkoani Morogoro ambapo walipata shamba...
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Vifo vinavyotokana na nyoka kuongezeka?
Shirika la kimataifa la misaada, Medecins Sans Frontieres, limeonya kwamba vifo vitokanavyo na kuumwa na nyoka huenda vikaongezeka
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Amezwa na Nyoka aina ya Anaconda
Watu nchini Marekani wameelezea ghadhabu kufuatia utafiti wa mtaalamu wa wanyamapori Paul Roslie kumezwa na Nyoka aina ya Anaconda ili kuchunguza maumbile ya ndani ya Nyoka huyo.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3ydo-rPuK9obLGmDI8GdnhauIvpMzTDSv53FbaRUfOjpGWwE8wPpDZQXtikehU4yTbc5EWwZ7*INn01BLK6BIH6ulCZZ7srl/Dent.jpg?width=650)
DENTI ATOKWA MAGAMBA KAMA YA NYOKA
MATESO! Mtoto aitwaye Chacha Robert (15), (pichani), mkazi wa Musoma, Mara anateseka na ugonjwa wa ajabu wa kuota magamba kama ya nyoka sehemu ya mwili hali inayomsababishia kutengwa na jamii.....Soma zaidi===>http://bit.ly/1KiyJNS
10 years ago
Raia Mwema15 Jul
Mpinzani huyu “nyoka ndani ya kibuyu”
JUMAMOSI iliyopita nikiwa Kampala, Uganda, nilimwambia rafiki yangu mmoja aliye waziri katika ser
Ahmed Rajab
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXJRB4mR0blvLtseRLvj1NVmXXEWjFvp11RPlv4IsyhfrzOKsK83Ned6Oat5gJ3AvK6MeGaVgl8RjM4MrFtnIX9L/maindaa.jpg?width=650)
HAMISA MABETO: NINA UTAALAM NA NYOKA
Stori: Musa Mateja
MREMBO aliyeng’ara kwenye Shindano la Miss Tanzania mwaka 2011, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ amefunguka kuwa, licha ya baadhi ya wasichana wenzake kutokuwa na ujasiri wa kucheza na nyoka, yeye anao. Mrembo aliyeng’ara kwenye Shindano la Miss Tanzania mwaka 2011, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ Akipiga stori na Ijumaa, Mabeto alisema awali alikuwa muoga lakini taratibu alianza...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania