HAMISA MABETO: NINA UTAALAM NA NYOKA
![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXJRB4mR0blvLtseRLvj1NVmXXEWjFvp11RPlv4IsyhfrzOKsK83Ned6Oat5gJ3AvK6MeGaVgl8RjM4MrFtnIX9L/maindaa.jpg?width=650)
Stori: Musa Mateja MREMBO aliyeng’ara kwenye Shindano la Miss Tanzania mwaka 2011, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ amefunguka kuwa, licha ya baadhi ya wasichana wenzake kutokuwa na ujasiri wa kucheza na nyoka, yeye anao. Mrembo aliyeng’ara kwenye Shindano la Miss Tanzania mwaka 2011, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ Akipiga stori na Ijumaa, Mabeto alisema awali alikuwa muoga lakini taratibu alianza...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9whBoo1pTWOQyje3BpwpUgSkPurpoOWUxYzxLEYMtk2a-ftsmPQ1UyRzQT8OzFkb1Zz53R-0pNW-pz5MsoUjV0ndYa62GmHp/11098377_1412805635702978_1854371883_n.jpg)
HAMISA MABETO AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE
Mwanamitindo kiwango Bongo, Hamisa Hassan Mobeto (kushoto) akiwa na mimba kabla ya kujifungua kulia ni mtoto wake wa kike.
Hamisa Mobeto akiwa katika pozi. MWANAMITINDO kiwango Bongo, Hamisa Hassan Mobeto amejifungua mtoto wa kike hivi karibuni na kuwashangaza wengi kwani mimba hiyo ilikuwa na usiri mkubwa tofauti na wafanyavyo mastaa wengine. Mtandao huu tunampa hongera… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TARUKDkBK7orYFHyfVVVY4Y9Snr--RG6igTJSHlLCdGDof9xUsGofuo1lj2stEmuiweugxu09*6zTAWSFZorSMDQCwm-Hf-W/hamisa.jpg)
HAMISA MABETO: SIFIKIRII NDOA, NAKULA UJANA
Stori: Mayasa Mariwata
Mrembo ambaye sasa amejiingiza kwenye filamu, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ amesema kwa sasa hafikirii suala la kuolewa kwani bado anakula ujana. Mrembo ambaye sasa amejiingiza kwenye filamu, Hamisa Hassan ‘Mabeto’. Akipiga stori na paparazi wetu, Mabeto alisema bado anajiona mtoto hivyo kuliko kukimbilia maisha ya ndoa bora ale kwanza ujana. “Suala la kuolewa hapa kwangu hata...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaembitej3gF6-yzhtbQ3BdWjva306uxWfQKWrz9qFu0a0XEswBWD8YSZJaN3W*b*d3b7Sz5Q7cHJY3TybnxCmvb/Hamisa.jpg?width=650)
HAMISA MABETO KAMA KIM, AMBER ROSE
Na Hamida Hassan
Tabia ya mastaa kujipiga picha za nusu utupu wakiwa na mimba haikuwepo Bongo, wamekuwa wakifanya hivyo mastaa wa nje kama vile Kim Kardashian, Amber Rose na wengineo lakini mwanamitindo, Hamisa Mabeto amefanya hivyo kisha kuzitupia picha zake mtandaoni. Hamisa Mabeto. Hamisa alijifungua hivi karibu baada ya kufanikiwa kuificha mimba yake lakini kumbe alijipiga picha hizo za kihasara kisha kuzihifadhi. Hata...
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Nina miaka 20 ninatembelea tumbo kama nyoka
Waswahili husema, hujafa, hujaumbika! Ukweli wa usemi huu unapatikana katika maisha ya kijana mwenye umri wa miaka 20, ambaye ukimwona utadhani mtoto wa miaka minne.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/WrRDzyORG5s/default.jpg)
MTOTO WA NYOKA NI NYOKA TUUUUU LeBron James Jr.
Jitiririshe na video hii na utakubari usemi wa mtoto wa nyoka ni nyoka jinsi mtoto wa LeBron James jersey number 0 {LeBron James Jr} alivyo na kipaji kama baba yake. The apple never falls far from the tree.
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
Dawa ya nyoka ni nyoka
Watafiti wanyonya sumu ya nyoka itayowatibu watu wanaotafunwa na nyoka Afrika
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH4x28EWiNLgnRw9my3tVEd2Br2FHvIRyR4jYCST4CIe8O7pDGuQ4X6RVZd4YZDRcPVf4FWrKKbRJhi15sUgngfi/mabeto.jpg)
MABETO: NAVAA NUSU UTUPU KIDIJITALI
NA MUSA MATEJA ‘Modo’ anayekuja kwa kasi Bongo, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ amefunguka kuwa, haoni hatari kuvaa nguo za kihasara kwani anahisi utandawazi ndiyo unamsukuma kufanya hivyo. ‘Modo’ anayekuja kwa kasi Bongo, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ Akizungumzia tabia yake ya kupiga picha za nusu utupu kisha kuzitupia mtandaoni, mrembo huyo ambaye aliwahi kushiriki mashindano ya Miss...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvoxp7jhEtJCpOj1Ss5fCCT611Ya32adBrwo*RRvqwY099sOYuaUs6U70h6QlR91xAQoeby5sz4DFa*X5HsC4K1Bwp30YhZ7/hamisa.jpg)
HAMISA APANGUA MSURURU WA WANAUME
Stori: Musa Mateja
MODO maarufu Bongo, Hamisa Mabeto amekanusha vikali taarifa za kuwa ana msururu wa mabwana kama inavyosambaa kwenye mitandao ya kijamii. Modo maarufu Bongo, Hamisa Mabeto. Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Hamisa alisema anawashangaa watu ambao wanamtaja kuwa na msururu wa wasanii ambao anafanya nao kazi wakiwemo wadau mbalimbali wa muziki kitu ambacho hakina ukweli wowote. “Nazushiwa tu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0EnpUkUMSXFwaAIoa8VGx6IqcRT0TWSQUu3CXlLwYtunhwJ15NXXfL2aYsgdj8zQKyUQNNP*9tnVPP*5tQn6NcqxnK-iCkt/hamisa.gif)
HAMISA ABWATUKA KISA MABUZI
Stori:MUSA MATEJA MWANAMITINDO kiwango Bongo, Hamisa Hassan Mobeto amepangua tuhuma ambayo amekuwa akitupiwa na watu wanaomuona aking’aa kisha kudai anatumia mgongo wa wanaume tofautitofauti (mabuzi). Mwanamitindo kiwango Bongo, Hamisa Hassan Mobeto Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, Hamisa alisema amekuwa akisikitishwa na tabia hiyo ya watu kumnanga kwenye mitandao ya kijamii kuwa anatupia picha nyingi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania