Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nina miaka 20 ninatembelea tumbo kama nyoka

Waswahili husema, hujafa, hujaumbika! Ukweli wa usemi huu unapatikana katika maisha ya kijana mwenye umri wa miaka 20, ambaye ukimwona utadhani mtoto wa miaka minne.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

HAMISA MABETO: NINA UTAALAM NA NYOKA

Stori: Musa Mateja
MREMBO aliyeng’ara kwenye Shindano la Miss Tanzania mwaka 2011, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ amefunguka kuwa, licha ya baadhi ya wasichana wenzake kutokuwa na ujasiri wa kucheza na nyoka, yeye anao. Mrembo aliyeng’ara kwenye Shindano la Miss Tanzania mwaka 2011, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ Akipiga stori na Ijumaa, Mabeto alisema awali alikuwa muoga lakini taratibu alianza...

 

10 years ago

Bongo5

Maajabu: Mmarekani amezwa kwa hiari na nyoka Anaconda ili kufanya utafiti ndani ya tumbo lake

Mtaalamu mmoja wa wanyama pori nchini Marekani, Paul Roslie aliamua kufanya utafiti ndani ya tumbo la nyoka mkubwa aina ya Anaconda ili kuchunguza maumbile ya ndani ya Nyoka huyo. Nyoka aina ya Anaconda (picha:Google) Lengo la utafiti huo ambao ulikuwa wa kwanza wa aina yake duniani, ilikuwa ni kuchunguza maumbulie ya ndani ya Nyoka huyo […]

 

9 years ago

GPL

DENTI ATOKWA MAGAMBA KAMA YA NYOKA

MATESO! Mtoto aitwaye Chacha Robert (15), (pichani), mkazi wa Musoma, Mara anateseka na ugonjwa wa ajabu wa kuota magamba kama ya nyoka sehemu ya mwili hali inayomsababishia kutengwa na jamii.....Soma zaidi===>http://bit.ly/1KiyJNS

 

10 years ago

Vijimambo

MTOTO WA NYOKA NI NYOKA TUUUUU LeBron James Jr.



Jitiririshe na video hii na utakubari usemi wa mtoto wa nyoka ni nyoka jinsi mtoto wa LeBron James jersey number 0 {LeBron James Jr} alivyo na kipaji kama baba yake. The apple never falls far from the tree.

 

10 years ago

GPL

AUNT: MUME WANGU HAJUI KAMA NINA MIMBA

Stori:Musa mateja
Msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ‘Mama Kijacho’ amefunguka kuwa, licha ya ujauzito wake kuwa mkubwa, mume wake Sunday Demonte hana taarifa yoyote juu ya kitumbo hicho.Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, Aunt alisema maneno hayo yanaweza kuwashangaza watu lakini ndiyo ukweli wenyewe. Msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ‘Mama Kijacho’. Alidai kuwa yeye na mume wake huyo...

 

9 years ago

MillardAyo

Kama umepanga kusafiri sikukuu, nina picha 20 na kinachoendela stendi ya Ubungo

Ikiwa tuanelekea mwishoni mwa mwaka 2015, kuna mengi yanakuwa yakiendelea katika msimu huu ambapo pia baadhi ya watu hupendelea kwenda makwao kwaajili ya kuwasabahi ndugu na jamaa. Lakini hali imekuwa tofauti kidogo leo Dec 23 2015 katika kituo cha mabasi Ubungo Terminal Dar es salaam mara baada ya baadhi ya abiria kukwama kusafiri kutokana na kukosa […]

The post Kama umepanga kusafiri sikukuu, nina picha 20 na kinachoendela stendi ya Ubungo appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

SARA MVUNGI: NINA MIAKA KUMI SIJAFANYA ZINAA

Stori: Mayasa Mariwata
MSANII wa filamu aliyejikita kumtumikia    Bwana kwa nyimbo za Injili, Sara Mvungi amesema kuwa, amechoshwa na upweke wa muda mrefu kwa kuishi bila mwanaume kwa takriban miaka 10 kwa kuwa anasubiri Mungu amshushie mume mwema. Msanii wa filamu aliyejikita kumtumikia Bwana kwa nyimbo za Injili, Sara Mvungi. Akitoa la rohoni kwa paparazi wetu, Sara alisema hajajihusisha na masuala ya mapenzi kwa...

 

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani