Kama umepanga kusafiri sikukuu, nina picha 20 na kinachoendela stendi ya Ubungo
Ikiwa tuanelekea mwishoni mwa mwaka 2015, kuna mengi yanakuwa yakiendelea katika msimu huu ambapo pia baadhi ya watu hupendelea kwenda makwao kwaajili ya kuwasabahi ndugu na jamaa. Lakini hali imekuwa tofauti kidogo leo Dec 23 2015 katika kituo cha mabasi Ubungo Terminal Dar es salaam mara baada ya baadhi ya abiria kukwama kusafiri kutokana na kukosa […]
The post Kama umepanga kusafiri sikukuu, nina picha 20 na kinachoendela stendi ya Ubungo appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMGOMO WA MABASI STENDI YA UBUNGO
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
‘Wafanyabiashara ondoeni vibanda stendi ya Ubungo’
WAFANYABIASHARA wenye vibanda vya kukatia tiketi katika stendi ya Ubungo, ambako mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) unaendelea, wametakiwa kuviondoa ili kupisha ujenzi wa mradi huo. Katibu Mkuu Ofisi ya...
10 years ago
Habarileo23 Oct
Stendi mpya ya Ubungo yaanza kutumika
MAMLAKA YA Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) imesema Kituo cha Ubungo kilichoko Mawasiliano Towers kitaanza kutumika rasmi kuanzia leo baada ya kukamilika kwa ujenzi wa lami, choo, Kituo cha Polisi, taa pamoja na vibao vinavyoonesha eneo basi linapokwenda.
9 years ago
MichuziABILIA WAKIWA STENDI KUU YA MABASI YA KWENDA MIKOANI (UBUNGO)
Abilia wakiwa katika Stendi Kuu ya mabasi ya kwenda mikoani Ubungo jijini Dar es Salaam, wakiimalisha usalama wa malizao, leo.Abilia wakiwa wamejipumzisha chini ya mti katika Stendi Kuu ya mabasi ya kwenda mikoani Ubungo jijini Dar es Salaam leo.Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya jamii.
10 years ago
Michuzimambo yazidi kunoga stendi ndogo ya mabasi Ubungo jijini Dar
5 years ago
CCM BlogMAGARI YA WASHAWASHA, FIRE YATUMIKA KUNYUNYUZIA DAWA STENDI YA MABASI UBUNGO
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Nina miaka 20 ninatembelea tumbo kama nyoka
10 years ago
GPLAUNT: MUME WANGU HAJUI KAMA NINA MIMBA
10 years ago
Bongo Movies02 Jun
Picha: Nimeamka Nimejikuta Nina Mabadiliko Mwilini-Nisha
Staa wa bongo Movies mwenye visa na vituko vyakufurahisha, Salma Jabu ‘Nisha’ amabaye kwa sasa anatamba sokoni na MTAA kwa MTAA amewaaacha hoi mashabiki wake baada yakutupia picha hii mtandaoni na kuandika “Nimeamka nimejikuta nna mabadiliko mwilini”.
Picha hii imekuwa ikisambaa kwa kasi zaidi mtandaoni huku kila mtu akiichombeza kwa maneno yake ukizingatia siku za hivi karibuni kuna baadhi ya mastaa wa kiume wa hapa Bongo wamekuwa wakipiga picha za namna hiyo na kuzua ‘stories’...