Picha: Nimeamka Nimejikuta Nina Mabadiliko Mwilini-Nisha
Staa wa bongo Movies mwenye visa na vituko vyakufurahisha, Salma Jabu ‘Nisha’ amabaye kwa sasa anatamba sokoni na MTAA kwa MTAA amewaaacha hoi mashabiki wake baada yakutupia picha hii mtandaoni na kuandika “Nimeamka nimejikuta nna mabadiliko mwilini”.
Picha hii imekuwa ikisambaa kwa kasi zaidi mtandaoni huku kila mtu akiichombeza kwa maneno yake ukizingatia siku za hivi karibuni kuna baadhi ya mastaa wa kiume wa hapa Bongo wamekuwa wakipiga picha za namna hiyo na kuzua ‘stories’...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp20yuC9-AHiIbAzNOh5Kx6SasA*LUMNoc*zFos2I-sZGppWlORJBiU32eLztQoOW-V*Z08WvdO0Mo7y-1ADsn*i3/nisha.jpg)
NISHA: MH! ETI NINA MIMBA, WATU BWANA
10 years ago
Bongo Movies27 Mar
Nisha:Nina Kazi Kubwa Kulinda Heshima Yangu
Staa wa Bongo Movies , Salma Jabu ‘Nisha’ amedai kuwa ana kazi kubwa katika kulinda nafasi yake ya uigizaji bora wa Komedi na ustadi katika kutengeneza kazi zake na ziendelee kuwa bora ili asipotee na kuonekana kama alibahatisha.
Wahenga husema kuwa ni rahisi kupata nafasi ya kwanza, lakini si rahisi kuilinda hivyo name lazima niilinde nafasi yangu niliyoipata mwaka jana baada ya kuipigania kwa muda mrefu katika tasnia ya filamu na nitailinda kwa kufanya kazi bora tu,”anasema Nisha.
Msanii...
9 years ago
Bongo Movies27 Nov
Nina Kazi Kubwa Kulinda Heshima Yangu- Nisha
MWIGIZAJI mahiri katika tasnia ya filamu na Komedi Salma Jabu ‘Nisha’ amedai kuwa ana kazi kubwa katika kulinda nafasi yake ya uigizaji bora wa Komedi na ustadi katika kutengeneza kazi zake na ziendelee kuwa bora ili asipotee na kuonekana kama alibahatisha.
“Wahenga husema kuwa ni rahisi kupata nafasi ya kwanza, lakini si rahisi kuilinda hivyo name lazima niilinde nafasi yangu niliyoipata mwaka jana baada ya kuipigania kwa muda mrefu katika tasnia ya filamu na nitailinda kwa kufanya kazi...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
10 years ago
Bongo Movies05 Mar
Picha: Mzee Majuto Akiwa Katika Pozi Tamuuu na Mrembo Nisha!!!
Tahadhari: Hii sio Le Projectii, ni picha tu za kawaida ambazo katika pita pita zangu kwenye kurasa za waigizaji kwenye mitandao ya kijamii kutafuta UBUYU ndipo nikakutana na picha hizi tamu za Mzee Majuto akiwa na mrembo Nisha.
Kilichonifurahisha na kunifanya nizilete hapa ni hizi pozi zao mbili tofauti, kwanza wanaonekana kama wapo wanachombezana mara wanaonekana kama wamefumwaa…hahahaha hatari sana.
Kuthibitisha kuwa hii sio Le Project Nisha aliandika maneno haya kiutani kwenye...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Kama umepanga kusafiri sikukuu, nina picha 20 na kinachoendela stendi ya Ubungo
Ikiwa tuanelekea mwishoni mwa mwaka 2015, kuna mengi yanakuwa yakiendelea katika msimu huu ambapo pia baadhi ya watu hupendelea kwenda makwao kwaajili ya kuwasabahi ndugu na jamaa. Lakini hali imekuwa tofauti kidogo leo Dec 23 2015 katika kituo cha mabasi Ubungo Terminal Dar es salaam mara baada ya baadhi ya abiria kukwama kusafiri kutokana na kukosa […]
The post Kama umepanga kusafiri sikukuu, nina picha 20 na kinachoendela stendi ya Ubungo appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo506 Nov
Picha: Dkt John Magufuli aapishwa kuwa Rais wa Tanzania, aahidi kuwatumikia wananchi ‘nina deni kubwa’
![ma35](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/ma35-300x194.jpg)
Dokta John Pombe Magufuli, Alhamis hii ameapishwa kuwa Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla iliyohudhuriwa na wananchi pamoja na viongozi wa nchi mbalimbali barani Afrika.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta John Pombe Magufuli akiapishwa Alhamis hii
Ikiwa ni siku iliyotangazwa na Rais aliyeondoka madarakani Jakaya Kikwete kuwa ya mapumziko, wananchi wengi walishuhudia kuapishwa kwa Magufuli kupitia runinga zao. Wengine walisikiliza matangazo...
9 years ago
Bongo503 Oct
Picha: Mtoto wa Lamar (Nisha) na mtoto wa Gelly wa Rhymes (Queen) nani mrembo zaidi?
10 years ago
Bongo Movies19 Dec
RIYAMA: Nimejikuta Nalia Kipindi Amina Anaigiza
Mwigizaji wa filamu za hapa Bongo, Riyama Ally “Rihama”amefunguka kwajinsi anvyomkubali mwigizaji chipukizi anaefahamika kwa jina la Amina.Akizungumza baada ya kukamilisha filamu mpya iitwayo DAMWANI ambayo Riyama na Amina wameshiriki, Riyama aliyasema haya mtandaoni baada ya kuweka picha yao wakiwa pamoja (hapo juu)
"Amina aka damwani -kiraka mimi ndio hupenda kumuita hivo, kiraka kwani ana uwezo wakumudu nafasi yoyote katika sanaa nimsanii mchanga namuombea kwa mungu ndoto zake ziwe...