Picha: Mzee Majuto Akiwa Katika Pozi Tamuuu na Mrembo Nisha!!!
Tahadhari: Hii sio Le Projectii, ni picha tu za kawaida ambazo katika pita pita zangu kwenye kurasa za waigizaji kwenye mitandao ya kijamii kutafuta UBUYU ndipo nikakutana na picha hizi tamu za Mzee Majuto akiwa na mrembo Nisha.
Kilichonifurahisha na kunifanya nizilete hapa ni hizi pozi zao mbili tofauti, kwanza wanaonekana kama wapo wanachombezana mara wanaonekana kama wamefumwaa…hahahaha hatari sana.
Kuthibitisha kuwa hii sio Le Project Nisha aliandika maneno haya kiutani kwenye...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo502 Oct
Picha: Mashabiki wamshambulia Nonini baada ya kupost picha ya ‘tbt’ akiwa kwenye pozi za kimahaba na Wahu
10 years ago
Bongo Movies03 Jan
Sekeseke la Panya Road: Jionee Vituko vya Mzee Majuto na Nisha
Kama mnavyojua, siku ya jana hapa jijini Dar es salaam kulikuwa na taharuki kubwa ikiwahusisha baadhi ya vijana wanaojikusanya kwenye vikundi na kujiita Panya road ambao huzunguka mitaani kufaya vurugu na kupora watu na huvyo kusababisha hofu kubwa kwa wakazi wa jijini hapa.
Hivi ni vituko vya waigizaji Mzee Majuto na Nisha kwa nyakati tofauti, Mzee Majuto akiwa nje ya jiji la Dar, akionekana “anagonga” mchemsho wa samaki huku anaongea na simu, JB alimuwekea maneno haya kwenye picha...
10 years ago
Bongo Movies28 Feb
Picha: JB ,Richie na Mzee Majuto Wakiwa Kwenye Tamasha la Amani-Mwanza
Hizi ni baahi ya picha za wasanii, Jacob Stepeh ‘JB’, Single Mtambalike ‘Richie’ , Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ na Mzee Matuto wakiwa kawenye tamasha la Amani jiji Mwanza leo hii, ambapo mbali na kuombea amani kwenye nchi yetu, tamsha hili linabeba ujumbe mzito kukemea mauaji na watu walemavu wa ngozi (Albino).
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
Kati ya Picha Hizi Nne za Mzee Majuto Ipi ni Kali Zaidi?
PICHA ni kumbukumbu muhimu katika maisha, hufurahisha na kuburudisha na wakati mwingine uhudhunisha pia ilimradi tu maisha yanasonga mbele. Leo kutoka kwenye maktaba yetu ya picha, tumekutana hizi picha nne za mwigizaji nguli wa filamu za vichekesho hapa nchini, Amri Athuman'King Majuto' ukipenda muite Mzee Majuto alizopiga na waigizaji hawa wakike, Wema Sepetu, Riyama Ally,Kajala Masanja na Jackline Masawe “Wolper”.
Zote ni nzuri lakini wewe umeipenda ipi?
9 years ago
Bongo503 Oct
Picha: Mtoto wa Lamar (Nisha) na mtoto wa Gelly wa Rhymes (Queen) nani mrembo zaidi?
10 years ago
Bongo Movies03 Apr
Picha: JB Akiwa Nyumbani Kwao kwa Mzee Wake
Leo ikiwa ni siku ya Ijumaa kuu, Staa mkubwa kabisa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ame-share nasi picha hizi akiwa nyumbani kabisa kwa mzee wake.
Katika maelezo yake JB amesema kuwa siku kama ya leo huwa wanautaratibu kama familia kwenda kanisani pamoja.
“Leo niko nyumbani kwa mzee, Ijumaa ya pasaka tuna utaratibu wa kwenda kanisani wote” JB aliandika mara baada ya kubandika picha huyo hap juu akiwa na mzee wake.
Picha huyo nyingine JB alieleza kuwa huyo ni mdogo wao wa mwisho...
11 years ago
Tanzania Daima04 May
JB amkabidhi Mzee Majuto tuzo ya ‘Shikamoo Mzee’
MSANII wa filamu za Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ ameamua kumkabidhi mkongwe wa tasnia hiyo, Mzee Majuto tuzo ya ZIFF aliyoshinda mwaka huu kupitia filamu yake ya ‘Shikamoo Mzee’ kama heshima...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NfueCDgQzXs/VTCofo6r4zI/AAAAAAAHRnQ/si8XFRFb-hQ/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
JAJI MKUU AKIWA KATIKA PICHA NA AFISA WA USALAMA WA UMOJA WA MATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-NfueCDgQzXs/VTCofo6r4zI/AAAAAAAHRnQ/si8XFRFb-hQ/s1600/unnamed%2B(63).jpg)