Picha: JB Akiwa Nyumbani Kwao kwa Mzee Wake
Leo ikiwa ni siku ya Ijumaa kuu, Staa mkubwa kabisa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ame-share nasi picha hizi akiwa nyumbani kabisa kwa mzee wake.
Katika maelezo yake JB amesema kuwa siku kama ya leo huwa wanautaratibu kama familia kwenda kanisani pamoja.
“Leo niko nyumbani kwa mzee, Ijumaa ya pasaka tuna utaratibu wa kwenda kanisani wote” JB aliandika mara baada ya kubandika picha huyo hap juu akiwa na mzee wake.
Picha huyo nyingine JB alieleza kuwa huyo ni mdogo wao wa mwisho...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJBhAI51g-*Q*FCCg8GIRa4uoep6R-UZ7MN3qBJpBSr6ie4TOx1ecYccQQDyrbfhM4uvJOP65P1gYKxttOHHwH7F/aunt1.jpg?width=650)
SIMULIZI YA AUNT EZEKIEL: ILIKUWA AOLEWE AKIWA MDOGO, AKATOROKA NYUMBANI KWAO!
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mbwana Samatta: Je mashabiki wake walio nyumbani kwao huko Mbagala wanasemaje?
10 years ago
GPLMHE. JAMES MBATIA ATEMBELEA MAKABURI YA WAZAZI WAKE NYUMBANI KWAO KILUA VUNJO
10 years ago
MichuziMHE. JAMES MBATIA ATEMBELEA MAKABURI YA WAZAZI WAKE NYUMBANI KWAO KILUA VUNJO
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-pihtLkzYk90/VhGiZUANexI/AAAAAAAD__0/_ZbZtsc1GXA/s72-c/FullSizeRender_1.jpg)
MDAU WA VIJIMAMBO AKIWA KIJIJI KWAO MKATAA KWAO MTUMWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-pihtLkzYk90/VhGiZUANexI/AAAAAAAD__0/_ZbZtsc1GXA/s640/FullSizeRender_1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G9zPTFn7vBM/VhGiZkaa0lI/AAAAAAAD__4/KcoSS-_deYU/s640/FullSizeRender_2.jpg)
10 years ago
Bongo Movies05 Mar
Picha: Mzee Majuto Akiwa Katika Pozi Tamuuu na Mrembo Nisha!!!
Tahadhari: Hii sio Le Projectii, ni picha tu za kawaida ambazo katika pita pita zangu kwenye kurasa za waigizaji kwenye mitandao ya kijamii kutafuta UBUYU ndipo nikakutana na picha hizi tamu za Mzee Majuto akiwa na mrembo Nisha.
Kilichonifurahisha na kunifanya nizilete hapa ni hizi pozi zao mbili tofauti, kwanza wanaonekana kama wapo wanachombezana mara wanaonekana kama wamefumwaa…hahahaha hatari sana.
Kuthibitisha kuwa hii sio Le Project Nisha aliandika maneno haya kiutani kwenye...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sOr1Q5yTQXs/VZn2dCo18bI/AAAAAAADwvQ/Eu-aj-KhTu0/s72-c/1afac67fca3237d4d34a4432c8542400.jpg)
MPENDWA WETU EMMANUEL ELISA NYITI MWILI WAKE APUMZISHWA KWENYE NYUMBA YAKE YA MILELE NYUMBANI KWAO KILUVYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sOr1Q5yTQXs/VZn2dCo18bI/AAAAAAADwvQ/Eu-aj-KhTu0/s640/1afac67fca3237d4d34a4432c8542400.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-N8q5mmRi2Do/VZn2e9yZRZI/AAAAAAADwvc/yEDPElhVVdk/s640/3e98e5200209b976c92ff34ab56a30ef.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0oH-yOYIozc/VZn2eTBjxSI/AAAAAAADwvY/7b9XqNjprPE/s640/6081eeb54b4e2a414b005b932d884721.jpg)
10 years ago
Bongo Movies10 Apr
Picha:TBT ya Wema Akiwa na ‘Girlzz’ Wake
Leo ikiwa ni ile siku ya mitupo ya nyuma yaani ThrowBackThursday ambapo watu hutupia picha zao za zamani kwenye mtandao wa Instagram, Staa mrembo Wema Sepetu ametupia picha hiyo akiwa na mastaa warembo wenzake, Jackline Wolper na Irene Uwoya.
Wema aliweka picha hiyo na kuiandikia “TBT With My Girlzzz” kisha akawa tag Wolper na Uwoya.
Mbali na picha hii kuleta malumbano ambayo hayakuwa na tija, Swala la urafiki uliokuwepo zamani kati ya wadada hawa na jinsi walivyo hivi sasa ndio...
10 years ago
Bongo Movies05 May
Shilole Aapa Kutopiga Picha Za Faragha Akiwa na Mpenzi Wake
Staa wa Bongo movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amesema kuwa hatapiga tena picha akiwa faragha na mchumba wake Nuh Mziwanda kwani zimekuwa zikivuja bila yeye kujua na kusababisha adhaulike kwenye jamii.
Akizungumza na gazeti la Tanuru la Filamu, Shilole alisema alikuwa akifanya hivyo ili badaye akiwa yuko mbali na mpenzi wake apate kuangalia jinsi walivyokuwa wakifurahishana lakini mambo hubadilika zikivuja na hivyo kuwa kwaza mashabiki wake ambao wanaheshimu sanaa...