Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbwana Samatta: Je mashabiki wake walio nyumbani kwao huko Mbagala wanasemaje?

Baada ya kujiunga na klabu ya Aston Villa ya Uingereza kutoka klabu ya Genk, nahodha wa taifa Stars amepata umaarufu mkubwa sio tu nchini Tanzania bali hata Afrika mashariki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mbwana Samatta: Mamia wajitokeza Mbagala kuangalia mechi ya Aston Villa vs Leicester

Mechi kati ya Aston Villa na Leicester city ilikuwa na mvuto wa aina yake nchini Tanzania hapo jana usiku.

 

9 years ago

MillardAyo

Lilipofikia dili la Mbwana Samatta kwenda Ulaya January 2016, hii ndio kauli ya meneja wake …

Usiku wa December 24 ulikuwa ni usiku ambao zilizagaa au kuvuja habari za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta kutajwa kwenda kucheza soka la kulipwa katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji. Stori zilianza kama tetesi na baadae mmoja kati ya mitandao […]

The post Lilipofikia dili la Mbwana Samatta kwenda Ulaya January 2016, hii ndio kauli ya meneja wake … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Victoria Kimani adai hapewi support na mashabiki wa nyumbani Kenya kama anayoipata Nigeria ambako sio kwao

Kwa mara nyingine tena mwimbaji wa Kenya, Victoria Kimani amezungumzia swala la kukosa support ya kutosha nyumbani Kenya, tofauti na anavyopata Nigeria ambako ameishi kwa muda mrefu licha ya kuwa si kwao. Kupitia akaunti yake ya Instagram ameandika ujumbe huu mrefu; “I could choose to highlight all the negativity I get from my Fellow Kenyans […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: JB Akiwa Nyumbani Kwao kwa Mzee Wake

Leo ikiwa ni siku ya Ijumaa kuu, Staa mkubwa kabisa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ame-share nasi picha hizi akiwa nyumbani kabisa  kwa mzee wake.

Katika maelezo yake JB amesema kuwa siku kama ya leo huwa wanautaratibu kama familia kwenda kanisani pamoja.

“Leo niko nyumbani kwa mzee, Ijumaa ya pasaka tuna utaratibu wa kwenda kanisani wote” JB aliandika mara baada ya kubandika picha huyo hap juu akiwa na mzee wake.

Picha huyo nyingine JB alieleza kuwa huyo ni mdogo wao wa mwisho...

 

10 years ago

Michuzi

MHE. JAMES MBATIA ATEMBELEA MAKABURI YA WAZAZI WAKE NYUMBANI KWAO KILUA VUNJO

Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi na Mbunge wa Kuteuliwa Mhe.  James Mbatia akiwa na viongozi wa Chama hicho  mkoa wa Kilimanjaro wakati alipotembelea eneo hilo.Mh James Mbatia akifanya sala mbele ya Makaburi ya Wazazi wake alipotembelea nyumbani kwao. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

GPL

MHE. JAMES MBATIA ATEMBELEA MAKABURI YA WAZAZI WAKE NYUMBANI KWAO KILUA VUNJO

Mh. James Mbatia akifanya sala mbele ya Makaburi ya Wazazi wake alipotembelea nyumbani kwao.…

 

10 years ago

Vijimambo

MPENDWA WETU EMMANUEL ELISA NYITI MWILI WAKE APUMZISHWA KWENYE NYUMBA YAKE YA MILELE NYUMBANI KWAO KILUVYA

 Kabuli alikozikwa mpendwa wetu Emmanuel Nyiti likiwa limewekewa maua yaliyowekwa na ndugu wa marehemu kwenye mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu Kiluvya, Dar es Salaam  siku ya Jumapili July 5, 2015. Marehemu alifariki Kansas City jimbo la Missouri nchini Marekani June 20, 2015. Jeneza lililobeba mwili wa marehemu mpendwa wetu Emmanuel Nyiti likiandaliwa kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho kabla ya kupumzishwa kwenye nyumba yake ya milele. Ndugu,jamaa na marafiki wakiwa nyumbani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani