Mbwana Samatta: Je mashabiki wake walio nyumbani kwao huko Mbagala wanasemaje?
Baada ya kujiunga na klabu ya Aston Villa ya Uingereza kutoka klabu ya Genk, nahodha wa taifa Stars amepata umaarufu mkubwa sio tu nchini Tanzania bali hata Afrika mashariki.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mbwana Samatta: Mamia wajitokeza Mbagala kuangalia mechi ya Aston Villa vs Leicester
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Lilipofikia dili la Mbwana Samatta kwenda Ulaya January 2016, hii ndio kauli ya meneja wake …
Usiku wa December 24 ulikuwa ni usiku ambao zilizagaa au kuvuja habari za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta kutajwa kwenda kucheza soka la kulipwa katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji. Stori zilianza kama tetesi na baadae mmoja kati ya mitandao […]
The post Lilipofikia dili la Mbwana Samatta kwenda Ulaya January 2016, hii ndio kauli ya meneja wake … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo501 Oct
Victoria Kimani adai hapewi support na mashabiki wa nyumbani Kenya kama anayoipata Nigeria ambako sio kwao
10 years ago
Bongo Movies03 Apr
Picha: JB Akiwa Nyumbani Kwao kwa Mzee Wake
Leo ikiwa ni siku ya Ijumaa kuu, Staa mkubwa kabisa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ame-share nasi picha hizi akiwa nyumbani kabisa kwa mzee wake.
Katika maelezo yake JB amesema kuwa siku kama ya leo huwa wanautaratibu kama familia kwenda kanisani pamoja.
“Leo niko nyumbani kwa mzee, Ijumaa ya pasaka tuna utaratibu wa kwenda kanisani wote” JB aliandika mara baada ya kubandika picha huyo hap juu akiwa na mzee wake.
Picha huyo nyingine JB alieleza kuwa huyo ni mdogo wao wa mwisho...
10 years ago
MichuziMHE. JAMES MBATIA ATEMBELEA MAKABURI YA WAZAZI WAKE NYUMBANI KWAO KILUA VUNJO
10 years ago
GPLMHE. JAMES MBATIA ATEMBELEA MAKABURI YA WAZAZI WAKE NYUMBANI KWAO KILUA VUNJO
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sOr1Q5yTQXs/VZn2dCo18bI/AAAAAAADwvQ/Eu-aj-KhTu0/s72-c/1afac67fca3237d4d34a4432c8542400.jpg)
MPENDWA WETU EMMANUEL ELISA NYITI MWILI WAKE APUMZISHWA KWENYE NYUMBA YAKE YA MILELE NYUMBANI KWAO KILUVYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sOr1Q5yTQXs/VZn2dCo18bI/AAAAAAADwvQ/Eu-aj-KhTu0/s640/1afac67fca3237d4d34a4432c8542400.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-N8q5mmRi2Do/VZn2e9yZRZI/AAAAAAADwvc/yEDPElhVVdk/s640/3e98e5200209b976c92ff34ab56a30ef.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0oH-yOYIozc/VZn2eTBjxSI/AAAAAAADwvY/7b9XqNjprPE/s640/6081eeb54b4e2a414b005b932d884721.jpg)