Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Victoria Kimani adai hapewi support na mashabiki wa nyumbani Kenya kama anayoipata Nigeria ambako sio kwao

Kwa mara nyingine tena mwimbaji wa Kenya, Victoria Kimani amezungumzia swala la kukosa support ya kutosha nyumbani Kenya, tofauti na anavyopata Nigeria ambako ameishi kwa muda mrefu licha ya kuwa si kwao. Kupitia akaunti yake ya Instagram ameandika ujumbe huu mrefu; “I could choose to highlight all the negativity I get from my Fellow Kenyans […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Nabii hakubaliki nyumbani: Victoria Kimani awatupia lawama ma-promota wa Kenya

“Nabii hakubaliki nyumbani”- Hiyo ni moja ya tweet za mwimbaji wa Kenya, Victoria Kimani ambaye amewatupia lawama ma-promota wa Kenya jana kwa kushindwa kuthamini vipaji vya nyumbani. A prophet is never welcome at home — VICTORIA KIMANI (@VICTORIA_KIMANI) October 22, 2015 Kimani aliandika tweet nyingine akisema kuwa anatamaani angekuwa anafanya show nyingi Kenya lakini mashabiki […]

 

10 years ago

Bongo5

Wizkid na Victoria Kimani washoot video Kenya na Enos Olik

Staa wa Nigeria Wizkid amekuwepo Afrika Mashariki kwa takribani wiki moja. Alianzia jijini Nairobi Kenya ambapo Jumapili iliyopita alitumbuiza kwenye viwanja vya The Carnivore, na baadae kuelekea jijini Kampala Uganda ambako alitumbuiza kwenye Party ya Guiness na kisha akarudi tena Kenya ambako imefahamika alirudi kushoot video. Victoria Kimani (kushoto) Wizkid (Kulia) Staa huyo wa ‘If […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Huyu ndio msanii wa Kenya aliyemshirikisha Diamond baada ya Victoria Kimani

Collabo ya mwisho ya Diamond Platnumz na msanii wa Kenya ni ile aliyoshirikishwa na Victoria Kimani kwenye wimbo Prokoto alikuwemo Ommy Dimpoz pia. Akothee na Diamond wakiwa studio Baada ya hapo, Diamond amekuwa akifanya ngoma na wasanii wa Nigeria, Afrika Kusini na Marekani zaidi. Hata collabo na wasanii wenzake wa Bongo zimekuwa za nadra pia […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Mbwana Samatta: Je mashabiki wake walio nyumbani kwao huko Mbagala wanasemaje?

Baada ya kujiunga na klabu ya Aston Villa ya Uingereza kutoka klabu ya Genk, nahodha wa taifa Stars amepata umaarufu mkubwa sio tu nchini Tanzania bali hata Afrika mashariki.

 

10 years ago

Michuzi

watanzania 18 warejea nyumbani kutoka Yemen ambako hakukaliki kutokana na vita

Balozi wa Tanzania nchini Oman Mh. Ali Ahmed Saleh (aliyebeba mtoto) akiwa na baadhi ya kundi la Watanzania 18 waliookolewa kutoka Yemen ambako hakukaliki kutokana na vita. Hapa wananchi hao  wapo  katika uwanja wa ndege wa Muscat wakiwa njiani kurejeshwa nyumbani.Sehemu ya wananchi hao wakijiandaa kuondoka Muscat, Oman, kurejea nyumbani

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Victoria Kimani — Show

Muimbaji wa Chocolate City,Mkenya Victoria Kimani naye amedondosha video ya wimbo wake ‘Show’. Kwenye video hiyo rapper wa Afrika Kusini, AKA naye anaonekana. Icheki.

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Victoria Kimani — Show

Chocolate City’s raving East African songstress Victoria Kimani releases her newest single Show produced by prolific Made Men Music group producer Tekno Miles.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Victoria Kimani — Booty Bounce

East-African music diva, Victoria Kimani has released the video for her new single “Booty Bounce”. Produced by super-talented beat maker, Reinhard.

Victoria Kimani, who has previously released chart-topping singles like ‘Show’, ‘Two Of Dem’,‘Prokoto’ featuring Diamond Platnumz & Ommy Dimpoz, ‘Oya’ featuring M.I and a few others, is rapidly making her way to the top of the pick and set to break barriers with the release of ‘Booty Bounce’ that has already been termed a ‘game changer’ by...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani