Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wizkid na Victoria Kimani washoot video Kenya na Enos Olik

Staa wa Nigeria Wizkid amekuwepo Afrika Mashariki kwa takribani wiki moja. Alianzia jijini Nairobi Kenya ambapo Jumapili iliyopita alitumbuiza kwenye viwanja vya The Carnivore, na baadae kuelekea jijini Kampala Uganda ambako alitumbuiza kwenye Party ya Guiness na kisha akarudi tena Kenya ambako imefahamika alirudi kushoot video. Victoria Kimani (kushoto) Wizkid (Kulia) Staa huyo wa ‘If […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Director Enos Olik wa Kenya azungumzia kuhusu wasanii kushoot video SA, na baadhi ya video kutoka EA kutochezwa Trace na MTV Base

enos4

Enos Olik ni muongozaji na mtayarishaji wa video za muziki kutoka Kenya, ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Afrika kuanzia A-list hadi wale wa kawaida.

enos-2

Shaa, Young Dee, Alikiba na Christian Bella ni baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wameshampa ulaji director huyo kufanya video zao. Video zingine alizofanya ni ‘Kioo’ ya Jaguar, ‘Sura Yako remix’ ya Sauti Sol na Iyanya, ‘Never Been Loved’ ya Maurice Kirya, ‘Touch Me There’ ya Redsan ft. Nyla na zingine kadhaa wa kadhaa.

enos4

Bongo5...

 

9 years ago

Bongo5

One Africa: Enos Olik wa Kenya aongoza video ya Butera Knowles wa Rwanda aliyemshirikisha Roberto wa Zambia

12145346_998184826935184_1820880905_n

Kiwanda cha muziki cha Afrika kinazidi kuungana pamoja.

12145346_998184826935184_1820880905_n
Kuanzia Kushoto: Butera Knowles, Enos Olik na Roberto

Miaka ya hivi karibuni wasanii wa Afrika wamekuwa wakishirikiana kwenye nyimbo zao za hivyo kuzidi kuusogeza karibu zaidi muziki wa bara hili.

Baada ya kutoka kuongoza video ya wimbo wa Christian Bella na Alikiba ‘Nagharamia’ iliyofanyika nchini Afrika Kusini, Enos Olik ameongoza tena video ya collabo ya wasanii wa Afrika.

1941275_1656963451187936_1818602726_n
Butera na Roberto walipokuwa wakielekea Nairobi kushoot...

 

9 years ago

Bongo5

Director Enos Olik wa Kenya apata mtoto wa kwanza

enos4

Director wa video kutoka nchini Kenya, Enos Olik anaingia kwenye orodha ya mastaa wa Afrika Mashariki waliopata watoto mwaka huu.

enos4

December 12 ndio siku mke wake ambaye ni mtangazaji wa KTN alijifungua mtoto wao waliyempa jina la Aiden Olik.

enos mtoto

“Welcome to the unforgiving world baby Aiden Olik… Daddy will always be here to support you.. Born 12/12/15…Your birthdays will be on a public holiday #FeelingBlessed.. With @misstamima” aliandika Enos Instagram iliyosindikizwa na picha ya mkono wa...

 

10 years ago

Bongo5

Enos Olik aongoza video ya wimbo mpya wa Shaa

Muongozaji wa video ya Weusi, Gere, Mkenya Enos Oliki ndiye aliyeongoza video mpya ya wimbo wa Shaa. Hii ni picha aliyopost muongozaji huyo kwenye akaunti yake ya Instagram.

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Victoria Kimani — Show

Muimbaji wa Chocolate City,Mkenya Victoria Kimani naye amedondosha video ya wimbo wake ‘Show’. Kwenye video hiyo rapper wa Afrika Kusini, AKA naye anaonekana. Icheki.

 

9 years ago

Bongo5

Nabii hakubaliki nyumbani: Victoria Kimani awatupia lawama ma-promota wa Kenya

“Nabii hakubaliki nyumbani”- Hiyo ni moja ya tweet za mwimbaji wa Kenya, Victoria Kimani ambaye amewatupia lawama ma-promota wa Kenya jana kwa kushindwa kuthamini vipaji vya nyumbani. A prophet is never welcome at home — VICTORIA KIMANI (@VICTORIA_KIMANI) October 22, 2015 Kimani aliandika tweet nyingine akisema kuwa anatamaani angekuwa anafanya show nyingi Kenya lakini mashabiki […]

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Victoria kimani aachia video ya ‘Prokoto’ aliyoshoot Tanzania na kuwashirikisha Diamond na Dimpoz

Mwimbaji wa Kenya, Victoria Kimani ameachia video yake mpya ya ‘Prokoto’ aliyowashirikisha mastaa wa Bongo Diamond Platnumz pamoja na Ommy Dimpoz. Victoria ambaye pia yuko chini ya label ya Chocolate City ya Nigeria wiki chache zilizopita alimleta director wa Kenya, Kevin Bosco Jr na kushoot ‘Prokoto’ katika mazingira ya Dar es salaam. Audio imefanywa na […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Victoria Kimani — Booty Bounce

East-African music diva, Victoria Kimani has released the video for her new single “Booty Bounce”. Produced by super-talented beat maker, Reinhard.

Victoria Kimani, who has previously released chart-topping singles like ‘Show’, ‘Two Of Dem’,‘Prokoto’ featuring Diamond Platnumz & Ommy Dimpoz, ‘Oya’ featuring M.I and a few others, is rapidly making her way to the top of the pick and set to break barriers with the release of ‘Booty Bounce’ that has already been termed a ‘game changer’ by...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Victoria Kimani Ft Khuli Chana – All The Way

late

Msanii kutoka Kenya Victoria Kimani ameufungua mwaka 2016 kwa kuachia Video mpya ya single “All The Way” akiwa amemshirikisha msanii Khuli Chana.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani