Wizkid na Victoria Kimani washoot video Kenya na Enos Olik
Staa wa Nigeria Wizkid amekuwepo Afrika Mashariki kwa takribani wiki moja. Alianzia jijini Nairobi Kenya ambapo Jumapili iliyopita alitumbuiza kwenye viwanja vya The Carnivore, na baadae kuelekea jijini Kampala Uganda ambako alitumbuiza kwenye Party ya Guiness na kisha akarudi tena Kenya ambako imefahamika alirudi kushoot video. Victoria Kimani (kushoto) Wizkid (Kulia) Staa huyo wa ‘If […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo520 Nov
Director Enos Olik wa Kenya azungumzia kuhusu wasanii kushoot video SA, na baadhi ya video kutoka EA kutochezwa Trace na MTV Base
![enos4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/enos4-300x194.jpg)
Enos Olik ni muongozaji na mtayarishaji wa video za muziki kutoka Kenya, ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Afrika kuanzia A-list hadi wale wa kawaida.
Shaa, Young Dee, Alikiba na Christian Bella ni baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wameshampa ulaji director huyo kufanya video zao. Video zingine alizofanya ni ‘Kioo’ ya Jaguar, ‘Sura Yako remix’ ya Sauti Sol na Iyanya, ‘Never Been Loved’ ya Maurice Kirya, ‘Touch Me There’ ya Redsan ft. Nyla na zingine kadhaa wa kadhaa.
Bongo5...
9 years ago
Bongo504 Nov
One Africa: Enos Olik wa Kenya aongoza video ya Butera Knowles wa Rwanda aliyemshirikisha Roberto wa Zambia
![12145346_998184826935184_1820880905_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12145346_998184826935184_1820880905_n-300x194.jpg)
Kiwanda cha muziki cha Afrika kinazidi kuungana pamoja.
Kuanzia Kushoto: Butera Knowles, Enos Olik na Roberto
Miaka ya hivi karibuni wasanii wa Afrika wamekuwa wakishirikiana kwenye nyimbo zao za hivyo kuzidi kuusogeza karibu zaidi muziki wa bara hili.
Baada ya kutoka kuongoza video ya wimbo wa Christian Bella na Alikiba ‘Nagharamia’ iliyofanyika nchini Afrika Kusini, Enos Olik ameongoza tena video ya collabo ya wasanii wa Afrika.
Butera na Roberto walipokuwa wakielekea Nairobi kushoot...
9 years ago
Bongo514 Dec
Director Enos Olik wa Kenya apata mtoto wa kwanza
![enos4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/enos4-300x194.jpg)
Director wa video kutoka nchini Kenya, Enos Olik anaingia kwenye orodha ya mastaa wa Afrika Mashariki waliopata watoto mwaka huu.
December 12 ndio siku mke wake ambaye ni mtangazaji wa KTN alijifungua mtoto wao waliyempa jina la Aiden Olik.
“Welcome to the unforgiving world baby Aiden Olik… Daddy will always be here to support you.. Born 12/12/15…Your birthdays will be on a public holiday #FeelingBlessed.. With @misstamima” aliandika Enos Instagram iliyosindikizwa na picha ya mkono wa...
10 years ago
Bongo515 Oct
Enos Olik aongoza video ya wimbo mpya wa Shaa
10 years ago
Bongo509 Dec
New Video: Victoria Kimani — Show
9 years ago
Bongo523 Oct
Nabii hakubaliki nyumbani: Victoria Kimani awatupia lawama ma-promota wa Kenya
10 years ago
Bongo514 Aug
New Video: Victoria kimani aachia video ya ‘Prokoto’ aliyoshoot Tanzania na kuwashirikisha Diamond na Dimpoz
9 years ago
Bongo506 Nov
Video: Victoria Kimani — Booty Bounce
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/BOOTY-BOUNCE-ARTWORK-300x194.jpg)
East-African music diva, Victoria Kimani has released the video for her new single “Booty Bounce”. Produced by super-talented beat maker, Reinhard.
Victoria Kimani, who has previously released chart-topping singles like ‘Show’, ‘Two Of Dem’,‘Prokoto’ featuring Diamond Platnumz & Ommy Dimpoz, ‘Oya’ featuring M.I and a few others, is rapidly making her way to the top of the pick and set to break barriers with the release of ‘Booty Bounce’ that has already been termed a ‘game changer’ by...
9 years ago
Bongo505 Jan
Video: Victoria Kimani Ft Khuli Chana – All The Way
![late](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/late-300x194.jpg)
Msanii kutoka Kenya Victoria Kimani ameufungua mwaka 2016 kwa kuachia Video mpya ya single “All The Way” akiwa amemshirikisha msanii Khuli Chana.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!